abdulrahman Said
JF-Expert Member
- Sep 11, 2019
- 719
- 952
Wewe kwa maelezo yako naomba unifafanulie motion ya hii system dunia-moon and sun kwa kutumia flat earth model, usinitumie podcast za watu just nielezee how that motion occurs na vimepangiliana vipi, kipi kinachomove hapo ? Nimeona kama unamaanisha dunia iko stationary ila mwezi na jua ndo vina revolve around it, Is it???Sijasema Picha Upige wewe We nionyeshe tu Realistic Picha..
And By the way lets see U achokiita Kivuli cha Dunia Unachokiona Kwenye mwezi..
sijalataa na Sijawahi kukataa kwamba kivuli ni cha Duara, So do Earth..Narudia Tena Earth kuwa Flat haimaanishi Ipo kama Shamba la Bustani ila ni Kama disc ambayo nimekuambia Juu its a Dome like ambayo Hubeba Hizo nyota na Jua na mwezi..
so ulichokiona Ni sawa kabisa ni kivuli cha Dunia (The flat disc)..
View attachment 3143314
All this Are Impacted in your Brain and Made you feels its really something happening but sure am telling you Nothing Thing like Gravity..
Wakiona Something Goes against what they thinking lets say something goes Against Gravity watakuambia Hiyo ni centrifugal force..
Watakuambia Kuhusu Dark energy et al shtuka...
Maana Failed Theory is the Formulation of Another antagonistic ones
Kuhusu gravity sibishani tena na ww, I told you nimeshafanya hizi experiment kwa muda wako wewe utafanya kubaini. Incase utahitaji nyingine ntakupea pia