kadiri kasimba
Member
- Jul 23, 2022
- 23
- 36
Au hii itakuwa ndoige ukiishi ni kama umeishi na usipoishi ni kama umeishi pia😆😆Dah! Nimerudia tena kuisoma nilichobaidi Computer ya mleta uzi imeingia maji, la sivyo dishi kaligeuzia namptumbo badala ya posta
Sent using Jamii Forums mobile app