Fahamu ukweli wa yote yanayokutokea hapa Duniani

Fahamu ukweli wa yote yanayokutokea hapa Duniani

Mambo yanayomhusu Mungu hayajawahi kuwa rahisi katika akili na fahamu hizi za mwanadamu.. nakuhakikishia mpaka unakufa hakuna utakachokijua kumhusu Mungu na mambo ya siri ya dunia aliyoiumba yeye ..zaidi ya kupapasa pasasa Biblia na Quaran ambazo nazo kwa uelewa wako mdogo hutamuelewa Mungu kupitia maandiko yaliyomo humo.. na zaidi sana utahangaika kutafuta vyanzo vya maarifa ya uongo uongo na wewe ukiamini ni kweli... Mwanadamu ameumbwa kuishi duniani hajaumbwa kuchokonoa chokonoa mambo ambayo hayamuhusu atakufaaa..
Elewa ya kuwa dunia ina miaka zaidi ya 2 billions mpaka hapa ilipo. Na elewa uhai ulikuwepo tangu kabla ya binaadamu sisi. Ndio hapo utakuja kugundua dunia yote ipo centered ndani ya nguvu moja.
 
haya yote umeyajuaje mkuu ulishawahi kufa ukahamia kwa mwingine anaezaliwa au ni assumptions tu

[emoji23][emoji23] mifano ipo lkn watu walio zaliwa mara mbili yaan dunian kila theory ina evidence
 
Alikwisha zaliwa tena na alikwisha lipwa madhila yake yote. Ndio maana dark matter ipo kuakisi mzunguko wa uhai hapa Duniani. Hivyo hata wewe ulishaishi hapa Duniani na ukifa utaendelea kuishi.
Ataenda kuishi Burundi
 
Ndicho nachozungumzia kuhusu black holes na dark matter. Akili yako na roho ni vitu viwili tofauti. Hiyo lazima uelewe roho haitunzi kumbukumbuku ila akili inatunza. Hivo roho inapotoka huzunguka kutafta maisha tena na hapo inaakisiwa na dark energy ambayo ndio msukumo wa yote duniani. Hivo madhila yote unayoyatenda roho huyaakisi kwa miaka ya baadaye ambayo lazima uyalipe hivo matendo yako yataakisiki maisha yako ya badae na maisha yako ya sasa yanaakisi matendo yako ya nyuma.
Kuakisi maisha ya nyuma unamanisha Nin?i kwamba tabia na mienendo iliyofanywa na roho niliyonayo Kwa mtu aliyekwisha kufa kabla ya hiyo roho kuniingia mm
Na inapoakisi maisha ya nyuma inahusisha matendo ya namna gani?
Na vipi kuhusu wale ambao wanapata kumbukumbu juu ya maisha Yao walioishi kabla na wakati umesema roho Haina kumbukumbu?
Na inachukua muda gani mpaka hiyo roho iweze kumwingia mwili mwingine?
Nijibu hayo kwanza
 
Back
Top Bottom