veeswt
Senior Member
- Jan 26, 2017
- 167
- 324
From Sir With Love,
Sir With Love
Kindly nikushukuru kwa ushauri wako.shuuli niifanyayo haiitaji pumzi ville. Ni vile tu awa wataalam wetu wamentisha na mizani yao ya uref na uzito.
Hapo awal nlkua nkiridhika mbona na umbo langu. Hofu ilianza waliponiambia hivyo.
Labda niulize kwa wataalam kuna madhara kua mrefu with less kilos?
Sir With Love
Kindly nikushukuru kwa ushauri wako.shuuli niifanyayo haiitaji pumzi ville. Ni vile tu awa wataalam wetu wamentisha na mizani yao ya uref na uzito.
Hapo awal nlkua nkiridhika mbona na umbo langu. Hofu ilianza waliponiambia hivyo.
Labda niulize kwa wataalam kuna madhara kua mrefu with less kilos?