Fahamu mzunguko halisi wa Jua na Sayari zinazolizunguka

Fahamu mzunguko halisi wa Jua na Sayari zinazolizunguka

Kwamfano utasoma sehem unaambiwa jamii flani ya kale iliishi kati ya miaka 2137 kabla kristo.
Unabaki ukijiuliza, habari hii ni nani alie thibitisha?

Binafsi nikisoma habari aina hiyo, huwa naipuuza na kuiona ni sawa na matango pori.
Ungesoma radioactivity hivi vitu visingekushangaza ungeelewa.
Sasa mtu hata hujuwi hata isotopes ni nini utaweza kuelewa? Shida watanzania ujuaji mwingi maeneo ya watu mnaonekana mazwazwa
 
Wengi tumekuwa na mawazo ya kuwa dunia inalizunguka jua ambalo limetulia sehemu moja halizunguki wala kutembea ila kiuhalisia mambo yapo tofauti na unavyofikiria. wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka jua, jua pia linafanya mzunguka mkubwa kwenye space likizunguka galaxy ya milk way likifanya hivyo kwa kutuchukua sisi na sayari zote ikiwepo dunia kwenye mzunguko huo

View attachment 3138872

Galaxy ya milk way ni kubwa ikiwa imebeba nyota zenye idadi kubwa na sayari zake, gesi, vumbi na uchafu mwingi ikiwa na upana wa ( 100,000 light years) View attachment 3138880

miongoni mwa kitu cha kuvutia kuhusu galaxy yetu ni mzunguko wake kama gurudumu kubwa la duara linalopelekwa na upepo, mzunguko huo hufanya gesi na nyota zilizomo kuzunguka kwa mduara. Jua letu na sayari zake linapatikna kwenye mmoa ya mikono/mbawa zake umbali wa (25,000 light years) kutoka katikati ya galaxy View attachment 3138875

Kama vile dunia linavyolizinguka jua, jua linazunguka kwenye center ya galaxy ya milk way kwa kasi ya maili 143 kwa sekunde liki kamilisha mzunguko wote baada ya miaka millioni 230, mzunguko huo sio kama duara kabisa ila lina panda na kushuka kwenye galactic plane likitumia miaka millioni 60 kila likipanda na kushuka View attachment 3138876

Sio tu jua linalotembea bali hata galaxy pia zinatembea na kwa sasa galaxy yetu ikiwa inaelekea kwenye galaxy ya karibu inaitwa Andromeda. View attachment 3138877

galaxy ya milk way pamoja na galaxy zingine zilizopo kwenye kundi la galaxy linaloitwa Local Group likiwa na takribani galaxy 54 zote zikiwa zinaelekea kwenye mvutano mkubwa wa ajabu unaoitwa The Great Attractor, View attachment 3138883

pia hapo siyo mwisho ulimwengu wetu wote unatanuka kwa kasi kubwa na kufanya galaxy kuwa mbali mbali kuliko ilivyokuwa zamani
Hizi nazo ni story tu kama story nyingine, ambazo hazifati utaratibu wa Kisayansi.

Naomba utuelezee hili jambo kwa kufata hatua za Kisayansi mpaka wakafikia hitimisho hilo.

Sababu hizo picha ulizo tuwekea zinaonekana ni picha bunifu tu kwa kutumia software husika.

Unaweza kututhibitishia ukweli wa haya uliyo tuwekea ?
 
Yas kila kitu kinazunguka, the universe is in motion.

Hiyo ni lazima ili muda uendelee kuwepo. Kitu kikitulia tuli kinakuwa hakina muda na ndio kinakuwa hakipo!!! Lazima ujongeee tu bro
Muda unahitaji nafasi na uwepo tu, sababu muda haufubgamani na kitu chochote isipokuwa mwendo wa jua tu.

Sasa unaposema kitu kikiwa tuli kinakuwa hakina muda vipi wakati muda upo nje ya kitu husika ?
 
According na hiki ulicho elezea naomba nikuulize je unaelewa nini kuhusu mfumo wa Heliocentric na Geocentric?? 😎🤝🏽
Baada ya kuingia google kudadavua nimegundua kumbe bado kuna walakini juu ya mambo tunayofundishwa.

Mfumo wa Heliocentric na Geocentric ni mifumo miwili ya kihistoria inayojaribu kueleza nafasi ya Dunia na sayari nyingine katika uhusiano wake na Jua.

1. Mfumo wa Heliocentric: Huu ni mfumo unaosema kuwa Jua ndilo kitovu cha ulimwengu (au mfumo wa jua), na sayari zote, pamoja na Dunia, huzunguka Jua. Mfumo huu ulianzishwa na mwanasayansi wa Kipolandi, Nicolaus Copernicus, katika karne ya 16. Huu ndio mfumo unaokubalika na sayansi ya kisasa, ambapo tunajua kuwa Dunia na sayari zingine huzunguka Jua kwa njia za mviringo au mchepuko kidogo.

2. Mfumo wa Geocentric: Katika mfumo huu, Dunia inaaminika kuwa kitovu cha ulimwengu, na Jua pamoja na sayari zote huzunguka Dunia. Huu ndio mfumo uliotumika kwa muda mrefu sana hadi Copernicus alipokuja na nadharia ya heliocentric. Mfumo huu ulianzia kwa wanafalsafa wa Kigiriki kama Ptolemy na ulikubalika kwa zaidi ya miaka elfu moja.

Kwa ufupi, heliocentric inasema Jua ndilo kitovu, wakati geocentric inasema Dunia ndiyo kitovu. Mfumo wa heliocentric umethibitishwa kuwa sahihi zaidi kutokana na uchunguzi wa kisayansi na data za kisasa.
 
Shida hapo ni wewe ni unaebishana nao.

Not long ago China wamefanya experiment ya quantum entanglement kutoka duniani hadi mwezini (or somewhere in space).

Thats like creating a wormhole, US wamepagawa. Sasa kubishana na watu ambao hawaelewi how far particle physics as yielded other innovation, ni kuamua kupoteza muda wako.

Otherwise inabidi uanze na hadithi za Marie Curie (ain’t nobody got time for that).
Wewe unathibitishaje kama hayo unayo ambiwa au kuyadikia ni kweli yamefanyika ?

Tuanziw hapo.
 
Jana Kuna Mtu nilimuuliza Kitu na wewe Nitakuuliza Pia ili niweke Record sawa..

hivi Nasa Gani mnayozungumzia hawa Wanaoshtumiwa na Vitu Vingi sana Ikiwemo kutumia Area 51 Kufake Moon landing Kwani bado mnawaamini NASA??

Picha za Nasa Zinazo Onyesha Dunia ni Duara Zinaonyesha Ramani, tena kwa bahati mbaya kabisa Ramani ambayo imekuwa Projected Mwaka 1594, Ikiitwa "The Mercator Projection" . Ambayo Imetengenezwa na Gerardus Mercator..

Sasa Unashangaa Gerardus Mercator Mwaka huo kipindi anachora Ramani hakwenda mwezini wala Kwenye jua 😂😂 na wala Hakukuwa na Advance Technology na Alichora Hiyo Ramani tunayotumia Mpaka leo..

Cha Kushangaza Nasa Imeanzishwa July 29, 1958..
Ila wanatumia Ramani ya Gerardus mercator ya mwka 1594 ambaye Kipindi anaichora Hakukuwa na Ndege wala Helcopter (Maana ndege imegunduliwa mwaka 1903 na Wright brothers na wakati Huo ikiitwa Wright Flyer, Na bila kusahau Rocket ya Kwanza Imezinduliwa Mwaka 1926 na Robert H. Goddard...)

Wakati wakianza Kuwadanganya wapeni Facts..

Msiogope..

Sasa Nataka Uniambie Kati ya Mzee wa Zamani Gerardus Mercator ambaye alichora ramani akiwa Kwenye Boma lake kwa Kuwaza tu....

Ikumbukwe hata Sattelite ya Kwanza inasadikiwa Kurushwa October 4, 1957, iliyokuwa Ikiitwa Sputnik I
Sasa Hebu niambie huyo Mzee wa Kwanza kuchora Dunia Kwa Umbo la Duara Yeye Alikuwa Amekaa Wapi wakati hakukuwa na vifaa vyovyote vya Kuthibitisha Madai yake

Na NASA ambao Wanatumia Vifaa (Kama wanavyojinasibu) umewahi kuona Ramani nyingine ikiikosoa Ramani ya Mercator Projection hata kwa Longitudinal tu au Latitude?

Tutumie Akili Tulizopewa Sio kila kitu tunadanganywa

na kingine Katika Ugunduzi sio Mzungu peke yake wapo Racial Class zingine wamehusika Kwenye Ugunduzi mpaka wewe unatumia Simu kutoa Credit kwa Race moja ni utumwa wa akili..

Kuhusu Kunufaika Kwamba Wamenufaika na nini, Yaani kueneza Uongo huo wamenufaika na nini..

Unafahamu kuhusu Propaganda na Indoctrination.. kama Utakuwa Unafahamu mpaka Kufikia Creation of Mythology Bhasi utakuwa Unajua kwanini Uongo hutengenezwa..

Hii Hapa Chini Ni propaganda Model ukifatilia Utajua kwanini Watu hutengeneza Propaganda..So hata Moon Landing bado ni Propaganda

Kama Usipoelewa Hiyii Model niambie Nikuchambulia japo lengo mojawapo Ni namba 6 "Theophobization"
kuanza Kusema Mungu kawajalia bhna si unaona..Wamefanya Vile..

Kasome Propaganda Model Hutashtushwa na Propaganda Yoyote
View attachment 3140458
Shida watu huwa hawatumii akili kutafakari hayo wanayo letewa, na Hawa wanayo yaleta wamshajua ya kuwa wazi watu huwa hawahoji mambo.

Lakini kama mtu unamtumia akili na kuhoji Sayansi zaidi ya asilimia 70 ni uongo mtupu hasa Sayansi ya anga na Sayansi ya mambo ya tiba.
 
Kama ni CGI kwanini unazileta kama mfano wa kuelezea jambo lako ? Huoni kama unaendelea kueneza uongo na ukweli hauko nao ?
Una amini kuwa kuna Subtomic particles (Neutron, proton, Electron)
 
Haya sasa, yale yalee!
Sayans ya mambo ya anga me sijawahi kuielewa, naona kama tunalishana matango poli tu. Mfano mzuri kwenye swala la umbo la Dunia yetu, wapo wanaosema tufe na wengine flat.
Mambo ya anga n complicated, Ila Binafsi nikipewa sababu za kueleweka hua nakubali ht kama sina ufahamu wa hicho kitu.
Sasa hawa ndugu zetu wa dunia ni tambarare, point yao mojawapo ety n bendera ya un kuonyesha dunia n flat 😂 yn h sababu hua inanifanya nicheke sana 😂
 
Wengi tumekuwa na mawazo ya kuwa dunia inalizunguka jua ambalo limetulia sehemu moja halizunguki wala kutembea ila kiuhalisia mambo yapo tofauti na unavyofikiria. wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka jua, jua pia linafanya mzunguka mkubwa kwenye space likizunguka galaxy ya milk way likifanya hivyo kwa kutuchukua sisi na sayari zote ikiwepo dunia kwenye mzunguko huo

View attachment 3138872

Galaxy ya milk way ni kubwa ikiwa imebeba nyota zenye idadi kubwa na sayari zake, gesi, vumbi na uchafu mwingi ikiwa na upana wa ( 100,000 light years) View attachment 3138880

miongoni mwa kitu cha kuvutia kuhusu galaxy yetu ni mzunguko wake kama gurudumu kubwa la duara linalopelekwa na upepo, mzunguko huo hufanya gesi na nyota zilizomo kuzunguka kwa mduara. Jua letu na sayari zake linapatikna kwenye mmoa ya mikono/mbawa zake umbali wa (25,000 light years) kutoka katikati ya galaxy View attachment 3138875

Kama vile dunia linavyolizinguka jua, jua linazunguka kwenye center ya galaxy ya milk way kwa kasi ya maili 143 kwa sekunde liki kamilisha mzunguko wote baada ya miaka millioni 230, mzunguko huo sio kama duara kabisa ila lina panda na kushuka kwenye galactic plane likitumia miaka millioni 60 kila likipanda na kushuka View attachment 3138876

Sio tu jua linalotembea bali hata galaxy pia zinatembea na kwa sasa galaxy yetu ikiwa inaelekea kwenye galaxy ya karibu inaitwa Andromeda. View attachment 3138877

galaxy ya milk way pamoja na galaxy zingine zilizopo kwenye kundi la galaxy linaloitwa Local Group likiwa na takribani galaxy 54 zote zikiwa zinaelekea kwenye mvutano mkubwa wa ajabu unaoitwa The Great Attractor, View attachment 3138883

pia hapo siyo mwisho ulimwengu wetu wote unatanuka kwa kasi kubwa na kufanya galaxy kuwa mbali mbali kuliko ilivyokuwa zamani
Elimu ya anga ni tamu sana😋
 
Yaani kitu ambacho sijawahi kuamini ni kwamba neurones za mtu mmoja ukiziunganisha zote zinaweza kuzunguka dunia nzimaa
Hii niliwahi kukutana nayo huko mtandaoni, nikasema hiiiiiiiiiiiiiiiii kivumbi 😂 bc neurones za watu wote duniani zinaweza kujaza sayari zote na jua na chenchi inabaki
 
Tena Wanatufanya watoto
Kama ambavyo ukifunguliwa simu halafu uambiwe uchambue kifaa kimoja kimoja kuanzia kilivyotengenezwa hadi kikafanya kazi na wewe ukaishia kusema hizi ni fani za watu. Ndivyo ilivyo elimu ya anga.

Kuna taasisi zimededicate muda wao wote miaka na miaka wanafuatilia haya mambo. Tangu enzi zile Galileo analikanusha kanisa katoliki kwa kuwaambia sio jua linazunguka dunia ila dunia ndio inazunguka jua. Na leo tumefikia hapa.
 
hapa vichwa panzi mada kama hizi wanakaa kuuleeee hawaelewi wauni😂😂😂 waite Free ideas Kiranga @monsagala na magenious wengineo
Utalewa vipi kitu hujawahi kukifanyia practical wewe mwenyew Bali umekarrishwa na watu.na Bado wenyewe wanabishana?

Hii bahari tu hata theruthi yake Bado hawajaijua iwe vitu vya Nje na Dunia?

Hao wote hao unaowaona wanajua wamekalilishwa tu hakuna aliyeenda kufanya practice mwezini nk.
 
Muda unahitaji nafasi na uwepo tu, sababu muda haufubgamani na kitu chochote isipokuwa mwendo wa jua tu.

Sasa unaposema kitu kikiwa tuli kinakuwa hakina muda vipi wakati muda upo nje ya kitu husika ?
Kwetu sisi watu wa duniya tunapima muda kwa kulinganisha mzunguko wetu kama dunia na mzunguko kwa jua.

Sayari nyingine nazo zina muda wake ndio maana siku na mwaka wa Mars so sawa na siku na mwaka wa Neptune.

Kuhusu muda, muda ni matokeo ya mabadiliko na michakato. Bila mabadiliko wala michakato hakuna muda kabisa!

Muvi zimecheza kuwaweka watu katika cryosleep kwa kuwabaridisha kiasi ambacho hakuna mchakato unaoendelea miilini mwao na ni kweli, wakija kuamka huwa kwao binafsi muda haukuwepo, hawajazeeka wala nn. Lakini pia katika hadith wapo watu waliolazwa usingizi pangoni wakaamka muda haujapita ki kwao! Watakuja kukubali muda umepita watakapoona na kusimuliwa mabadiliko.

Ulimwengu pia sio wa kipekee, unageuka na kubadilika na kukua na ndio muda unaendelea kuwepo. Ulimwengu mzima ukitulia tuli na kila gimba kila electroni, kila kipande cha atomu na miale ikatulia tuli kama ilivyo. Basi muda hautapita hadi ianze tena kusonga. Mabadiliko ndio hutokeza athari ya muda, muda-michakato bwana Kisai
 
Si

Jibu kwanza swali nililo kuuliza.
Vifaa vinadetect changes kisha wanafanya Calculation hivyo ili watu waelewe vzr AI inafanya Simulation. Ukitaka picha halisi ya kila kitu basi hutaamini vitu vingi, hakuna picha halisi ya Movement ya atom na particles zake,hakuna picha halisi ya movement ya sound waves, hakuna picha halisi ya movement ya electrical na magnetical charges. Vitu vingi havina picha halisi ni calculation tu kisha AI inasaidia kuelewa movement zake
 
Katika Galaxy la Milk way, solar system yetu inazunguka Kuelekea kati au nje?

Nini kitatokea tukifika kati au andromela na milk way zikikutana?
Mlipuko ambao hujawahi kuwazia boooooooonge la mlipuko
 
Back
Top Bottom