Fahamu tafsiri sahihi ya kosa la uhaini na adhabu yake usije ukasema watu wanaonewa

Fahamu tafsiri sahihi ya kosa la uhaini na adhabu yake usije ukasema watu wanaonewa

weka sababu kwanza iliyopelekea wawakae

Wenda nao walishazoea kuingiza magari yao free
Sasa wanaona DP kaja kawabania
Ndio wanamkataa.
Kumbe hujui hilo; nitakuambia na wengine pia wajue.

Sababu kubwa ya Jibuti kuikataa DP World ilikuwa ni mktaba wa kutokuwa na mipaka kama huu wetu ambao uliifanya DP World ijenge bandari yake maalumu kwa ajili ya mizigo ya Ethiopia, jambo lililoikosesha serikali ya Jibuti mapato yatokanao na mizigo ya Ethiopia. Walivoenda mahakamani bado serikali ya Jibuti ilishindwa tena kutomja na mkataba huo huo mbovu kama huu wetu uliokuwa unaikataza serikali kuuvunja mktaba huo kwani haukuwa na mwisho.
 
Hawa jamaa ni lidude kubwa mno duniani wako nchi nyingi tu

Wangekuwa ni wababaishaji wasingefika kote huko
Najaribu kufatilia haya badai yako
Ila wajibuti kuna zaidi ya unayoyajua wewe
 
Back
Top Bottom