S.M.P2503
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 2,421
- 4,344
hayo ya kupigwa vituo vya polisi mbona ni kama vile yamesemwa na diaspora au madereka na wengine anahusikaje humo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hayo ya kupigwa vituo vya polisi mbona ni kama vile yamesemwa na diaspora au madereka na wengine anahusikaje humo?
Huna hoja kwahiyo una maanisha viongozi wanalindana?Mkuu kichuguu unahaki ya kutoa maoni na kila mtu anayo. Mwalimu Nyerere alitoa maoni kuwa haoni na halizishwi na sababu za kuiuza NBC ila hakufikia hatua ya kusema wala kwambia watu waandamane ili kuiondoa serikali. Mwalimu huo uwezo alikuwa nao na watu wangeandamana. Mwisho wa siku leo tuna NBC tena inadhamini ligi ya mpira na tuna NMB iko mpaka kwenu.
Nyinyi leteni siasa hawa watu watafungwa na hamtawaona mitaani kama serikali ikiaamua kuishi kwa kutumia sheria.
Mungu akubariki uishi siku nyingi ili uyaone mengi
Uhaini ni kosa la jinai analofanya mtu dhidi nchi yake na mtu anyefanya kosa hili anajulikana kama msaliti.Kwa mujibu wa sheria ya Tanzania, mtu akifanya yafuatayo huhesabiwa kama amefanya kosa la jinai la uhaini. kifungu 39 ( 1 ) cha kanuni za adhabu kinasema kuwa mtu yeyote ambaye yumo ndani ya Jamhuri ya Muungano au popote akifanya haya atakuwa ametenda kosa la jinai ambalo ni kosa la uhaini:
Kwa watu wenye akili timamu dr Slaa, Wakili Mwambukusi, na mtukanaji mkuu wa seriakli Mdude Nyangali hawawezi kuwa wamekwepa amri hizi kumi za uhaini
- kujaribu kumuua Rais,
- kuanzisha vita dhidi ya Jamhuri ya Muungano,
- kusababisha,
- kuwezesha,
- kuchochea,
- kushawishi,
- kushauri kuhusu kifo, kumlemaza, kumzuia, kufungwa kwa Rais
- kumwondolea Rais heshima na jina la mkuu wa nchi, amiri jeshi mkuu, au kiongozi wa serikali,
- kupindua serikiali iliyo madarakani,
- kutishia serikali, bunge au mahakama.
kwenye jinai ni vitu 2 tu ndugu yangu- mens rea and actus reus - hebu dadavua hizo kwanza tuone kama watafungwa. Vnginevyo ni hearsay tu...Ndiyo unavyojidanganya, kwenye jinai nia tu inakufunga. Kwenye uhalisia rejea kesi ya akina Kadego wakati wa Nyerere, kwani hata walimgusa, walikamatwa kama kuku wakala mvua za kutosha. kwa kukuongezea kule kanisani watu husali hivi
UNGAMO LA DHAMBI.
Nakuungamia Mungu Mwenyezi; nanyi ndugu zangu, kwani nimekosa mno
- kwa mawazo,
- kwa maneno,
- kwa vitendo, na
- kwa kutotimiza wajibu.
Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana. Ndio maana nakuomba Maria mwenye heri, Bikira daima, Malaika na watakatifu wote, nanyi ndugu zangu, niombeeni kwa Bwana Mungu wetu.
Kati ya hayo mambo manne Slaa, Mwambukusi na Mdude wametimiza 1,2, na 4 sijui wanaponea wapi
Uko sahihi kuna watu wanapinga udini ila asilimia 70% ya watu wao ni wadini kwa asili.Ni vigumu kuprove kuwa walishawishi au walichochea; wao walikuwa wanatoa maoni yao.
Iwapo kila anayeongelea makosa ya serikali atachukuliwa kuwa anachochea au anashwawishi basi maana ya demokrasi inakuwa imekwishai kwa kuondoa kipengele kinachomruhus raia kwenda popote au kusema lolote mradi havunji shreia. Kwa sababu kukosoa serikali itakuwa ni uvunjanji wa sheria.
Ninachomhurumia Dr. Slaa ni kwa vile aliwahi kuwa Padre wa kikatoliki. Kwenye utawala kama huu, yeye ataonekana mgalatia anayeleta vurugu na ni lazima anyamazishwe kwa njia zozote hata ziwe haramu.
N i jambo ambalo limegeuzwa kuwa la kidini kwa vile linahusisha waarabu ambao wana uhusiano wa karibu sana na dini ya kiongozi wa nchi.
Unajua maana ya kula NJAMA za kuipindua Serikali na lazima kuna hati impelekwa Interpol ili hata hao Diaspora watiwe mbaroni wafikishwe Mahakamanihayo ya kupigwa vituo vya polisi mbona ni kama vile yamesemwa na diaspora au madereka na wengine anahusikaje humo?
Kama Simon PetroMungu akubariki uishi siku nyingi ili uyaone mengi
Rushwa ya DP World isitutenganishe Watanzania ni wamoja.Unajua maana ya kula NJAMA za kuipindua Serikali na lazima kuna hati impelekwa Interpol ili hata hao Diaspora watiwe wafikishwe Mahakamani
Ushawishi ulikuwa ukifanyika wazi huko Club HousePolisi wangekuwa makini,
Namba 8 inamuhusu Nape pamoja na Kinana waliosema rais ni mshamba na amechanganyikiwa
Uhaini ni kosa la jinai analofanya mtu dhidi nchi yake na mtu anyefanya kosa hili anajulikana kama msaliti.Kwa mujibu wa sheria ya Tanzania, mtu akifanya yafuatayo huhesabiwa kama amefanya kosa la jinai la uhaini. kifungu 39 ( 1 ) cha kanuni za adhabu kinasema kuwa mtu yeyote ambaye yumo ndani ya Jamhuri ya Muungano au popote akifanya haya atakuwa ametenda kosa la jinai ambalo ni kosa la uhaini:
Kwa watu wenye akili timamu dr Slaa, Wakili Mwambukusi, na mtukanaji mkuu wa seriakli Mdude Nyangali hawawezi kuwa wamekwepa amri hizi kumi za uhaini
- kujaribu kumuua Rais,
- kuanzisha vita dhidi ya Jamhuri ya Muungano,
- kusababisha,
- kuwezesha,
- kuchochea,
- kushawishi,
- kushauri kuhusu kifo, kumlemaza, kumzuia, kufungwa kwa Rais
- kumwondolea Rais heshima na jina la mkuu wa nchi, amiri jeshi mkuu, au kiongozi wa serikali,
- kupindua serikiali iliyo madarakani,
- kutishia serikali, bunge au mahakama.
Mimi nimeulizwa swali tu ndugu, mengine, siyajui...Mkuu wewe unadhani walitunga sheria hiyo ni wajinga -subiri uone.
Rushwa ni adui wa haki sitapokea wala kutoa rushwa,Ahadi mojawapo katika ahadi za Mwana TANU.Ushawishi ulikuwa ukifanyika wazi huko Club House
na jinai haifiki, sijui kwa nini tusiwe na private prosecution bila chenga chenga na wao pia waonje joto ya jiweNamba 8 inamuhusu Nape pamoja na Kinana waliosema rais ni mshamba na amechanganyikiwa
Lakini hayo yaliyonukuliwa kama yalitamkwa na watuhumiwa ni maneno ya uchochezi wa kumpindua Rais.Siyo uchochezi wenyewe.Sheria haisemi mtu akitamka maneno ya kuchochea mapinduzi dhidi ya Rais maana yake anakuwa ametenda kosa.
Tufanyeni mijadala tufanyeni makongamano tufanyeni siasa lakini tuwe wajanja sio tushawishi Nchi hii iwe na Lawlessness.Rushwa ya DP World isitutenganishe Watanzania ni wamoja.
wenyewe.Sheria haisemi mtu akitamka maneno ya kuchochea mapinduzi dhidi ya Rais maana yake anakuwa ametenda kosa