Fahamu utajiri uliopo kwenye uwekezaji wa dhamana za Serikali (Treasury Bills & Bonds)

Fahamu utajiri uliopo kwenye uwekezaji wa dhamana za Serikali (Treasury Bills & Bonds)

,mkuu mboni ki uhalisia % change ya hyo investment ni 25p. Ambayo ni 25milion kwa 365days lakin uktumia formula unapata 33.33p kwanini?? Vip kuna tofaut ukitumia formulae na ukitumia mtazamo wa kawaida?

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
,mkuu mboni ki uhalisia % change ya hyo investment ni 25p. Ambayo ni 25milion kwa 365days lakin uktumia formula unapata 33.33p kwanini?? Vip kuna tofaut ukitumia formulae na ukitumia mtazamo wa kawaida?

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
Ivi hii ya 33.33% kwa tressury bills ni kweli au masihala. Maana kama unapata asilimia yote iyo ni faida nzuri lakini katika zile karatasi wanazotoa BOT sijajua. Labda kwa ambaye kashanunua atujuze alipata asilimia ngapi?
 
Huo mfano wako hapo realistiki, Nimehisi Mimi hainihusu kabisa, Ungetoa MTU mwenye laki moja au tano hapo ndipo tupo wengi, M 100 huyo utakuwa unamzungumzia Mengi,Manji n.k
Na bonds amesema haziuzwi chini.ya mil.5
 
Vip kuhusu hasara ..maana lazima zitakuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hz bills na bond hazina hasara uwekezaji huu ni risk free kabisa expect faida,,hapa serikali ipate faida au hasara wewe kwako ni faida tu ni tofauti kabisa na uwekezaji katika hisa.
Nilienda branch ya BOT mbeya nikapata maelezo ya kina kuhusu hizi mambo.
Bills hazna interest isipokuwa unapata faida ya ile discount baada ya kushiriki auction na ku win kwa bid price/100 uliyoomba.
Ila Bond zina faida mbili ya discount pamoja na interest ya miaka utakayo fix ambapo huongezeka kadri miaka inavyokuwa mingi.
Pia ukiwekeza katika bond beyond 5 yrs faida zako zote hazikatwi withholding tax.
Katika kushiriki kwenye auction kuna njia mbili competitive(hapa una-suggest discount unayotaka-hapa kilowatt au kupata ni 50/50 maana makampuni yenye billions of money wanatumia hii ili wapate faida kubwa) na non-competitive(hapa njia nzuri kwenye bid price unaandika WAP(weight average price ) unakuwa na 99.9% chance ya kushinda ambapo sasa bid price yako itategemea average ya successful highest na lowest bid price za competitive ).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hz bills na bond hazina hasara uwekezaji huu ni risk free kabisa expect faida,,hapa serikali ipate faida au hasara wewe kwako ni faida tu ni tofauti kabisa na uwekezaji katika hisa.
Nilienda branch ya BOT mbeya nikapata maelezo ya kina kuhusu hizi mambo.
Bills hazna interest isipokuwa unapata faida ya ile discount baada ya kushiriki auction na ku win kwa bid price/100 uliyoomba.
Ila Bond zina faida mbili ya discount pamoja na interest ya miaka utakayo fix ambapo huongezeka kadri miaka inavyokuwa mingi.
Pia ukiwekeza katika bond beyond 5 yrs faida zako zote hazikatwi withholding tax.
Katika kushiriki kwenye auction kuna njia mbili competitive(hapa una-suggest discount unayotaka-hapa kilowatt au kupata ni 50/50 maana makampuni yenye billions of money wanatumia hii ili wapate faida kubwa) na non-competitive(hapa njia nzuri kwenye bid price unaandika WAP(weight average price ) unakuwa na 99.9% chance ya kushinda ambapo sasa bid price yako itategemea average ya successful highest na lowest bid price za competitive ).

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! shukrani sana mkuu kwa kunifungua macho ...

Hii harakati inatakiwa uwe na kiasi gani cha pesa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hz bills na bond hazina hasara uwekezaji huu ni risk free kabisa expect faida,,hapa serikali ipate faida au hasara wewe kwako ni faida tu ni tofauti kabisa na uwekezaji katika hisa.
Nilienda branch ya BOT mbeya nikapata maelezo ya kina kuhusu hizi mambo.
Bills hazna interest isipokuwa unapata faida ya ile discount baada ya kushiriki auction na ku win kwa bid price/100 uliyoomba.
Ila Bond zina faida mbili ya discount pamoja na interest ya miaka utakayo fix ambapo huongezeka kadri miaka inavyokuwa mingi.
Pia ukiwekeza katika bond beyond 5 yrs faida zako zote hazikatwi withholding tax.
Katika kushiriki kwenye auction kuna njia mbili competitive(hapa una-suggest discount unayotaka-hapa kilowatt au kupata ni 50/50 maana makampuni yenye billions of money wanatumia hii ili wapate faida kubwa) na non-competitive(hapa njia nzuri kwenye bid price unaandika WAP(weight average price ) unakuwa na 99.9% chance ya kushinda ambapo sasa bid price yako itategemea average ya successful highest na lowest bid price za competitive ).

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali langu na jee? Mfano katika izo bei wanazotangaza wanafanya kama kushindanisha kwa atakae wini na ambae hata win inakuaje apo mfano wanaposhindanishwa inakuwa labda mmoja kataja bei ya discount itakuwa 85 ya 100. Kwa iyo apo faida yake inakuwa ni 15% kwa kila pesa au inakuwaje apo
 
Dah! shukrani sana mkuu kwa kunifungua macho ...

Hii harakati inatakiwa uwe na kiasi gani cha pesa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali zuri mkuu
1.Kwa treasury bills minimum ni 500000/= kwa mafungu ya 10000/= mfano unaweza wekeza 550000/= na sio 555000/=
2.Kwa treasury bond minimum ni 1m kwa mafungu ya 100000/= mfano 1500000/= na sio 1550000/=
Kuwekeza kwenye hz dhamana za serikali kuna faida zifuatazo.

1.Serikali haitegemei kukiuka mategemeo ya wadai wake wakati wa malipo( hapa hata tuingie kwenye vita pesa yako utalipwa tofauti na commercial banks ni 50/50).

2.Dhamana za serikali zinahamishika hapa unaweza kuziuza DSE kabla ya mda wake kuiva

3.Dhamana za serikali zinaweza kutolewa kama dhamana kwa ajili ya mkopo(yaani ukishawekeza unaweza kupata mkopo bank yyte kulingana na pesa ulizowekeza,,kama umegundua ktu hapa unawekeza kwenye dhamana then unaenda kuchukua mkopo unapiga biashara unatengeneza faida mara mbili wakati bank unawalipa mdomdo mangi)

4.Faida inayopatikana katika uwekezaji wa dhamana inaridhisha) hakuna commercial bank yyte utakayowekeza upate interest kama za BOT na wengi ni matapeli maana walishanifanyia umafia that's why nimewekeza huku
Karibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu vipi kwenye malipo serikali haikuzungushi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Haisumbui kabisa na uzuri serikali inahesabu holiday kama siku za kawaida..mfano kama uliwekeza and let's say miezi sita ya mwanzo inakamilika mwezi huu(March to August )...sikukuu zote zilizopita zinahesabiwa unakuta malipo yanalipwa trh 19 au 20/8..ambapo ukiweka fixed kwenye commercial banks mpunga unachelewa kichizi halafu kidunchu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Somo zuri. Ila ungeweka comparison ya hisa vs bonds., Kwa uelewa wangu mdogo Bonds hazina risk ila xzzina low return uklinganisha na hisa. Hisa zina return kubwa ila risk ni kubwa
Umeuliza swali na kujijibu mwenyewe. Uko sahii kwa jinsi ulivyofafanua hizi tofauti 2.

tdot
 
Acha kuwapa kichwa bot , eti wako makini! We mtumishi wa BOT? mgiriki alidefault, Argentina na nchi nyingi tu ambazo uchumi wao ulikuwa imara kushinda Tanzania zilichemka.

tdot
 
Back
Top Bottom