Fahamu kuhusu Scania Buses VS Yutong, Kinglong, Zhongtong, Higer, Golden Dragon, Sunlong Buses

Fahamu kuhusu Scania Buses VS Yutong, Kinglong, Zhongtong, Higer, Golden Dragon, Sunlong Buses

Niandike tu kwa ufupi jao sitaweza kuweka data za utafiti huu hapa jukwaani kutokana na sababu binafsi.

Basi za mchina zinapendwa kwa sasa kutokana na gharama nafuu na hivyo kurudisha faida fasta.

Basi za china zina shida kwenye
1-Engine (zinachoka mapema compared to SCANIA)

2-Chasis zinalamikiwa kupata cracks

3-Gearbox ikianza kusumbua ni shida na tatizo kubwa inakua baadhi ya gear haziingi.

4-Durability ya body ni mbovu kabisa.

Ndio mana huwa wengine wanatumida muda mfupi kisha wanavisha Engine, Gearbox na Difu za Scania.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina hata cha kubisha, maana umeweka full facts. Hongera.
Nafuta maneno yangu yaliyokuwa yanakupinga kuhusu bei ya 500-800ML.

Upande wa pili wa kutafakari, hivi hakuna dalili za utakatishaji pesa hapo?
Maana hao wachaga wanaomiliki hiyo kampuni ya mabasi na hao wahaya wanaomiliki hizo shule ni mabingwa wazuri sana wa kutumiwa katika kutakatisha pesa.
 
Higer za upendo bado zipo barabaran, ndo gari pekee anazotumia Iringa-dar,

Yutong za super feo zimepiga root ngumu tu, sidhan kama km 400 za songea-iringa au songea-mbeya ni route nyepes, bado nasimamia kwny suala la matunzo. Hata sauli pamoja na kuwa na 95 scania kama atakua anatembeza gari kila siku bila kupumzisha haziwez kutoboa miaka miwili bila kuweka engine mpya

Sent using Jamii Forums mobile app

refer to saibaba zenye plate number A zile marcopolo zina miaka mingapi mara iende mbeya mara iende arusha mara kampala ila bado zipo zinapiga mzigo
 
Sina hata cha kubisha, maana umeweka full facts. Hongera.
Nafuta maneno yangu yaliyokuwa yanakupinga kuhusu bei ya 500-800ML.

Upande wa pili wa kutafakari, hivi hakuna dalili za utakatishaji pesa hapo?
Maana hao wachaga wanaomiliki hiyo kampuni ya mabasi na hao wahaya wanaomiliki hizo shule ni mabingwa wazuri sana wa kutumiwa katika kutakatisha pesa.

Hizi pesa hua zinarudi na faida juu, Mwezi wa nne Dar express analeta Scania G7 Paradisso inayouzwa zaidi ya 1.2billion tzs atakua ni mtu wa kwanza Tanzania kumiliki pia ukiangalia kipindi cha nyuma alikua mtu wa kwanza kuleta Irizar Century, G7 na sasa analeta hizo Paradisso
 
Hizi pesa hua zinarudi na faida juu, Mwezi wa nne Dar express analeta Scania G7 Paradisso inayouzwa zaidi ya 1.2billion tzs atakua ni mtu wa kwanza Tanzania kumiliki pia ukiangalia kipindi cha nyuma alikua mtu wa kwanza kuleta Irizar Century, G7 na sasa analeta hizo Paradisso
Mkuu ungeweka kapicha hapo tuone huo mchuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ungeweka kapicha hapo tuone huo mchuma

Sent using Jamii Forums mobile app

IMG_6489.JPG
 
Unaandika kwa nyodo kumbe hujui kitu

Gari za mbeya kufika saa 1 sio jambo jipya, Golden deer huwa zinafika saa 12:30 mara kibao tu

Al saedy sio scania, ana sunlong,yutong na golden dragon na hiyo Imani plus sio higer ni Asiastar

Siku nyingine fanya research kabla hujaandika utumbo wako

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu si uandike kwa staha tu, yanini kutoa kebehi, kwani kuna mabishano.

Mtu kama hajaelewa ni kumuelewesha tu kwa utaratibu basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na kwamba scania inadumu zaid ya basi za kichina lakin umetia chumvi

Gari za kichina zinadumu sana tu kama zikipewa service ya kueleweka, cummins kiasili sio technology ya mchina, ile ni mmarekan pure.

Hizi story za kuona scania ndo gari ngumu barabaran ni za kizaman, magari mengi yanayovuka boda kwenda lubumbashi na zimbabwe ni NISSAN DIESEL na MAN, hayo madude ni roho ya paka zaid ya scania

Sent using Jamii Forums mobile app
Na bei zinaendaje Mkuu, kama hautajali tuwekee na picha kiongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hiyo upande wa pili tutajadili siku nyingine leo tujikite kwenye buses zao kwanza.
Asante
Sina hata cha kubisha, maana umeweka full facts. Hongera.
Nafuta maneno yangu yaliyokuwa yanakupinga kuhusu bei ya 500-800ML.

Upande wa pili wa kutafakari, hivi hakuna dalili za utakatishaji pesa hapo?
Maana hao wachaga wanaomiliki hiyo kampuni ya mabasi na hao wahaya wanaomiliki hizo shule ni mabingwa wazuri sana wa kutumiwa katika kutakatisha pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Higer za upendo bado zipo barabaran, ndo gari pekee anazotumia Iringa-dar,

Yutong za super feo zimepiga root ngumu tu, sidhan kama km 400 za songea-iringa au songea-mbeya ni route nyepes, bado nasimamia kwny suala la matunzo. Hata sauli pamoja na kuwa na 95 scania kama atakua anatembeza gari kila siku bila kupumzisha haziwez kutoboa miaka miwili bila kuweka engine mpya

Sent using Jamii Forums mobile app
Abood na Kilimanjaro bado wanascania za namba A, tafuta Gari ya mchina yenye namba hata C inayotembea kwenda route ndefu kama Dar to Mbeya, Kahama, Songea au Mwanza.
 
Hizi pesa hua zinarudi na faida juu, Mwezi wa nne Dar express analeta Scania G7 Paradisso inayouzwa zaidi ya 1.2billion tzs atakua ni mtu wa kwanza Tanzania kumiliki pia ukiangalia kipindi cha nyuma alikua mtu wa kwanza kuleta Irizar Century, G7 na sasa analeta hizo Paradisso
Labda akachonge body na kupachika chassis na eng,
 
Jamani myonge mnyongeni haki yake mpeni mimi kama msafiri unambie nipande dar express au sunlong ya shabiby .. nachagua sunlong sababu seat zina nafasi .. TV nyuma ya seat , usb charger .. kupupwe cha kutosha ... choo ndani ...

Mchina hata kama hadumu sisi abiria tutapanda mchina sababu una relax ukiwa ndani ... mbio za nini ..
 
Jamani myonge mnyongeni haki yake mpeni mimi kama msafiri unambie nipande dar express au sunlong ya shabiby .. nachagua sunlong sababu seat zina nafasi .. TV nyuma ya seat , usb charger .. kupupwe cha kutosha ... choo ndani ...

Mchina hata kama hadumu sisi abiria tutapanda mchina sababu una relax ukiwa ndani ... mbio za nini ..

Hapa tunajadili life span kwanza na kuhusu biashara za haya mabus, tutakuja kwenye comfortability ambayo mchina ndio anapatia mwanya hapo, wala usijali
 
Sina hata cha kubisha, maana umeweka full facts. Hongera.
Nafuta maneno yangu yaliyokuwa yanakupinga kuhusu bei ya 500-800ML.

Upande wa pili wa kutafakari, hivi hakuna dalili za utakatishaji pesa hapo?
Maana hao wachaga wanaomiliki hiyo kampuni ya mabasi na hao wahaya wanaomiliki hizo shule ni mabingwa wazuri sana wa kutumiwa katika kutakatisha pesa.
Mtu akinunua kitu genuine anatakatisha fedha?

Kwamba wafanyabiashara wote wana akili na mitazamo inayofanana?

Sawa na ushangae mtu anaenunua simu ya 4M wakati kuna simu ya 500K na inafanya kazi vizuri tu.

Mbona hujasema Scandinavia walikuwa wanatakatisha fedha?

Na isitoshe, hao kina Dar express wamekuwa wananunua Marcopolo miaka nenda rudi, wanajua standards zao.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani myonge mnyongeni haki yake mpeni mimi kama msafiri unambie nipande dar express au sunlong ya shabiby .. nachagua sunlong sababu seat zina nafasi .. TV nyuma ya seat , usb charger .. kupupwe cha kutosha ... choo ndani ...

Mchina hata kama hadumu sisi abiria tutapanda mchina sababu una relax ukiwa ndani ... mbio za nini ..
Scania za Dar express au Kilimanjaro ni next level interms of seating.

Seats za mabasi ya mchina ni ngumu kama za Eicher. Ukipanda zile za kilimanjaro zipo comfortable and spacious.

Tatizo bus halikimbii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio mtaalamu wa magari ila kuna bus linaitwa kisbo safari, nimekuwa nikilisia sana humu Jf kuwa linatembea sana.

Mwezi uliopita nikiwa dodoma pale maeneo ya unapotaka kujengwa uwanjani barabarani, nikapishana na bus za KISBO SAFARI mbili.

Moja ilikuwa saa 7 na dakika 8, na ikawa inatembea taratibu. Nikasema hii bus inawezaje kwa sasa mambo ya tochi barabarani kufika Dodoma saa 7?

Ilipofika 7:30 ikapita KISBO ya pili, hapa nilichoka saana, nikasema hawa jamaa ni hatari.

Yaani hata zile gari za Dodoma kutoka Dar bado haziingii muda huo kwa saa 7 kamili kuwa Dodoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom