Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Muone mwenyekiti wa serikali ya mtaa wako hata kama amepita bila kupingwa mtamalizana kwa uzuri kabisa.
Uchaguzi mmegomea halafu mumuone ili iweje, jiamulieni tu mambo yenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muone mwenyekiti wa serikali ya mtaa wako hata kama amepita bila kupingwa mtamalizana kwa uzuri kabisa.
Shilingi ngapi kupata kibali cha nyumba ya kuishi mbona haujasema?Labda urasimu kipindi cha nyuma lakini asaivi ukifuata njia sahihi utakipata kwa haraka zaidi
Manispaa gani ulipata mkuu?Malipo siyo makubwa,,,Me nlikipata kwa 30 elfu.
Rushwa sio nzuri kuitajatajaShilingi ngapi kupata kibali cha nyumba ya kuishi mbona haujasema?
Au ndo umeacha ili kuweka mwanya wa rushwa watu wakija kuomba?
HahaaaaRushwa sio nzuri kuitajataja
manispaa za miji na majiji kuna miungu watu, mbaya zaidi kila mmoja anataka kitu kidogo hii nchi ni corrupt sanaSi kweli kwamba tunapenda short cut. Shida ni ugumu wa upatikanaji wa huduma. Huo mlolongo si mfupi, kuna miezi ya nenda rudi na karaha hapo. Si ajabu aliyeandaa utaratibu hajawaandaa wahudumu. Matokeo yake ni usumbufu.
Hahaha samahani lakini mkuu
nimesema hivyo kwa sababu unaona mtu anafanya kivingine ukimleta kwenye uhalisia anajifanya anajua sasa ndo ivyo. Kuna mama alijenga maeneo ya mkondo wa maji sasa amemaliza ujenzi naja kumuambia hapa hapafai na namuonyesha na kalavati la maji ndo anapata presha.
hii nchi bana inanifurahishaga sana ila basi ni bora tufiche taaluma zetu ila wanaichi bana wanachosha aisehhh mpaka nakuwa emotional
Fence pia inahitaji kibali ila mlolongo wake ni mfupi. Unaandika barua ya maombi ukiambatanisha nakala ya hati, risiti za malipo ya kodi ya ardhi pamoja na mchoro wa fence. Baada ya uhakiki wa umiliki na ukaguzi wa eneo husika unalipia kibali na unapata
Ahsante kwa "siledi" nzuri japo za hivi wachangiaji wanakuwa pungufu tofauti jukwaa la chit chat au MMU.
kuukamirisha##kuukamilisha, ikalingana##ikaringana.Kuukamirisha huo mchakato mpaka kuanza ujenzi, mtu unakuwa ushapigwa pesa ambayo huenda ikaringana na gharama za ujenzi wa nyumba mpya
_ where ever you are remember me_
Hayo tunapenda kuyafuata tatizo ukiritimba hicho kibali kukipata utajuta unaweza uka ghair na kujenga
Sent using Jamii Forums mobile app
kibali##kibari,manispaa##naanispaa,nitakayotoa##ntakayotoa.Hapo hujasema ada za kibari muda wa kupata kutegemeana naanispaa na mkoa ilipo,kiwango cha hongo ntakayotoa ili mi nivipate kwa wakati
Sent using Jamii Forums mobile app