Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Impact Hamna ila mi naona ukijua mambo mambo ina raha yake mkuuSure?sasa Kuna impact Gani kwenye jamii yetu ya watu WEHUsi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Impact Hamna ila mi naona ukijua mambo mambo ina raha yake mkuuSure?sasa Kuna impact Gani kwenye jamii yetu ya watu WEHUsi?
Sasa Mkuu, hivi umewahi kujiuliza nchi ngapi zimetenga bajeti ya kueleweka Katika masuala ya uchunguzi wa anga? Ukiondoa USA , Russia, China , EU (nchi nyingi hoe hae zimebebwa na umoja huu ingawa nao wazembe kama huku tu), India , IsraelSipingi bro,ni vile natetea uganga wa kienyeji au undundame tulionao waafrika,wa kusoma,kusikia na la Hakuna tunakoweza kwenda Kwa ajili yetu wenyewe na kukompete kwenye hii Dunia,nakuthibitishia nje kusoma na kuangalia yutybu Hakuna msomi mmbongo alowahithibisha haya.Ni kama vile tunaangalia muvi ya jackchan na jetlee,halafu tunaenda waambia watu kuwa sisi professional wa karate.
Sasa unapata vipi guts za kujiita scientist bila kujithibitishia angalau hiko kidogo TU?sasa utawabadlisha vipi watu Hawa akina Ndege JoHN wanaobisha Kwa kusema ni matango pori TU hayo?!!!Sasa Mkuu, hivi umewahi kujiuliza nchi ngapi zimetenga bajeti ya kueleweka Katika masuala ya uchunguzi wa anga? Ukiondoa USA , Russia, China , EU (nchi nyingi hoe hae zimebebwa na umoja huu ingawa nao wazembe kama huku tu), India , Israel
Kwahiyo hao wote wengine ambao hawapo katika mpango huu nao lazima wathibitishe kile wanasayansi wanachosema juu ya uchunguzi wao?
Ni hivi ‘solar winds’ hazina influence kwenye mwendo wa jua.Ndio, lakini sio kama huu duniani; katika solar system yetu na nyingine zilizopo huko Kuna kitu kinaitwa Solar Winds , huu ni kama upepo wa chembechembe ndogo (protons, neutrons na kadhalika) ambazo huzalishwa na milipuko ya nuclear inayotokea kwenye nyota
🤣🤣🤣🤣,hata Mimi naenjoy sana kuujua umeme na kudeal nao na hizi related scientific things,Any way mzungu ni mwamba sana dadeqImpact Hamna ila mi naona ukijua mambo mambo ina raha yake mkuu
Yaani unaka kusema 😂😂😂😂😂Kitu ambacho huwa napinga ni pale mmbongo mwenye degree kadhaa,kujiita msomi au blah blah bila innovation yeyote kwenye jamii yake sababu hiyo ndo shabaha ya elimu,tofauti na hapo wewe ni mwanasiasa TU kama wengineo!!!
Hata maisha tu hayajatulia ni hekaheka kila sikuHakuna kilichotulia hata ndani ya miili yetu electrons zina hekaheka muda wote.
Mmh Mungu saidia nisiwepo kwakweli!milkway na andromeda zitaungana na kuwa galaxy moja kubwa ila muungano huo hautakuwa na athari yoyote kwenye mfumo wetu wa jua
Binafsi Mimi ni Afisa Masoko, haya mambo tangu primary nafuatilia kama hobbySasa unapata vipi guts za kujiita scientist bila kujithibitishia angalau hiko kidogo TU?sasa utawabadlisha vipi watu Hawa akina Ndege JoHN wanaobisha Kwa kusema ni matango pori TU hayo?!!!
na siku zikitulia ndo mwisho wa uhaiHakuna kilichotulia hata ndani ya miili yetu electrons zina hekaheka muda wote.
Kuna msaada Gani ukizijua HIZO?nimesoma mara nyingi kuhusu dark mater na dark energy ila sizielewi vizur
Ni dhambi kupewa utashi na ukashindwa kustaajabu na kujifunza kile Muumba amekiumba; sio Kila unachojifunza kikuguse Moja kwa MojaKuna msaada Gani ukizijua HIZO?
Mimi yoote mnayojadili hapa, nayaona kama riwaya ya "Ksadikika" ya Shaban Robert
Kweli inasaidia pia kuongeza imani kuwa Mungu ni mkubwa na kuna vitu vingi ameumba sio tu tunavyo viona hapa dunianiNi dhambi kupewa utashi na ukashindwa kustaajabu na kujifunza kile Muumba amekiumba; sio Kila unachojifunza kikuguse Moja kwa Moja
Kabisa yaani hakuna kupumzika.Hata maisha tu hayajatulia ni hekaheka kila siku
Ndio hivyo.na siku zikitulia ndo mwisho wa uhai
Huu mjadala ulishafungwa kitambo, tangu Mrusi alivyorusha satellite ya kwanza Sputnik 1 takribani miaka 70 iliyopita hiyo hoja ya kwamba Dunia ni flat ilishafutwa; wanaokomaa nayo mpaka Leo Wana matatizo ya akiliHaya sasa, yale yalee!
Sayans ya mambo ya anga me sijawahi kuielewa, naona kama tunalishana matango poli tu. Mfano mzuri kwenye swala la umbo la Dunia yetu, wapo wanaosema tufe na wengine flat.
Wewe Aliyekuambia Dunia Inazunguka Jua ni Nani??DR Mambo Jambo dunia inalizungukaje jua kama iko flat??