Fahamu Solar System na Jupiter/Saturn System ambao hukuwahi kuujua

Fahamu Solar System na Jupiter/Saturn System ambao hukuwahi kuujua

Gas composition yaan helium na hydrogen ni sawa kwa jua, jupiter na saturn ndo kiuhalisia zile ni nyota

Tofauti ni kwamba jupiter na saturn haziwa ignite kama ilivyo kwa jua,
Na kwa sababu hazijawa ignite ndo sababu uranus na neptune kuwa na barafu
Hapana, kauli kwamba Jupiter na Saturn ni nyota si sahihi. . Jupiter na Saturn ni kubwa kuliko sayari zote katika mfumo wa jua letu, lakini bado ni ndogo sana kuwa nyota. Ukubwa wao unatosha kuzalisha joto kubwa na shinikizo katika matabaka yao ya gesi, lakini bado hazina kiwango cha kutosha cha joto na shinikizo kuweza kuwasha na kusababisha kuchomwa kwa hydrogen inayofanyika katika nyota.

Kuhusu Uranus na Neptune, hizi pia ni sayari za gesi kama Jupiter na Saturn, lakini zina vitu vingi vya baridi kama maji, methane, na amonia katika hali ya barafu ndani yao. Hii ni kwa sababu ya baridi na shinikizo katika sehemu za nje za mfumo wa jua ambapo sayari hizi zilizaliwa. Jua linahitaji joto na shinikizo kubwa zaidi kuliko sayari hizi ili kuzalisha mng'ao wake wa kipekee na uwezo wa kuchoma hydrogen katika kiwango kinachohitajika kuwa nyota.
 
Hapana, kauli kwamba Jupiter na Saturn ni nyota si sahihi. . Jupiter na Saturn ni kubwa kuliko sayari zote katika mfumo wa jua letu, lakini bado ni ndogo sana kuwa nyota. Ukubwa wao unatosha kuzalisha joto kubwa na shinikizo katika matabaka yao ya gesi, lakini bado hazina kiwango cha kutosha cha joto na shinikizo kuweza kuwasha na kusababisha kuchomwa kwa hydrogen inayofanyika katika nyota.

Kuhusu Uranus na Neptune, hizi pia ni sayari za gesi kama Jupiter na Saturn, lakini zina vitu vingi vya baridi kama maji, methane, na amonia katika hali ya barafu ndani yao. Hii ni kwa sababu ya baridi na shinikizo katika sehemu za nje za mfumo wa jua ambapo sayari hizi zilizaliwa. Jua linahitaji joto na shinikizo kubwa zaidi kuliko sayari hizi ili kuzalisha mng'ao wake wa kipekee na uwezo wa kuchoma hydrogen katika kiwango kinachohitajika kuwa nyota.
Tatizo waafrika tumeshikwa akili na wazungu kama wewe ndo maana hata kufanya uvumbuzi ni ngumu

jupiter na saturn ni sayari tofauti na jua ni kwamba fussion activity ya jupiter na saturn haiko active kama ilivyo kwenye jua
 
Sasa haya mambo sio ya kufikiria mwenyewe tu. Wenzako wamefanya utafiti na jinsi ulivyoandika hii comment ni as if unajiona mjanja kuamini fikra zako na unawaona washamba wanaoamini Westerners.

Westerners wametoa utafiti wewe hujafanya utafiti wowote
Sio kwamba najiona mjanja kamwe hakuna mtu yeyote atakayetaka kufikiri kama anavyotaka yeye

Mzungu alichofanikiwa ni kuhakikisha mwafrika hana uhuru wa kufikiri, na hata akifikiri approval ya usahii wa alichofikiri lazima kipate kibali kwa mzungu
 
Tatizo waafrika tumeshikwa akili na wazungu kama wewe ndo maana hata kufanya uvumbuzi ni ngumu

jupiter na saturn ni sayari tofauti na jua ni kwamba fussion activity ya jupiter na saturn haiko active kama ilivyo kwenye jua
Nipe elimu kuhusu sifa za sayari, halafu tuangalie Jupiter inakosa sifa gani Kati ya hizo utakazotaja
Tusi complicate mambo
 
Sio kwamba najiona mjanja kamwe hakuna mtu yeyote atakayetaka kufikiri kama anavyotaka yeye

Mzungu alichofanikiwa ni kuhakikisha mwafrika hana uhuru wa kufikiri, na hata akifikiri approval ya usahii wa alichofikiri lazima kipate kibali kwa mzungu
Unaruhusiwa kufikiri lakini kama haujafanya utafiti informations zako ni batili
Ndio maana tunawasikiliza Westerners
 
Tatizo waafrika tumeshikwa akili na wazungu kama wewe ndo maana hata kufanya uvumbuzi ni ngumu
jupiter na saturn ni sayari tofauti na jua ni kwamba fussion activity ya jupiter na saturn haiko active kama ilivyo kwenye jua
Huwa namshangaa mtu anayedharau mawazo ya wengine, tena waliothibitisha kwa njia za kisayansi. Kwamba tusiwaamini waliofanya tafiti kwa kuwa ni wazungu?
 
Mzungu alichofanikiwa ni kuhakikisha mwafrika hana uhuru wa kufikiri, na hata akifikiri approval ya usahii wa alichofikiri lazima kipate kibali kwa mzungu
Kwa hiyo maandishi yote uliyoyaweka yametokana na fikra zako? Mbona sasa unatumia majina ya sayari ambazo wenzio walizivumbua kisayansi? Kwa nini usilete majina yanayotokana na fikra zako?
 
Wewe ndo umelewa mara mbili sababu una-comment kwenye uzi wa mlevi

Nilichoandika nifikra zangu sijakaririshwa na zile nadharia za western kama wewe ulivyokaririshwa
Hizo fikra zako tuonyeshe huo uchunguzi na data zako. We hukawii kusema flat earth
 
Gas composition yaan helium na hydrogen ni sawa kwa jua, jupiter na saturn ndo kiuhalisia zile ni nyota

Tofauti ni kwamba jupiter na saturn haziwa ignite kama ilivyo kwa jua,
Na kwa sababu hazijawa ignite ndo sababu uranus na neptune kuwa na barafu
In short hizo neptune na uranus kuwa barafu it is matter of distance from Tha sun lol
 
Haya niliyoandika nauhakika ulikua hujui before
Hayo madini alinitemea mwl wangu wa shule ya msingi anaitwa mwl kondo mikocheni pale kitambo sana

Mwamba alikuwa anatuletea vitu ambavyo vilifanya kuipenda science na alitujenga mno
 
In short hizo neptune na uranus kuwa barafu it is matter of distance from Tha sun lol
Sio kweli zinabarafu kwa sababu fussion activity ya saturn na jupiter ziko default
Atakayeweza kuactivate fussion activity ya saturn na jupiter kitu ambacho kinawezekana zile barafu zote zitaondoka
 
Hakuna sehemu yeyoye duniani kuna mtu kaandika nilivyoandika sijisifii ila ndo ukweli
Hujawahi kwenda angani
Hujawahi miliki telescope
Hujawah na hutowahi kusafir anga za juu

Hayo uliyoandika yapo vitabuni ulichoweza kurafsir
Kuna vitabu vya amkeni zaman walikuwa wanaandika sana mambo ya kisayansi ya anga sijajua skuiz kama bado wanaishi
 
Hizo fikra zako tuonyeshe huo uchunguzi na data zako. We hukawii kusema flat earth
Hujawahi kwenda angani
Hujawahi miliki telescope
Hujawah na hutowahi kusafir anga za juu

Hayo uliyoandika yapo vitabuni ulichoweza kurafsir
Kuna vitabu vya amkeni zaman walikuwa wanaandika sana mambo ya kisayansi ya anga sijajua skuiz kama bado wanaishi
Wale watu wazaman waliokuja na idea ya space exploration hakuwah kwenda angani
Ntajie hivyo vitabu vilivyosafiri niliyoandika nimekaa pale
 
Wale watu wazaman waliokuja na idea ya space exploration hakuwah kwenda angani
Ntajie hivyo vitabu vilivyosafiri niliyoandika nimekaa pale
Zamani imeshapita, technology imeshakuwa kubwa, hauitaji idea katika mambo ambayo yameshafanyiwa utafiti na kutolewa hitimisho na hilo hitimisho lina uthibitisho kupitia technology. Wengine wanafikiria kuhusu space tourism, miaka kadhaa mbele huenda ukatazama video yenye caption space viewing mars. Ukitaka kufikiri, fikiri walipoishia wengine au kama unapinga basi usije na idea pekee, njoo na uthibitisho sababu wengine tayari walishathibitisha idea zao kupitia technology. Hivi unaweza kupinga kwa kufikiri tu kuwa bakteria aina fulani hana shape tunayoambiwa ilihali wenzako wameshakuja mpaka na technology iitwayo microscope inayokuwezesha kumtazama bakteria? Huwezi, unless uje na uthibitisho beyond microscope.

 
Zamani imeshapita, technology imeshakuwa kubwa, hauitaji idea katika mambo ambayo yameshafanyiwa utafiti na kutolewa hitimisho na hilo hitimisho lina uthibitisho kupitia technology. Wengine wanafikiria kuhusu space tourism, miaka kadhaa mbele huenda ukatazama video yenye caption space viewing mars. Ukitaka kufikiri, fikiri walipoishia wengine au kama unapinga basi usije na idea, njoo na uthibitisho sababu wengine tayari walishathibitisha idea zao kupitia technology.


Bado bawajathibitisha ndo maana till now hakuna space colonization kwenye sayari yoyote ile na wasipobadilka jinsi wanavyofikiri ni ngumu sana kuwa na space colonization

Nini kifanyike
Kupandikiza artificial ozone layer kwenye sayari zote ili kuwe na maisha kama dunia
Ku-activivate fussion activity kwenye saturn na jupiter
 
Bado bawajathibitisha ndo maana till now hakuna space colonization kwenye sayari yoyote ile na wasipobadilka jinsi wanavyofikiri ni ngumu sana kuwa na space colonization

Nini kifanyike
Kupandikiza artificial ozone layer kwenye sayari zote ili kuwe na maisha kama dunia
Ku-activivate fussion activity kwenye saturn na jupiter
Bado hawajathibitisha sababu hakuna space colonization? Hapa ni sawa na kusema hakuna kansa sababu mpaka sasa imeshindikana kuitibu.

Uhalali wa Uthibitisho haupimwi kwa uwezo wa colonization. Colonization ni hatua baada ya uthibitisho.
 
Bado hawajathibitisha sababu hakuna space colonization? Hapa ni sawa na kusema hakuna kansa sababu mpaka sasa imeshindikana kuitibu.

Uhalali wa Uthibitisho haupimwi kwa uwezo wa colonization. Colonization ni hatua baada ya uthibitisho.
Narudi tena colonization haitakua materialised
Kama hakuna artificial ozone layer kwenye sayari nyingine same as ilivyo kwenye dunia
 
Back
Top Bottom