Shaibu Hiwalisi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 603
- 582
Uliza mtu yeyote ambaye unamuamini ambae ndani ya mwezi huu au uliopita alikuwa masasi kuhusu bei ya mbazi wanavyouza mwaka huu, halafu bila ubishi au ushabiki nijibu.Ndoto za mchana hizo kwa sasa bei elekezi ni tsh1400 from 1200 last year