Ndama Matandiko
Member
- Jun 24, 2024
- 34
- 50
Wana JF Habari za siku nyingi kidogo wakuu?
Sasa mliopo Zanzibar nimewafikia kama una changamoto ya kimazingra katika Petro station ⛽
Yako unataka kituo kivutie wateja wako Kwa madhingira kuwa mazuri zaid.
Ama unahitaji kujenga au kulekebisha kituo chako
Karibu tushauliane tutoe kitu kizuri CHENYE muonekano wa kisasa.
Kingine ninachowakumbusha MAFUNDI na MABOSS katika kujenga kituo Cha mafuta MUHIMU zaidi katika kupata vibari vya biashara ni MFUMO WA MAJI SAFI NA MAJI TAKA.
Hili Sasa ni la kuzingatia sana usije ukajenga kituo ukahisi umemalliza baadae katika kuomba vibari vya biashara serikal ikija kujiridhisha wanakuta mfumo hauko vizur .
Utaambiwa tengeneza kwanza mfumo wa MAJI safi na MAJI TAKA.
Kisha njoo Tena kuomba vibari.
Hapo kidogo unaweza pata hasara ya kuvunjavunja na kutenegeza kitu kinachoepukika.
Hili halitakiwi tunahitaji kwenye ujenzi wa hii sekta ya vitu vya mafuta tufanye kweli mpka hata EURA wakifka wakose Cha kuhoji na haya ndio Marengo yetu katka ujenzi wa Petro station.
Tunahitaji mapinduzuzi makubwa sana katika hili tufanye vizuri zaidi.
KINGINE mafundi jitahidini kusimama katika UBORA wa kazi kumekuwepo na tabia ya Maboss kusema Fanya hivi kwani mbona Sehem flan tulifanya hivi.
Simanishi boss astoe ushauri hapana anaweza toa ushauri mzuri na ukaufanyia kazi.
Ila tu uwe ndani ya neno Ubora katka kazi.
Mshauri boss kitu kizuri na kama hataki .
Mueleweshe mazara na faida zake katka kazi hiyo.
Usifanye kazi Kwa ajiri ya kuchukua pesa tu .
Tengeneza kazi nzuri yenye kupendeza. Ili kupitia kazi hiyo unaweza tengeneza pesa zaidi.
Asante sana
Mawasiliano
0719639433
Sasa mliopo Zanzibar nimewafikia kama una changamoto ya kimazingra katika Petro station ⛽
Yako unataka kituo kivutie wateja wako Kwa madhingira kuwa mazuri zaid.
Ama unahitaji kujenga au kulekebisha kituo chako
Karibu tushauliane tutoe kitu kizuri CHENYE muonekano wa kisasa.
Kingine ninachowakumbusha MAFUNDI na MABOSS katika kujenga kituo Cha mafuta MUHIMU zaidi katika kupata vibari vya biashara ni MFUMO WA MAJI SAFI NA MAJI TAKA.
Hili Sasa ni la kuzingatia sana usije ukajenga kituo ukahisi umemalliza baadae katika kuomba vibari vya biashara serikal ikija kujiridhisha wanakuta mfumo hauko vizur .
Utaambiwa tengeneza kwanza mfumo wa MAJI safi na MAJI TAKA.
Kisha njoo Tena kuomba vibari.
Hapo kidogo unaweza pata hasara ya kuvunjavunja na kutenegeza kitu kinachoepukika.
Hili halitakiwi tunahitaji kwenye ujenzi wa hii sekta ya vitu vya mafuta tufanye kweli mpka hata EURA wakifka wakose Cha kuhoji na haya ndio Marengo yetu katka ujenzi wa Petro station.
Tunahitaji mapinduzuzi makubwa sana katika hili tufanye vizuri zaidi.
KINGINE mafundi jitahidini kusimama katika UBORA wa kazi kumekuwepo na tabia ya Maboss kusema Fanya hivi kwani mbona Sehem flan tulifanya hivi.
Simanishi boss astoe ushauri hapana anaweza toa ushauri mzuri na ukaufanyia kazi.
Ila tu uwe ndani ya neno Ubora katka kazi.
Mshauri boss kitu kizuri na kama hataki .
Mueleweshe mazara na faida zake katka kazi hiyo.
Usifanye kazi Kwa ajiri ya kuchukua pesa tu .
Tengeneza kazi nzuri yenye kupendeza. Ili kupitia kazi hiyo unaweza tengeneza pesa zaidi.
Asante sana
Mawasiliano
0719639433
Attachments
-
IMG_20240818_182932_253.jpg1 MB · Views: 13 -
IMG_20240917_074332_785.jpg688.7 KB · Views: 15 -
IMG_20240818_182932_253.jpg1 MB · Views: 18 -
IMG_20241016_154841_278.jpg1.3 MB · Views: 15 -
IMG_20241022_103905_346.jpg1.5 MB · Views: 17 -
IMG_20241022_103905_346.jpg1.5 MB · Views: 13 -
IMG_20240818_183023_185.jpg536.3 KB · Views: 17 -
IMG_20240917_074332_785.jpg688.7 KB · Views: 14