Fahamu mzunguko halisi wa Jua na Sayari zinazolizunguka

Fahamu mzunguko halisi wa Jua na Sayari zinazolizunguka

Yeyote anaekwambia dunia tufe, na wewe kuamua kubishana nae. Hiyo ni wewe kuamua kupoteza muda wako, given the advancement of cosmology evidence and the application of rocket science..

Unajua changamoto ya kupeleka vyombo mwezini tu, let alone Mars and far distances of gas giants and their moons.

Kama una akili zako timamu kubishana na mtu wa nadharia ya flat earth (maana yake, wewe mwenyewe una wa kuchezea).

Asante kwa kujibu vyema.
 
Kwahiyo NASA(wazungu) hauwaamini lakini watengeneza simu(wazungu) unawaamini😀?
Kwani walivyosema dunia ni duara(wakati ni uongo kama unavyoamini) wamenufaika na nini!!
Jana Kuna Mtu nilimuuliza Kitu na wewe Nitakuuliza Pia ili niweke Record sawa..

hivi Nasa Gani mnayozungumzia hawa Wanaoshtumiwa na Vitu Vingi sana Ikiwemo kutumia Area 51 Kufake Moon landing Kwani bado mnawaamini NASA??

Picha za Nasa Zinazo Onyesha Dunia ni Duara Zinaonyesha Ramani, tena kwa bahati mbaya kabisa Ramani ambayo imekuwa Projected Mwaka 1594, Ikiitwa "The Mercator Projection" . Ambayo Imetengenezwa na Gerardus Mercator..

Sasa Unashangaa Gerardus Mercator Mwaka huo kipindi anachora Ramani hakwenda mwezini wala Kwenye jua 😂😂 na wala Hakukuwa na Advance Technology na Alichora Hiyo Ramani tunayotumia Mpaka leo..

Cha Kushangaza Nasa Imeanzishwa July 29, 1958..
Ila wanatumia Ramani ya Gerardus mercator ya mwka 1594 ambaye Kipindi anaichora Hakukuwa na Ndege wala Helcopter (Maana ndege imegunduliwa mwaka 1903 na Wright brothers na wakati Huo ikiitwa Wright Flyer, Na bila kusahau Rocket ya Kwanza Imezinduliwa Mwaka 1926 na Robert H. Goddard...)

Wakati wakianza Kuwadanganya wapeni Facts..

Msiogope..

Sasa Nataka Uniambie Kati ya Mzee wa Zamani Gerardus Mercator ambaye alichora ramani akiwa Kwenye Boma lake kwa Kuwaza tu....

Ikumbukwe hata Sattelite ya Kwanza inasadikiwa Kurushwa October 4, 1957, iliyokuwa Ikiitwa Sputnik I
Sasa Hebu niambie huyo Mzee wa Kwanza kuchora Dunia Kwa Umbo la Duara Yeye Alikuwa Amekaa Wapi wakati hakukuwa na vifaa vyovyote vya Kuthibitisha Madai yake

Na NASA ambao Wanatumia Vifaa (Kama wanavyojinasibu) umewahi kuona Ramani nyingine ikiikosoa Ramani ya Mercator Projection hata kwa Longitudinal tu au Latitude?

Tutumie Akili Tulizopewa Sio kila kitu tunadanganywa

na kingine Katika Ugunduzi sio Mzungu peke yake wapo Racial Class zingine wamehusika Kwenye Ugunduzi mpaka wewe unatumia Simu kutoa Credit kwa Race moja ni utumwa wa akili..

Kuhusu Kunufaika Kwamba Wamenufaika na nini, Yaani kueneza Uongo huo wamenufaika na nini..

Unafahamu kuhusu Propaganda na Indoctrination.. kama Utakuwa Unafahamu mpaka Kufikia Creation of Mythology Bhasi utakuwa Unajua kwanini Uongo hutengenezwa..

Hii Hapa Chini Ni propaganda Model ukifatilia Utajua kwanini Watu hutengeneza Propaganda..So hata Moon Landing bado ni Propaganda

Kama Usipoelewa Hiyii Model niambie Nikuchambulia japo lengo mojawapo Ni namba 6 "Theophobization"
kuanza Kusema Mungu kawajalia bhna si unaona..Wamefanya Vile..

Kasome Propaganda Model Hutashtushwa na Propaganda Yoyote
20240509_090753.jpg
 
Wanatuwekea na picha ya Galaxy kana kwamba wameiona na kuipiga picha.

Ukiangalia picha ya mwisho iliyopigwa na Voyager imeonesha utofauti mkubwa wanachotupiga kamba kila siku.

Eti Galaxy yetu inaelekea kukaribiana na itakuja kugongana na Galaxy nyingine.... dah
Wanatufanya Watoto sana
 
Ni kukaririshana TU na kuwa wakili mzuri wa utetezi!!!
Kwamfano utasoma sehem unaambiwa jamii flani ya kale iliishi kati ya miaka 2137 kabla kristo.
Unabaki ukijiuliza, habari hii ni nani alie thibitisha?

Binafsi nikisoma habari aina hiyo, huwa naipuuza na kuiona ni sawa na matango pori.
 
Hii mada naomba nimkabidhi huyu jamaa
Kwa heshima zote mkuu ebu njo hapa
Baba Swalehe
Ndio mkuu hapo ni Sawa na kuchukua mpira mkubwa weka kwenye net utadumbikia halafu rusha vigoroli vitazunguka kufuata mzunguko wa ule mpira mkubwa

Easy way ya kuelewa Eintein alivyoelezea gravity

Kuhusu Sisi kukaribia Andromeda space is expanding at a massive speed
Mambo ya Doppler hayo

Huber was the first one to observe this

Mkuu haya mambo nishaacha nipo nafunga maturubai ya boss kwenye gari za mbeya
 
Wanatufanya Watoto sana
Mzee sijuwi ni uliamua tu kujiita daktari?
Kwako wewe unaeleza vipi uwepo wa usiku na mchana? Kwanini sehemu moja ya dunia inakuwa usiku na sejemu nyingine inakuwa mchama?
Umepewa akiri fikiria basi sio kukaririshwa kama dunia ni flat, 100% ya flat eathers wote wamekaririshwa hakuna anayeweza kuthibitisha kama dunia ni flat
 
Back
Top Bottom