Fahamu ukweli wa yote yanayokutokea hapa Duniani

Fahamu ukweli wa yote yanayokutokea hapa Duniani

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Hapa duniani kuna kitu kinaitwa  nature ambacho ndio kinaamua all fates and destinies. Ukiangalia katika science theories utagundua ya kwamba kila kitu kinajirudia na kwamba kila kitu kilifanyika in the past.

Hivyo kila kinachokutokea sasa ni kutokana na matendo yako ya nyuma. Ulishawahi kujiuliza ukifa roho inaenda wapi? Basi pale roho inapotoka huzunguka kutafuta matumbo ya mimba na kuingia huko ili yapate tena uhai. Ndio maana kuna watu wanakufa ila wanazaliwa wengine na mitazamo ile ile.

Ukielewa zaidi juu ya siri za dark matter utajua kwanini black holes zipo na ndipo kila kitu kinakuwa concentrated pale na uhai wote na vifo vyote. Hivyo kuna formula ya kutabiri kifo cha mtu kabisa kupitia black holes kwa kuangalia science law na relativity.

N.B : Kama kuna mtu anataka kujua anakufa lini acomment hapo chini nimpigie hesabu.
 
Umeandika kitu kizuri sana ila unatupa tabu kosoma ndio maana sijaelewa...
Kajifunze uandishi halafu urudi uandike vizuri ndio tujadiliane.
Kipi ambacho hujaelewa MAWEED
 
Viingereza vingi mpaka unatupoteza au hii sio kwaajili yetu wa darasa la 7
Ili uelewe kiuwepesi zaidi iko hivii siku uliyozaliwa kuna nyota ilimezwa katika black hole, hivo kuna nyota mpya ilizaliwa ambayo itaakisi kitu kinaitwa karma, fate na destiny yako katika haya maisha. Hivyo kama uliishi kwa kunyanyasa watu tegemea katika dunia ya leo utanyanyasika pia ni law of nature mkuu MAWEED. Je umewahi kujiuliza una siku ngapi za kuishi hapa Duniani ulizobakiwa nazo.
 
dah kama ni hivyo idadi ya watu isinge ongezeka mkuu,kama mtu anakufa then roho yake inatafuta tumbo lenye mimba ili ipate uhai hebu kuwa seriouse 😂
Hiyo ni nature mkuu science law. Umewahi kujiuliza mtu akifa anaenda wapi? Au mbu akifa anaenda wapi? Vipi kuhusu dark matter na je umewahi kujiuliza kuhusu kuzaliwa kwa nyota? Roho ya mtu haifi hata siku moja bali inaishi na kutoka. Mfano wewe unaeza kuwa kielelezo cha maisha ya nyuma. Hivo fahamu ukifa leo roho yako itaakisiwa na maisha uliyoishi hapa Duniani. Na katika maisha mengine utalipa yote uliyoyatenda.
 
Kwahiyo Adolf Hitler atazaliwa Tena? Tutemee hili baada ya miaka mingapi? [emoji23][emoji23],
Alikwisha zaliwa tena na alikwisha lipwa madhila yake yote. Ndio maana dark matter ipo kuakisi mzunguko wa uhai hapa Duniani. Hivyo hata wewe ulishaishi hapa Duniani na ukifa utaendelea kuishi.
 
Hiyo ni nature mkuu science law. Umewahi kujiuliza mtu akifa anaenda wapi? Au mbu akifa anaenda wapi? Vipi kuhusu dark matter na je umewahi kujiuliza kuhusu kuzaliwa kwa nyota? Roho ya mtu haifi hata siku moja bali inaishi na kutoka. Mfano wewe unaeza kuwa kielelezo cha maisha ya nyuma. Hivo fahamu ukifa leo roho yako itaakisiwa na maisha uliyoishi hapa Duniani. Na katika maisha mengine utalipa yote uliyoyatenda.
Reincarnation,
the rebirth of a soul in another body.
 
Unasoma vitabu eti na wewe una maarifa. Kweli wewe ni kibakuri
Niko hapa kujibu maswali yako juu dunia na huu ulimwengu wetu. Na pia juu ya kifo.
 
Dah! Nimerudia tena kuisoma nilichobaidi Computer ya mleta uzi imeingia maji, la sivyo dishi kaligeuzia namptumbo badala ya posta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa duniani kuna kitu kinaitwa  nature ambacho ndio kinaamua all fates and destinies. Ukiangalia katika science theories utagundua ya kwamba kila kitu kinajirudia na kwamba kila kitu kilifanyika in the past.

Hivyo kila kinachokutokea sasa ni kutokana na matendo yako ya nyuma. Ulishawahi kujiuliza ukifa roho inaenda wapi? Basi pale roho inapotoka huzunguka kutafta matumbo ya mimba na kuingia huko ili yapate tena uhai. Ndio maana kuna watu wanakufa ila wanazaliwa wengine na mitazamo ile ile.

Ukielewa zaidi juu ya siri za dark matter utajua kwanini black holes zipo na ndipo kila kitu kinakuwa concentrated pale na uhai wote na vifo vyote. Hivyo kuna formula ya kutabiri kifo cha mtu kabisa kupitia black holes kwa kuangali science law na relativity.

N.B kama kuna mtu anataka kujua anakufa lini acomment hapo chini nimpigie hesabu.
wewe utakufa lini tuanze kwako kwanza
 
Back
Top Bottom