Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

Pole sana mkuu vipi uliacha au still unaendelea na kilimo

great thinker
Bado naendelea hata mwaka huu ntalima mpunga. una faida sana changamoto ni kumpata mtu sahihi wa kusimamia, ile ilikuwa mara ya kwanza, ugeni na uvivu vikafanya nimpe jukumu jamaa kumbe nae ndo ivo.
 
Hiki tunaita kilimo cha SIMU!! Yaani unalima kwa simu, unapalilia kwa simu, unaweka mbolea kwa simu na unavuna kwa simu!! Kuwa makini mkuu kilimo ni uti wa mgongo wa taifa, hakiitaji ulelemama!!
Umenikumbusha kuna Mzungu mmoja Mholanzi alikuja Arusha, sasa akawa anashangaa kwamba huku Wakulima wanakaa mjini na mashamba yako yenyewe hulo Polini. Akasema Ulaya na kwingineko Wakulima wanaishi mashambanni na mjini huenda tu kupeleka bidhaa na kununua baadhi ya mahitaji yao.
 
Habari zenu wajariamali wenzangu.Juzi nilibandika uzi humu wa'Kesho naenda kumbelea shamba langu la milkfish,' Niliahidi kuwapa updates zote nitakapofika site kesho naenda kutembelea shamba langu la mikorosho

Jana nilifika mchana nilipofika tu nikaenda shambi kuangalia mazingira/shamba. Leo kulipokucha tu tulianza safari ya shamba na vijana wangu.

8818d6c1c855bc3a1f965786c513067d.jpg

Safari shambani
c6089ea853d4eb39e4079b468afae74c.jpg

Shambani mambo sio mabaya mikorosho imeshatoa mauwa na mingine imeshatoa tegu

19b1a8e8968601605a3332eb32b2f385.jpg

Mambo mazuri kama unavyoona
Shughuli za leo shambani zilikuwa ni kupuliza dawa na kusafisha shamba ili kuweka mazingira vizuri kwa kusubiria mazao yaanguke.

Historia fupi ya Shamba.

Shamba nilinunuwa mwaka juzi.Shamba lina ukubwa wa ekari mbili lina jumla ya mikorosho 100.Nilianza kulihudia mwaka 2016 kwa kukata mikorosho 40 ya zamani/iliyozeeka na kupanda ya kisasa.Rasmi mwaka jana nilianza kulima kwa maandalizi ya msimu unaokuja.Kwa kuwa nilitumia gharama nyingi sana sikuweza kulihudimia vizuri shamba langu.
Nilitumia jumla ya shilingi 2k kuliandaa.Msimu ulipoanza nilipata jumla ya kg2000 ambayo kwa mwaka jana bei ya @kg1=3500 Hivyo.

2000×3500=7000,000/ nashukuru Mungu mwaka jana mambo yalikuwa mazuri kidogo.Niliweza kutengeneza faida nzuri sana.Mwaka huu nimeongeza bajeti ya shamba kwani wanasema,"The higher the risk the higher the demand".
Nashukuru Mungu mradi wa shamba umenifungulia njia katika ujariamali hadi sasa nimefanikiwa kuwekeza katika maeneo mawili.

%2Fstorage%2Fsdcard0%2F360%2FC360_2017-09-16-10-15-04-787.jpg

Baada ya shughuli kupumzika muhimu

9c10e90454600d6395bd87c4439451a8.jpg
1f7d56555ef143a7c22bdfae8615b4ff.jpg
6e22dc3b6701283fa6e89e5b5aae980e.jpg

NB Mimi ni mwajiriwa serikalini hivyo changamoto ni nyingi katika kuendesha shughuli hizi za shamba

Karibuni​
 
Acha uongo,kg zote ulilipwa kwa bei ya 3500!?By the way muombe Mungu Maua yaende vizuri maana Korosho bado.
 
Excellent. Wapi hapo. Hebu tusaidie Kwa wastani eka 1 Inaweza kutoa Kilo ngapi? Binafsi Nina Shamba la Eka 20,lilikuwa na mikorosho mikongwe, nimeng'oa yote. Bado sijashawishika kama korosho ni commercially viable!
 
Excellent.Wapi hapo.Hebu tusaidie Kwa wastani eka 1 Inaweza kutoa Kilo ngapi?
Binafsi Nina Shamba la Eka 20,lilikuwa na mikorosho mikongwe,nimeng'oa yote.Bado sijashawishika kama korosho ni commercially viable!
 
Excellent.Wapi hapo.Hebu tusaidie Kwa wastani eka 1 Inaweza kutoa Kilo ngapi?
Binafsi Nina Shamba la Eka 20,lilikuwa na mikorosho mikongwe,nimeng'oa yote.Bado sijashawishika kama korosho ni commercially viable!
Korosho kwa miaka hii ni commercial ina bei nzuri sana, ast year bei ilikuwa tsh3500, lakini kuna uwezeko ikapanda hadi 5k. Kama una shamba panda mikorosho after 3 yrs wewe tajiri
 
Bei ya korosho inatarajiwa kushuka sana kama ilivyokuwa ya mbaazi. Mwaka jana ilikuwa kilo sh2000, mwaka huu ni sh150 hadi sh200.
 
Hongera mkuu!

forumyangu ni hali gan ya hewa nzuri kwa mikorosho kukua vizuri!
 
Bei ya korosho inatarajiwa kushuka sana kama ilivyokuwa ya mbaazi. Mwaka jana ilikuwa kilo sh2000, mwaka huu ni sh150 hadi sh200.
Hapa kuna ukweli flani. Tutegemee anguko la bei ya korosho mwaka huu maana wanunuzi wakuu ndio ambao kila siku wapo mahakamani kwakesi zisizo na tija yoyote.
 
Kuna watu wana roho mbaya yaani wanataka watu wasifike juu
 
Ekari 2 mikorosho 100?? Seriously??
M mwenyewe nalima!ila kuna fix zimepigwa,eka 2 mikorosho 100 sijajua amepandaje? Ndo maana nikamwambia haiwezekani auze Korosho zote kwa 3500, it means zote ziliuzwa kwa mnada mmoja. Jamaa inaonekana analima kweli ila ufafanuzi umeongwzewa chumvi kidogo.
 
Back
Top Bottom