Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Niandike tu kwa ufupi jao sitaweza kuweka data za utafiti huu hapa jukwaani kutokana na sababu binafsi.
Basi za mchina zinapendwa kwa sasa kutokana na gharama nafuu na hivyo kurudisha faida fasta.
Basi za china zina shida kwenye
1-Engine (zinachoka mapema compared to SCANIA)
2-Chasis zinalamikiwa kupata cracks
3-Gearbox ikianza kusumbua ni shida na tatizo kubwa inakua baadhi ya gear haziingi.
4-Durability ya body ni mbovu kabisa.
Ndio mana huwa wengine wanatumida muda mfupi kisha wanavisha Engine, Gearbox na Difu za Scania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi za mchina zinapendwa kwa sasa kutokana na gharama nafuu na hivyo kurudisha faida fasta.
Basi za china zina shida kwenye
1-Engine (zinachoka mapema compared to SCANIA)
2-Chasis zinalamikiwa kupata cracks
3-Gearbox ikianza kusumbua ni shida na tatizo kubwa inakua baadhi ya gear haziingi.
4-Durability ya body ni mbovu kabisa.
Ndio mana huwa wengine wanatumida muda mfupi kisha wanavisha Engine, Gearbox na Difu za Scania.
Sent using Jamii Forums mobile app