jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Hapo ni dhahiri walio iba notes wajachakachu vyao..ni familia ya mudi.Waislamu na Wakristu wameibiana notes kwenye hiyo stori ya Ibrahimu kutaka kumtoa mwanae kafara alfu Mungu akampa kondoo
Sisi hatujawakabidhi hayo mamlaka wamejikabidhi wenyewemamlka tunawakabidhi wenyewe, wanatuendesha na tumeridhika kuendeshwa
Naomba kufahamu zaidi hapaEid al-Adha maana yake ni "sikukuu ya kutoa kafara/kuchinja" kwa Kiarabu na hutumiwa kukumbuka wakati nabii Ibrahimu alipotaka kumtoa kafara mwanawe Ismael alivyoamriwa na Allah, lakini akapewa kondoo na Mungu amtoe kafara badala yake.
Sikukuu ya Eid ul-Adha huadhimishwa kuanzia siku ya 10 tangu kuonekana kwa mwezi wa Dhu al-Hijjah.
Ibada ya Hajj kwenda Mecca huanza siku mbili kabla ya Eid al-Adha na tarehe yake huthibitishwa baada ya kuoenakana kwa mwezi huo wa Dhu al-Hijjah.
Isaka.Naomba kufahamu zaidi hapa
Kwenye Bible inasemekana Ismail aliondoka na mama yake Hajra akiwa mdogo sana baada ya kukosana na Sara mkewe Ibrahim, pia inamptaja Isaka kuwa ndiye aliyenusurika kuchinjwa kwa ajili ya sadaka, je ni yupi kati ya hawa wawili alitaka kuchinjwa Ismail au Isaka?
Lakini mahubiri mengi misikitini leo inamtaja IsmaelIsaka.
Biblia 'hii' haiaminiki mkuu,siyo chanzo Cha kuaminika kwani mikono ni mingiLakini mahubiri mengi misikitini leo inamtaja Ismael
π€£π πBiblia 'hii' haiaminiki mkuu,siyo chanzo Cha kuaminika kwani mikono ni mingi
Umefuraahiiiπ€£π π
Unataka jibu sahihi? Fanya hivi mkuu:Lakini mahubiri mengi misikitini leo inamtaja Ismael