Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kuhusu mayai ya kisasa imekuwa ni dhana tu.Kula chakula mdo mdo, sio unakula kingi kwa wakati mmoja,
Usile masaa mawili au matatu kabla ya kulala,
Lalia upande wa kulia au chali
Kunywa maji mengi
Usile mavyakula ya Artificial sana na vyenye sukari nyingi kma majuisi na mayai ya kisasa
Mwisho ujue sio kila mtu ananenepa, wengine sisi hata iweje bado ni vimbau mbau.
Ma ngwengwe ndiyo ma nini mkuu?Pata ngwengwe
Kwa mwanamke ni rahisi sana tu. Anzisha biashara ya mama lishe ama mgahawa, matokeo lazima yajibu.Me mwenyewe nataka kuwa chibonge.
Ngoja niweke kambi hapa
Ila kwa kweli sikatai. Kwetu sisi wabantu mwanamke mnene ana heshima zake. Na siyo anaheshimiwa na wanaume tu, hata wanawake wenziye wanamheshimu pia.Ni mwembamba mwenywe nyama, ila sasa nataka ziongezeke ongezeke
Usile vyakula vya wanga kwa wingi(carbohydrates). Maugali na wali kula kidogo sana.
Usinywe bia (safari lager, Kilimanjaro, and the like).
kwenye mpododo au sioAngalia usije nenepa taarabu ohoo hakuna maisha maraisi hivyo boss...
Zoezi la tumbo lazima ufanye usipofanya chakula kitakimbilia ta ko ni
hahaaa...mkuuu mbona kuna watu ni wanene ila the whole body lakin hawana vitambi na hawafanyi mazoezi kabisaMkuu kanuni hivyo unavyotaka kanuni zinakataa..huwezi kutaka unene halafu hutaki kufanya juhudi zozote za kukata tumbo hiyo haiwezekani,maisha hayajawahi kuwa rahisi namna hiyo..hayo unayotaka nayafananisha na mwanamke anaetaka kuolewa ila hataki kutoa unyumba kwa mumuwe sasa sidhani kama yuko serious na ndoa..
Mungu Ibariki Tanzania[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Morogoro
Mkuu kuhusu mayai ya kisasa imekuwa ni dhana tu.
Lakini ukiangalia food value ya yai la kienyeji na hilo la 'kizungu' kiwango cha protein na corestrol kinalingana!
Kama issue ni kukwepa ma protein ya yai, usibague, acha kula kitu chochote kinachoitwa yai.
Lakini kusema sijui hili ni yai la kinyamwezi, sijui la kizungu ni kujiua mwenyewe bila kukusudia.
anajitahidi sana kunipikia ila suala ni kitambiMwambie dada akupikie mapochopocho!
Ziongezeke sehemu ipi ama eneo gani hasa?Ni mwembamba mwenywe nyama, ila sasa nataka ziongezeke ongezeke
PamojaTupo panoja.
😂😂Mi umeniacha hoi kwenye jina lako tu.
kwenye mpododo au sio
hahaaa...mkuuu mbona kuna watu ni wanene ila the whole body lakin hawana vitambi na hawafanyi mazoezi kabisa