Fahamu tafsiri sahihi ya kosa la uhaini na adhabu yake usije ukasema watu wanaonewa


Huo siyo ushahdi wa kushawishi au kuchochea; hapo walikuwa wanatoa maoni yao kuhusu jinsi ya kusonga mbele. Hawajakusanya watu wakawashawishi na kuwachochea. Polisi wangekuwa makini, wanagesubiri watuhumiwa hao wakusanye watu waanzae kuwashawishi. Na elewa kushahwishi na kuchochea siyo sentensi moja tu, ni process kama kutongoza; unamwambia mtu afanye jambo haelewi au hataki, unarudia tena na tena hadi anakubali.
 
Huna hoja kwahiyo una maanisha viongozi wanalindana?
 
Mungu akubariki uishi siku nyingi ili uyaone mengi
 
kwenye jinai ni vitu 2 tu ndugu yangu- mens rea and actus reus - hebu dadavua hizo kwanza tuone kama watafungwa. Vnginevyo ni hearsay tu...
 
Uko sahihi kuna watu wanapinga udini ila asilimia 70% ya watu wao ni wadini kwa asili.
 
kwenye jinai ni vitu 2 tu ndugu yangu- mens rea and actus reus - hebu dadavua hizo kwanza tuone kama watafungwa. Vnginevyo ni hearsay tu...
Mkuu wewe unadhani walitunga sheria hiyo ni wajinga -subiri uone.
 
Unajua maana ya kula NJAMA za kuipindua Serikali na lazima kuna hati impelekwa Interpol ili hata hao Diaspora watiwe wafikishwe Mahakamani
Rushwa ya DP World isitutenganishe Watanzania ni wamoja.
 
Mdude kwa kweli serikali ilale naye tu matusi yalizidi, aliona ana haki ya uzalendo kuliko uzalendo wenyewe. Wacha aliwe kichwa.

Hao wengine serikali iwafikirie

NB: Kabla hujaamua tetea kitu fikiria kuhusu familia yako kwanza, usiwatetee wasiojielewa
 
Namba 8 inamuhusu Nape pamoja na Kinana waliosema rais ni mshamba na amechanganyikiwa
 
Rushwa ya DP World isitutenganishe Watanzania ni wamoja.
Tufanyeni mijadala tufanyeni makongamano tufanyeni siasa lakini tuwe wajanja sio tushawishi Nchi hii iwe na Lawlessness.

Kila mtu ana kisasi fulani na mwenzake sasa bila polisi si tutamalizana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…