Utaliweka wapi? kiwanja lazima kilipiwe kiwe na hati!! Kazi kwelikweliMlolongo ni mreefu mno!...Kusoma tu hayo maelezo yanachosha; Je kufuatilia itakuwaje?
Uaratibu wa hovyo haupo kumsaidia mwananchi Bali kumnyonya!
SITAKI KIBALI CHA HIVI MIMI; NITANUNUA KONTENA NILALE