Fahamu ukweli wa yote yanayokutokea hapa Duniani

Fahamu ukweli wa yote yanayokutokea hapa Duniani

Kama ni hivyo naomba unijuze mwisho wa hiyo roho ni upi?, na generation inaongezeka au inapungua? Na kama inaongezeka hizo roho nyingine zinatoka wapi?,
Kwanza lazima uelewe kuhusu kuzaliwa kwa nyota na kwanini tupo tunaishi duniani? Na kwanini nyama inaoza hata ukiiweka kwenye vacuum.
Roho haina mwisho ipo kuakisi ya jana ya leo na kesho. Mimba inapotungwa kiumbe kinachokuwa ndani je kina roho? Kinapozaliwa kwanini hakijitambui? Ukijiuliza hayo maswali utaelewa ukweli kuhusu maswali yako.
 
Unajua mkuu mleta mada kama unaingia kwenye akili angu na kutoka ,,,,,Binafis kuna vitu ua nakutana navyo katika maisha ya kawaida Ila vinakua kama vinajirudia ...yaan kama nliwahi kukutana navyo mahala ..ila kila nikikumbuka ni wapi na ni lini nakutana na kiza kizito ....japo nakua na feel kama niliwahi kuishi kabla
......... Je hali hyo inaweza kua na uhusiano na ulicho kiandika hapo?
Yeah! Hata mimi nilishawahi kukutana na hii hali tena zaidi ya mara moja, niliwahi fika sehem au kuona kitu ila akili inaniambia ulishawahi kufika au kukiona hicho kitu before lakini nikijaribu kuvuta kumbukumbu ilikuaje au nitukio gani lilifanyika katika hiyo sehemu au hadi kupelekea kukuona hicho kitu hua nabaki dilemma na kushindwa kupata jibu sahihi.
 
Hapa duniani kuna kitu kinaitwa  nature ambacho ndio kinaamua all fates and destinies. Ukiangalia katika science theories utagundua ya kwamba kila kitu kinajirudia na kwamba kila kitu kilifanyika in the past.

Hivyo kila kinachokutokea sasa ni kutokana na matendo yako ya nyuma. Ulishawahi kujiuliza ukifa roho inaenda wapi? Basi pale roho inapotoka huzunguka kutafta matumbo ya mimba na kuingia huko ili yapate tena uhai. Ndio maana kuna watu wanakufa ila wanazaliwa wengine na mitazamo ile ile.

Ukielewa zaidi juu ya siri za dark matter utajua kwanini black holes zipo na ndipo kila kitu kinakuwa concentrated pale na uhai wote na vifo vyote. Hivyo kuna formula ya kutabiri kifo cha mtu kabisa kupitia black holes kwa kuangali science law na relativity.

N.B kama kuna mtu anataka kujua anakufa lini acomment hapo chini nimpigie hesabu.
Ulichoandika hapa ni mambo ya kufikirika sawa na wale wasemao jua huzama matopeni
 
No mleta uzi yuko sahihi, tangu utotoni, nina kumbumbu za ajabu ajabu sana, na picha hiyo huwa inajirudia na sijui kwa nini, mimi kwa sasa nimezaliwa kwenye uislam, lakini tangu nikiwa mtoto, huwa naona maono kwamba, nilikuwa napita katika njia iliyopo chini ya ardhi, nikiwa na watu wamevaa nguo kama za masista na mapadri, wakiwa wamewasha mishumaa mikubwa ya rangi mbali mbali, na huku wakiniimbia nyimbo nzuri kama za kunibembeleza hivi, lakini njia hiyo ilkuwa na kama kajoto na ni ndefu ila walinipa raha sana waimbaji wale, na pia nilikuwa naheshimiwa kama mfalme au mwana mfalme sasa kwa mtoa Mada aniambie nilikuwa wapi, nafanya nini na wale walionipa heshima Ile ni akina nani!!? Yaani sijui ndio napokubali kwamba niliwahi kuishi na nahisi nilikufa nikiwa mristo na nikazikwa kikristo na roho yangu ikaingia kwenye tumbo la mama mwenye Imani niliyonayo sasa, na sijui Ile tanuru ilkuwa ina kwenda mpaka wapi?? Nisaidieni
ulikuwa raisi wa marekani au prince wa mtoto wa mfalme huwezi jua mkuu, ila sasa hivi umezaliwa buza
 
Yeah! Hata mimi nilishawahi kukutana na hii hali tena zaidi ya mara moja, niliwahi fika sehem au kuona kitu ila akili inaniambia ulishawahi kufika au kukiona hicho kitu before lakini nikijaribu kuvuta kumbukumbu ilikuaje au nitukio gani lilifanyika katika hiyo sehemu au hadi kupelekea kukuona hicho kitu hua nabaki dilemma na kushindwa kupata jibu sahihi.
Mkuu ata me hivyo na ni zaid ya mala moja ...dah haya maisha nifumbo kubwa ....ila tena me nilisha fanya research nkagundua sio wte hutokewa na hali hyo ..sas je hao wasio patwa na hali hyo nao wapo kundi gani?
 
Hapa duniani kuna kitu kinaitwa  nature ambacho ndio kinaamua all fates and destinies. Ukiangalia katika science theories utagundua ya kwamba kila kitu kinajirudia na kwamba kila kitu kilifanyika in the past.

Hivyo kila kinachokutokea sasa ni kutokana na matendo yako ya nyuma. Ulishawahi kujiuliza ukifa roho inaenda wapi? Basi pale roho inapotoka huzunguka kutafta matumbo ya mimba na kuingia huko ili yapate tena uhai. Ndio maana kuna watu wanakufa ila wanazaliwa wengine na mitazamo ile ile.

Ukielewa zaidi juu ya siri za dark matter utajua kwanini black holes zipo na ndipo kila kitu kinakuwa concentrated pale na uhai wote na vifo vyote. Hivyo kuna formula ya kutabiri kifo cha mtu kabisa kupitia black holes kwa kuangali science law na relativity.

N.B kama kuna mtu anataka kujua anakufa lini acomment hapo chini nimpigie hesabu.
Mambo yanayomhusu Mungu hayajawahi kuwa rahisi katika akili na fahamu hizi za mwanadamu.. nakuhakikishia mpaka unakufa hakuna utakachokijua kumhusu Mungu na mambo ya siri ya dunia aliyoiumba yeye ..zaidi ya kupapasa pasasa Biblia na Quaran ambazo nazo kwa uelewa wako mdogo hutamuelewa Mungu kupitia maandiko yaliyomo humo.. na zaidi sana utahangaika kutafuta vyanzo vya maarifa ya uongo uongo na wewe ukiamini ni kweli... Mwanadamu ameumbwa kuishi duniani hajaumbwa kuchokonoa chokonoa mambo ambayo hayamuhusu atakufaaa..
 
Je, unaweza kuniambia ni kwanini hatukumbuki our past life
Nadhani ni kwasababu akili huwa inatunza kumbukumbuku zote na akili tunaiacha ila roho ndio inabeba zile hisia zote na yale yote yanayoambatana nayo.
 
Back
Top Bottom