myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Alivyoandika vingi viko kila mahali mitandaoni...hajaweka jipyaMmmmmh ungeandika ambayo wengine hamjui. 🤝
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alivyoandika vingi viko kila mahali mitandaoni...hajaweka jipyaMmmmmh ungeandika ambayo wengine hamjui. 🤝
Nionyeshe andiko linalooezeaAlivyoandika vingi viko kila mahali mitandaoni...hajaweka jipya
Na nionyeshe andiko linaloelezea how to activate saturn and jupiter fussion activityAlivyoandika vingi viko kila mahali mitandaoni...hajaweka jipya
😂😂😂😂 Nimecheka sana asee waisraeli wanabaki kutushangaa tuSawa,mambo ya sayansi ya anga a.k.a mbinguni.
Wakati Israel inafanya kilimo cha umwagiliaji kutoka kwenye vyanzo vyake vya maji,waafrica wanapiga magoti kuomba Mungu wa israel alete mvua.
Wewe ndie mgunduzi!!..hizo sayari hazikuwepo na nini zimecontain haikujulikana mpaka wewe umetujulisha.Na nionyeshe andiko linaloelezea how to activate saturn and jupiter fussion activity
nimekaa pale nakusubiria
Wewe umetumia vifaa gani kujua kuna sayari inayoitwa Jupiter?Tatizo waafrika tumeshikwa akili na wazungu kama wewe ndo maana hata kufanya uvumbuzi ni ngumu
jupiter na saturn ni sayari tofauti na jua ni kwamba fussion activity ya jupiter na saturn haiko active kama ilivyo kwenye jua
Kwenye maisha tunaanzia walipoishiaWewe umetumia vifaa gani kujua kuna sayari inayoitwa Jupiter?
Acha kua mjinga kijana unatumia sayari ya anga ya wazungu kupenyeza hoja zako za kipuuzi
Issue ni kwamba jua muda wote linatoa mwanga ila kutakana na mzunguko wa dunia kuna muda tuna pata giza upande mmoja na upande mwingine kunakua na mwanga yani (day / night).Swali langu kama jua iko nje ya dunia(galaxy) kwanini huko nje ni giza??na huku duniani tunapata mwanga
Kuna sehemu yeyote nimeomba nionekane genius nimetoa maoni kitu ambacho ni haki yangu kama member wa jfMtoa mada unachojaribu kufanya ni kulazimisha uonekane genius kama kina Einstein na Newton wakati siyo
Wenzio hawakukurupuka tu kutoka usingizini kisha wakaja na hizo conclusions ni tafiti wamefanya miaka na miaka na wametumia mamilioni kwa mabilioni mpaka zimekamilika
Halafu anaibuka ngumbaru mmoja huko ambaye hamiliki hata darubini anakuja na story zake za kwamba fulani na fulani siyo sayari ni nyota mara sijui zinahitaji artificial ozone layer ili ziweze kuwa na maisha
Umefanya lini na wapi utafiti wako ukagundua yote hayo mkae mkijua no research no right to speak heshimuni taaluma za watu
Lete ushahidi wa hayo mawazo yako la sivyo unabaki kuwa mjuaji kama wajuaji wengine tu
[emoji28][emoji28][emoji28] Kwa maana hiyo wewe sio mvumbuzi tena, Umeamua kuanzia walipoishia kufikiria wengineKwenye maisha tunaanzia walipoishia
Wewe endelea kuabudu wazungu
Alafu mim niache niendelee na hoja zangu za kipuuzi
NAKAZIA 🤣🤣Mtoa mada unachojaribu kufanya ni kulazimisha uonekane genius kama kina Einstein na Newton wakati siyo
Ujue wazungu hawakukurupuka tu kutoka usingizini kisha wakaja na hizo conclusions ni tafiti wamefanya miaka na miaka na wametumia mamilioni kwa mabilioni mengi mpaka zimekamilika
Halafu anaibuka ngumbaru mmoja huko ambaye hamiliki hata darubini anakuja na story zake za kwamba fulani na fulani siyo sayari ni nyota mara sijui zinahitaji artificial ozone layer ili ziweze kuwa na maisha
Umefanya lini na wapi utafiti wako ukagundua yote hayo mkae mkijua no research no right to speak heshimuni taaluma za watu
Lete ushahidi wa hayo mawazo yako la sivyo unabaki kuwa mjuaji kama wajuaji wengine tu
Ni hatari TENA MPAKA MAPEPO NA MAJI NI TUNA YATOA KWA JINA LA MUNGU WA ISRAEL AMBAYE NI YESU, ELOHIM,ELISHADAYI hahahahahaaaSawa,mambo ya sayansi ya anga a.k.a mbinguni.
Wakati Israel inafanya kilimo cha umwagiliaji kutoka kwenye vyanzo vyake vya maji,waafrica wanapiga magoti kuomba Mungu wa israel alete mvua.
Walikuwa na madarubini makubwa sana kuangalia anga ndio wanakuletea information wameona niniWale watu wazaman waliokuja na idea ya space exploration hakuwah kwenda angani
Ntajie hivyo vitabu vilivyosafiri niliyoandika nimekaa pale