Fahamu mzunguko halisi wa Jua na Sayari zinazolizunguka

Fahamu mzunguko halisi wa Jua na Sayari zinazolizunguka

Sijasema Picha Upige wewe We nionyeshe tu Realistic Picha..

And By the way lets see U achokiita Kivuli cha Dunia Unachokiona Kwenye mwezi..

sijalataa na Sijawahi kukataa kwamba kivuli ni cha Duara, So do Earth..Narudia Tena Earth kuwa Flat haimaanishi Ipo kama Shamba la Bustani ila ni Kama disc ambayo nimekuambia Juu its a Dome like ambayo Hubeba Hizo nyota na Jua na mwezi..

so ulichokiona Ni sawa kabisa ni kivuli cha Dunia (The flat disc)..
View attachment 3143314

All this Are Impacted in your Brain and Made you feels its really something happening but sure am telling you Nothing Thing like Gravity..

Wakiona Something Goes against what they thinking lets say something goes Against Gravity watakuambia Hiyo ni centrifugal force..
Watakuambia Kuhusu Dark energy et al shtuka...

Maana Failed Theory is the Formulation of Another antagonistic ones
Wewe kwa maelezo yako naomba unifafanulie motion ya hii system dunia-moon and sun kwa kutumia flat earth model, usinitumie podcast za watu just nielezee how that motion occurs na vimepangiliana vipi, kipi kinachomove hapo ? Nimeona kama unamaanisha dunia iko stationary ila mwezi na jua ndo vina revolve around it, Is it???
Kuhusu gravity sibishani tena na ww, I told you nimeshafanya hizi experiment kwa muda wako wewe utafanya kubaini. Incase utahitaji nyingine ntakupea pia
 
Wewe kwa maelezo yako naomba unifafanulie motion ya hii system dunia-moon and sun kwa kutumia flat earth model, usinitumie podcast za watu just nielezee how that motion occurs na vimepangiliana vipi, kipi kinachomove hapo ? Nimeona kama unamaanisha dunia iko stationary ila mwezi na jua ndo vina revolve around it, Is it???
Kuhusu gravity sibishani tena na ww, I told you nimeshafanya hizi experiment kwa muda wako wewe utafanya kubaini. Incase utahitaji nyingine ntakupea pia
Mimi pia Nimefanya Mkuu tena Nyingi sana Nahisi Kwa Umri wangu nimefanya Nyingi sana Kuhusu Gravity..
 
Waende google wakaangalie alaska ile state ya marekani ipo karibu zaidi na russia kuliko uingereza kama dunia ni flat hio ingekuwa imposible
Mkuu Unatumia Ramani Ipi Kuangalia Ukaribu wa Alaska na Russia Is it Mecator Projection Ramani ya mwaka 1500s Ambayo Kulikuwa hakuna uvumbuzi wowote??

Unataka Kusema kuwa kwakuwa Dunia Ni duara bhasi Singida kwenda Arusha Huwa ni karibu kuliko singida kwenda Morogoro ??

Thats Unfactual facts..

Unajua Alaska na visiwa vya russia wana tifauti ya masaa 20??

Na humu pia Niliwahi Kuandika Kuhusu Hivyo visiwa Unasema Viko karibu lakini Vinatofauti ya Almost Siku nzima
 
Daaah kabisa aiseee....
Unajua kuna mambo mengine unaweza tumia common sense tuu jaman
HAha Mkuu Mimi ni flat earth wa Kuchangamsha Mda tu..
Ila swala linakuja Wao wanaosema ni earth is Round na Bado wanaenda kanisani wana amini Nini?
🤣🤣🙌🙌🙌
Mimi naamini kuwa Dunia Ni duara na Siamini kuhusu Flat Earth sema Huwa nawasogeza sana Wafia Dini wakisogea Nawapiga Nyundo
 
wewe si huzikubali picha za dunia duara kwa kuwa unadai ni fake, tuletee picha halisi zikionyesha dunia ni flat...
Sasa Si kila siku napiga Picha na Sijawahi kuwa kwwnye Duara mkuu..
Picha ziko nyingi sana zinazointesha dunia Sio duara hata kwenye simu yako kuna Picha Ambazo zilo tambarare
 
HAha Mkuu Mimi ni flat earth wa Kuchangamsha Mda tu..
Ila swala linakuja Wao wanaosema ni earth is Round na Bado wanaenda kanisani wana amini Nini?
🤣🤣🙌🙌🙌
Mimi naamini kuwa Dunia Ni duara na Siamini kuhusu Flat Earth sema Huwa nawasogeza sana Wafia Dini wakisogea Nawapiga Nyundo
Wewe dactar sasa utakuja kupigwa...
Una fanya watu wachimbe huko ili waje kutetea hoja alafu wewe kumbe una wainjoi 😂😂😂😂😂😂😂😂

Watakupiga
 
Wewe dactar sasa utakuja kupigwa...
Una fanya watu wachimbe huko ili waje kutetea hoja alafu wewe kumbe una wainjoi 😂😂😂😂😂😂😂😂

Watakupiga
Huku ndo wanajifanya wanatoa Nondo ila kule kwenye Uzi wa Flat earther siwaoni kabisa...

 
Huku ndo wanajifanya wanatoa Nondo ila kule kwenye Uzi wa Flat earther siwaoni kabisa...

Mkuu huu uzi huwa na uheshimu sana yaani kule ukienda na geography yako ya form 1 unachofanywa.....

Kwanza picha linaanza uzi umeanza na prove kama 100 kuwa earth ni flat..

Alafu baada ya hapo unakutana na miamba inapangilia mambo mpaka unajuta
 
Mkuu huu uzi huwa na uheshimu sana yaani kule ukienda na geography yako ya form 1 unachofanywa.....

Kwanza picha linaanza uzi umeanza na prove kama 100 kuwa earth ni flat..

Alafu baada ya hapo unakutana na miamba inapangilia mambo mpaka unajuta
🤣🤣🤣😅 Na Ubaya Zaidi Ukijifanya Kusupport Earth ni Round sijui Spherical.Wana Wanakukufurisha wanakupeleka kwenye Maandiko yako ya Dini Unayakana halafu story inaendelea 😅😅
 
Mkuu huu uzi huwa na uheshimu sana yaani kule ukienda na geography yako ya form 1 unachofanywa.....

Kwanza picha linaanza uzi umeanza na prove kama 100 kuwa earth ni flat..

Alafu baada ya hapo unakutana na miamba inapangilia mambo mpaka unajuta
Kwa mfano Mayu Alipigwa knockout Huko Hakurudi tena..
 
🤣🤣🤣😅 Na Ubaya Zaidi Ukijifanya Kusupport Earth ni Round sijui Spherical.Wana Wanakukufurisha wanakupeleka kwenye Maandiko yako ya Dini Unayakana halafu story inaendelea 😅😅
Kule kuna miamba imeiva yaani imesoma advanced physics na geograpy hv wanajua wanakukanda vipi maana ili ubishane nao lazima na ww uwe umeshiba ...

Alafu wanapokezana kuna jamaa wakiona anazidiwa anakuja mwingine daaah wale watu kule wamevurugwa 😂😂😂😂😂😂😂
 
Kule kuna miamba imeiva yaani imesoma advanced physics na geograpy hv wanajua wanakukanda vipi maana ili ubishane nao lazima na ww uwe umeshiba ...

Alafu wanapokezana kuna jamaa wakiona anazidiwa anakuja mwingine daaah wale watu kule wamevurugwa 😂😂😂😂😂😂😂
Kule Kuna Watu waliosoma Theoretical Phyisics na Geophysics na Wameamua kuwa upande wa Flat earth kuwashindwa kwa elimu ya Physics ya Advance au ya chuo tu sio kweli
 
Back
Top Bottom