Fahamu kwanini ukiwa na tatizo ndugu yako Polisi hawezi kukusaidia bila wewe kutoa pesa

Fahamu kwanini ukiwa na tatizo ndugu yako Polisi hawezi kukusaidia bila wewe kutoa pesa

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!

Ikiwa uko selo ya polisi Tanzania, au ndugu yako yuko lupango ukimfuata rafiki yako au ndugu yako polisi akusaidie kumtoa jamaa yako lazima atakuzungusha na mwisho wa siku atakurudisha kwa mwenye jalada (a.k.a mwenye dili lake)

Ni kama wameapa hakuna kuingiliana madili. Ukiwa na tatizo polisi hulichukua kama dili sasa wewe ukimfuata afande mwenzako amwachie mtuhumiwa kwa dhamana ya masharti rahisi ni sawa na umemwingilia dili lake na atajua kuwa wewe umepiga pesa ambayo alipaswa aipige yeye.

Aidha aagizwe na afisa wa ngazi ya juu yake, pawepo na gape kubwa la kicheo ndipo atamwachia.

Aidha huyo ndugu yako awe wa baba mmoja ambapo majina yafanane na yako ndipo ukimlilia afande wa ambaye ni swahiba wako ataamini kuwa hakuna dili hapo anaweza kukusaidia.

Tuendelee kuhesabiwa kwa maendeleo ya nchi.
 
Ukiwa Polisi wewe ni dili ukifikishwa Mahakamani huko nako wewe ni dili tena huko ni mbaya zaidi kwa sababu Kuna Hakimu Kuna Karani wa Mahakama na watumishi wa ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali wote wanataka mgao na Kama bahati yako mbaya Mawakili nao unapata mbaya ambaye Yuko kipesa zaidi ukifika Magereza nako wewe ni dili system yooote imeoza
 
Ukiwa Polisi wewe ni dili ukifikishwa Mahakamani huko nako wewe ni dili tena huko ni mbaya zaidi kwa sababu Kuna Hakimu Kuna Karani wa Mahakama na watumishi wa ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali wote wanataka mgao na Kama bahati yako mbaya Mawakili nao unapata mbaya ambaye Yuko kipesa zaidi ukifika Magereza nako wewe ni dili system yooote imeoza
Nani aikomboe nchi na hayo matatizo?
 
Ukiwa Polisi wewe ni dili ukifikishwa Mahakamani huko nako wewe ni dili tena huko ni mbaya zaidi kwa sababu Kuna Hakimu Kuna Karani wa Mahakama na watumishi wa ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali wote wanataka mgao na Kama bahati yako mbaya Mawakili nao unapata mbaya ambaye Yuko kipesa zaidi ukifika Magereza nako wewe ni dili system yooote imeoza
Karani anaingiaje hapo....uhongaji inategemea kesi iko stage gani....ikiwa ndio umekamatwa basi una deal na polisi....Ukiona polisi wanahanya kesi ngumu ..subiria mahakamani cheza na ofisa upelelezi kwenye ushahidi...akihanya ...cheza na hakimu na PP....wakiona ngoma ngumu...subiri ukifungwa ukatokee kwa njia ya rufaa....Hii inasaidia usipigwe hela mingi...NB..ukipata na tatizo acha wenge...kaa selo ata siku tatu ata kama hawajapeleka jarada mahakamani(24 hrs kutoka kushikiliwa mahabusu polisi inabidi mtuhumiwa afunguliwe mashtaka)...Polisi wanatake advantage ya wenge lako kukupiga hela...wakiona uko cool na uko knowledgeable na issue hizo wanatuliza moto...........NB;ukishindwa kuhonga kote huko nenda karoge jela sio kuzuri


Kubwa zaidi:Uhalifu haufai kuna kubinywa mbupu
 
Ukiwa Polisi wewe ni dili ukifikishwa Mahakamani huko nako wewe ni dili tena huko ni mbaya zaidi kwa sababu Kuna Hakimu Kuna Karani wa Mahakama na watumishi wa ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali wote wanataka mgao na Kama bahati yako mbaya Mawakili nao unapata mbaya ambaye Yuko kipesa zaidi ukifika Magereza nako wewe ni dili system yooote imeoza
Inasikitisha sana.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom