Can You show Me, Picha Yoyote ya Dunia Iliyopigwa na Satellite! Can you all the picture are CGI related..
Unaandika Maandishi mengi But yote hayana Maana..
Umewahi Kufika Kwenye Mwezi?? Au na wewe utaniambia kwa sababu imeandikwa?
Umewahi Kuiona Gravity au ni kwa sababu unaisoma?
Umewahi Kuona Ramani Modern tofauti na Mercator ProjectioN vipi NASA wametuletea Ramani ipi??
Unazungumzia Kuhusu Theory? Really Kitu ambacho mimi naweza nikakaa na kutunga..
Theoretical Physics And Geophysics Actually they are not Really science are just Branches of Philosophy kama Ulikuwa Hujui..
You can not even prove kwamba Kuna Sayari zingine how do you Found them..
Wakati kutoka Sayari moja mpaka Nyingine ni Hundreds of Lights Years..
Halafu unaniambia umeziona..Thats funny You just Thinks your Maths Ability will prove matter..
Thats Nonsensual Facts i ever heard
Kwa arguments zako utahitaji picha nipige mimi pia na hata ukioneshwa picha utakataa, sioni haja ya wewe kuoneshwa picha. 2/ Kuita theoretical physics philosophy ni upungufu wa akilli, I suppose you have no idea what an empirical evidence is You kept assuming one just wakes up kisha anaanza kuongea kama unavyofanya wewe na flat eather wenzako.
Nikurekebishe hapo unaposema nimekwambia nimeziona (collect your facts usibwabwaje)
Unataka nifike kwenye mwezi why? I have observed kivuli cha dunia during eclipse and it's round wewe unasema iko flat sijuwi kupatwa kwa mwezi unaielezea vipi!?
Unataka kuiona gravity ndo uamini kama ipo, have you seen Oxygen? Have you seen Hydrogen? Have you seen electricity? Have you seen Radio waves? Have you seen sound? Have you seen Heat? How do you explain Radio transmission and you've never seen Radio waves?? Wewe ndo kama dokta mwenzako sule anayewaambia watu mawasiliano yanafanywa na majini stupid mindset.
What do you think holds the moon in its orbit?? Why do you think you have weight? Chukua puto jaza hewa weka kwa maji why do you think it floats? Ni upthrust, have you seen it? Is it not there??
It's fun unaona hata mkojo wako unaenda chini and you doubt wether there's gravity or not?
Back'n school, tuliweza kutafuta muda goroli itafika chini ukiiachia kutoka kwa inclined plane on our Math we had
gravity as one of the terms and gues what we precisely estimated the time
Tuliweza kupredict how many oscillations a pendulum can make in a given time Mathematically and we had
"gravity in our Math'' and guess what, SUCCESS
We designed a quadcopter, tuliestimate flight time per charge and guess what our Math had "
gravity" as one of the terms, can You guess!! SUCCEEDED, sasa wewe umekaa unabishana na hujuwi how things work and you have guts kuongea shits on Math.
Nikurekebishe pia, theory hazitungwi kama falsafa and are supposed to be Mathematically provable and supported by Empirical evidence sio kama watu wenu wa falsafa wanaamua tu dunia iko flat, in science we have theories, laws and principles kitu nyinyi hamuelewi