Fahamu tofauti kati ya Eid ul-Fitr na Eid ul-Adha

Fahamu tofauti kati ya Eid ul-Fitr na Eid ul-Adha

Eid al-Adha maana yake ni "sikukuu ya kutoa kafara/kuchinja" kwa Kiarabu na hutumiwa kukumbuka wakati nabii Ibrahimu alipotaka kumtoa kafara mwanawe Ismael alivyoamriwa na Allah, lakini akapewa kondoo na Mungu amtoe kafara badala yake.

Sikukuu ya Eid ul-Adha huadhimishwa kuanzia siku ya 10 tangu kuonekana kwa mwezi wa Dhu al-Hijjah.

Ibada ya Hajj kwenda Mecca huanza siku mbili kabla ya Eid al-Adha na tarehe yake huthibitishwa baada ya kuoenakana kwa mwezi huo wa Dhu al-Hijjah.
Naomba kufahamu zaidi hapa
Kwenye Bible inasemekana Ismail aliondoka na mama yake Hajra akiwa mdogo sana baada ya kukosana na Sara mkewe Ibrahim, pia inamptaja Isaka kuwa ndiye aliyenusurika kuchinjwa kwa ajili ya sadaka, je ni yupi kati ya hawa wawili alitaka kuchinjwa Ismail au Isaka?
 
Naomba kufahamu zaidi hapa
Kwenye Bible inasemekana Ismail aliondoka na mama yake Hajra akiwa mdogo sana baada ya kukosana na Sara mkewe Ibrahim, pia inamptaja Isaka kuwa ndiye aliyenusurika kuchinjwa kwa ajili ya sadaka, je ni yupi kati ya hawa wawili alitaka kuchinjwa Ismail au Isaka?
Isaka.
 
Lakini mahubiri mengi misikitini leo inamtaja Ismael
Unataka jibu sahihi? Fanya hivi mkuu:

Ichukue Kurwani uisome yote kuanzia Mwanzo hadi mwisho na Biblia ufanye vivyo hivyo. Ukimaliza, utakuwa umeshalipata jibu sahihi na hutahitaji tena jibu la mtu.
 
Back
Top Bottom