PatriceLumumba
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 426
- 581
kweli kabisa mkuu nimepita ukanda wa bagamoyo nimeona namna mikorosho ilivyostawi na kubeba korosho nyingi ilihali haina matunzo kabisa ya kusafishiwa kutifuliwa wala haijawahi kupuliziwa dawa kwa ujumla zinakubali sana ukanda wote wa pwani
HABARI,
"zegebovu1,
Huo ukanda wote ndio Ukanda wa korosho ukiweza kupata heka 10 ukazitunza vema wewe ni tajiri ukipata zaidi ndio inakuwa habari njema zaidi.
Sisi tunalalamika sana mambo ya ajira na mambo mengine ila hii aridhi ya bure tunayoiacha nyasi zinakuwa tukiitumia vema ni utajiri tosha huo ndio msaada pekee Serikali inayotupa kwamba tuna ardhi na upatikanaji wake ni mwepesi nenda nchi kama Rwanda utapata jibu.Endelea kufanya upembuzi Tafuta eneo ukipata kubwa zaidi itakuwa vema.
Ukipata nijulushe nikutumie video ya kufundisha jinsi ya kubebesha mikorosho unaweza kubebesha wewe mwenye ukapunguza gharama.
LUMUMBA