Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Sina hata cha kubisha, maana umeweka full facts. Hongera.
Higer za upendo bado zipo barabaran, ndo gari pekee anazotumia Iringa-dar,
Yutong za super feo zimepiga root ngumu tu, sidhan kama km 400 za songea-iringa au songea-mbeya ni route nyepes, bado nasimamia kwny suala la matunzo. Hata sauli pamoja na kuwa na 95 scania kama atakua anatembeza gari kila siku bila kupumzisha haziwez kutoboa miaka miwili bila kuweka engine mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina hata cha kubisha, maana umeweka full facts. Hongera.
Nafuta maneno yangu yaliyokuwa yanakupinga kuhusu bei ya 500-800ML.
Upande wa pili wa kutafakari, hivi hakuna dalili za utakatishaji pesa hapo?
Maana hao wachaga wanaomiliki hiyo kampuni ya mabasi na hao wahaya wanaomiliki hizo shule ni mabingwa wazuri sana wa kutumiwa katika kutakatisha pesa.
Mkuu ungeweka kapicha hapo tuone huo mchumaHizi pesa hua zinarudi na faida juu, Mwezi wa nne Dar express analeta Scania G7 Paradisso inayouzwa zaidi ya 1.2billion tzs atakua ni mtu wa kwanza Tanzania kumiliki pia ukiangalia kipindi cha nyuma alikua mtu wa kwanza kuleta Irizar Century, G7 na sasa analeta hizo Paradisso
Mkuu si uandike kwa staha tu, yanini kutoa kebehi, kwani kuna mabishano.Unaandika kwa nyodo kumbe hujui kitu
Gari za mbeya kufika saa 1 sio jambo jipya, Golden deer huwa zinafika saa 12:30 mara kibao tu
Al saedy sio scania, ana sunlong,yutong na golden dragon na hiyo Imani plus sio higer ni Asiastar
Siku nyingine fanya research kabla hujaandika utumbo wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Na bei zinaendaje Mkuu, kama hautajali tuwekee na picha kiongozi.Pamoja na kwamba scania inadumu zaid ya basi za kichina lakin umetia chumvi
Gari za kichina zinadumu sana tu kama zikipewa service ya kueleweka, cummins kiasili sio technology ya mchina, ile ni mmarekan pure.
Hizi story za kuona scania ndo gari ngumu barabaran ni za kizaman, magari mengi yanayovuka boda kwenda lubumbashi na zimbabwe ni NISSAN DIESEL na MAN, hayo madude ni roho ya paka zaid ya scania
Sent using Jamii Forums mobile app
Lete mkuuSaul kwa hiyo njia ni mchumba tu.Ngoja nimpe video aone anavyonyanyaswa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina hata cha kubisha, maana umeweka full facts. Hongera.
Nafuta maneno yangu yaliyokuwa yanakupinga kuhusu bei ya 500-800ML.
Upande wa pili wa kutafakari, hivi hakuna dalili za utakatishaji pesa hapo?
Maana hao wachaga wanaomiliki hiyo kampuni ya mabasi na hao wahaya wanaomiliki hizo shule ni mabingwa wazuri sana wa kutumiwa katika kutakatisha pesa.
ZilipendwaYaani mtu akiongelea mabasi halafu asiizungumzie Leyland huwa nahuzunika sana.
Abood na Kilimanjaro bado wanascania za namba A, tafuta Gari ya mchina yenye namba hata C inayotembea kwenda route ndefu kama Dar to Mbeya, Kahama, Songea au Mwanza.Higer za upendo bado zipo barabaran, ndo gari pekee anazotumia Iringa-dar,
Yutong za super feo zimepiga root ngumu tu, sidhan kama km 400 za songea-iringa au songea-mbeya ni route nyepes, bado nasimamia kwny suala la matunzo. Hata sauli pamoja na kuwa na 95 scania kama atakua anatembeza gari kila siku bila kupumzisha haziwez kutoboa miaka miwili bila kuweka engine mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda akachonge body na kupachika chassis na eng,Hizi pesa hua zinarudi na faida juu, Mwezi wa nne Dar express analeta Scania G7 Paradisso inayouzwa zaidi ya 1.2billion tzs atakua ni mtu wa kwanza Tanzania kumiliki pia ukiangalia kipindi cha nyuma alikua mtu wa kwanza kuleta Irizar Century, G7 na sasa analeta hizo Paradisso
Jamani myonge mnyongeni haki yake mpeni mimi kama msafiri unambie nipande dar express au sunlong ya shabiby .. nachagua sunlong sababu seat zina nafasi .. TV nyuma ya seat , usb charger .. kupupwe cha kutosha ... choo ndani ...
Mchina hata kama hadumu sisi abiria tutapanda mchina sababu una relax ukiwa ndani ... mbio za nini ..
Mtu akinunua kitu genuine anatakatisha fedha?Sina hata cha kubisha, maana umeweka full facts. Hongera.
Nafuta maneno yangu yaliyokuwa yanakupinga kuhusu bei ya 500-800ML.
Upande wa pili wa kutafakari, hivi hakuna dalili za utakatishaji pesa hapo?
Maana hao wachaga wanaomiliki hiyo kampuni ya mabasi na hao wahaya wanaomiliki hizo shule ni mabingwa wazuri sana wa kutumiwa katika kutakatisha pesa.
Scania za Dar express au Kilimanjaro ni next level interms of seating.Jamani myonge mnyongeni haki yake mpeni mimi kama msafiri unambie nipande dar express au sunlong ya shabiby .. nachagua sunlong sababu seat zina nafasi .. TV nyuma ya seat , usb charger .. kupupwe cha kutosha ... choo ndani ...
Mchina hata kama hadumu sisi abiria tutapanda mchina sababu una relax ukiwa ndani ... mbio za nini ..