yana mda gani hapa nchini?Vipi kuhusu mabasi mapya ya TATA MARCOPOLO BUS YALE YENYE BODY KAMA ZA U TONG .....YANAONEKANA KUWA IMARA KWA SASA .....KANDA YA ZIWA KUNA BATCO ANAYATUMIA KAMA JARIBIO ...HAYAONEKANI KUCHOKA YAPO IMARA SANA
Je haya yamekuja kutoa upinzani kwa scania bus , na kuna bus nzuri kabisa alikuwa nazo tajiri mmoja pale TANGA RAHA LEO ISUZU!! VIP HIZOView attachment 1387425
sent from toyota Allex
Yana miaka 2 kwa sasa ila yapo vizuri sana ...
Hizo body zimetengenezwa na Marcopolo na kufungwa injini ya Tata zinaitwa Tata Magma.Vipi kuhusu mabasi mapya ya TATA MARCOPOLO BUS YALE YENYE BODY KAMA ZA U TONG .....YANAONEKANA KUWA IMARA KWA SASA .....KANDA YA ZIWA KUNA BATCO ANAYATUMIA KAMA JARIBIO ...HAYAONEKANI KUCHOKA YAPO IMARA SANA
Je haya yamekuja kutoa upinzani kwa scania bus , na kuna bus nzuri kabisa alikuwa nazo tajiri mmoja pale TANGA RAHA LEO ISUZU!! VIP HIZOView attachment 1387425
sent from toyota Allex
Hizo ndio zilikuwa za kwanza, ruti ya mwanza-dar sijui kama walikuwepo ila nafahamu kigoma- mwanzaHivi wa kwanza kuleta Yutong bongo sio Golden Intercity? Zilikuwa nyeupe zina engine nyuma route ya Dar-Mwanza na walikuwa wana operate wachina wenyewe
Vipi kuhusu mabasi mapya ya TATA MARCOPOLO BUS YALE YENYE BODY KAMA ZA U TONG .....YANAONEKANA KUWA IMARA KWA SASA .....KANDA YA ZIWA KUNA BATCO ANAYATUMIA KAMA JARIBIO ...HAYAONEKANI KUCHOKA YAPO IMARA SANA
Je haya yamekuja kutoa upinzani kwa scania bus , na kuna bus nzuri kabisa alikuwa nazo tajiri mmoja pale TANGA RAHA LEO ISUZU!! VIP HIZOView attachment 1387425
sent from toyota Allex
Kigoma zilienda baada ya ku operate route ya mwanza kama mwaka na zaidiHizo ndio zilikuwa za kwanza, ruti ya mwanza-dar sijui kama walikuwepo ila nafahamu kigoma- mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ya Sauli ni legroom ni ndogo sana..Scania ndio mume wa hao wote. Nilithibitisha kwa safari ya Mbeya hivi karibuni. Basi la Sauli ni Scania saa moja nimefika Mbeya kawapita wote, la pili Alysaid nayo Sacania na tatu nia Imani ambalo ni Higer. Narudi Bongo tena Sauli katufikisha saa moja na dakika 15, ikafuata Imani na baadae Alysaid. Hizo za kichina nasikia ziliingia saa nne.
Soma post zangu za zaman utaona nikielezea vizur torque versus hp miaka ya 2014...leo hii useme sjui hp na torque
Ni kingereza hujaelewa au em soma hapo ulipoquote uelewe mbona tayari nimeelezea
Jamani myonge mnyongeni haki yake mpeni mimi kama msafiri unambie nipande dar express au sunlong ya shabiby .. nachagua sunlong sababu seat zina nafasi .. TV nyuma ya seat , usb charger .. kupupwe cha kutosha ... choo ndani ...
Mchina hata kama hadumu sisi abiria tutapanda mchina sababu una relax ukiwa ndani ... mbio za nini ..
Nissan Diesel ni hatari. Umenikumbusha mabasi ya zamani kama Taofiq, Taqwa, Tawaqali na Simba Mtoto.Hizo body zimetengenezwa na Marcopolo na kufungwa injini ya Tata zinaitwa Tata Magma.
Bus za Isuzu,Nissan Diesel zilifanya vizuri na mpaka leo Raha Leo anazo Isuzu na Tawakal naye anatumia Isuzu.
Saizi watu wanachukua basi za mchina sababu ya bei nafuu na machaguo ya vitu vya luxury ndani ya basi kama siti,tv, chaja na friji.
Upendo inayotoka Mafinga SAA 1 asbh inafika dar saa 2usiku?Higer za upendo bado zipo barabaran, ndo gari pekee anazotumia Iringa-dar,
Yutong za super feo zimepiga root ngumu tu, sidhan kama km 400 za songea-iringa au songea-mbeya ni route nyepes, bado nasimamia kwny suala la matunzo. Hata sauli pamoja na kuwa na 95 scania kama atakua anatembeza gari kila siku bila kupumzisha haziwez kutoboa miaka miwili bila kuweka engine mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Upendo inayotoka Mafinga SAA 1 asbh inafika dar saa 2usiku?Higer za upendo bado zipo barabaran, ndo gari pekee anazotumia Iringa-dar,
Yutong za super feo zimepiga root ngumu tu, sidhan kama km 400 za songea-iringa au songea-mbeya ni route nyepes, bado nasimamia kwny suala la matunzo. Hata sauli pamoja na kuwa na 95 scania kama atakua anatembeza gari kila siku bila kupumzisha haziwez kutoboa miaka miwili bila kuweka engine mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Upendo inayotoka Mafinga SAA 1 asbh inafika dar saa 2usiku?
GRi mbovu kabisa
Upendo Traveller na Budget za Dar-Mbeya zilikuwa zinakimbiza Sana miaka ya 2009, zilikuwa Moja wapo iwahi kufika Mapema.Upendo inayotoka Mafinga SAA 1 asbh inafika dar saa 2usiku?
GRi mbovu kabisa
Jaja level nyingine huyu mtuHuu muda ,,Sauli hajawahi kuingia muda huu,, na hakuna gari yeyote toka vts ianze ushawahi kuingia muda uo,, ni record iyo Golden deer (NF) DPK 715 chini ya uangalizi wa Jaja.View attachment 1361039
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili jamaa linaongea kwa hisia sana....afu fact hanaKuuzwa sana kwa Tecno hakumaanishi ni simu bora kuliko Iphone au Samsung.
Punguza ushamba mkuu.
Get some exposure, siku ingine utaficha aibu ya familia yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Scania itakua juu kivipi sasa huku imeangushwa kimauzo kwny mabasi na malori
Scania ni overrated product, huo ubovu wa cummins ni upi labda? Sa hv umekubal cummins ni mmarekan huku kwny uzi wako ulisema ni ya mchina
Sent using Jamii Forums mobile app
Saul kwa hiyo njia ni mchumba tu.Ngoja nimpe video aone anavyonyanyaswa
Sent using Jamii Forums mobile app
Scania za Dar express au Kilimanjaro ni next level interms of seating.
Seats za mabasi ya mchina ni ngumu kama za Eicher. Ukipanda zile za kilimanjaro zipo comfortable and spacious.
Tatizo bus halikimbii.
Sent using Jamii Forums mobile app