Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We uriharibu kuweka mambo hadharani,wanga wengi🤣🤣🤣🤣sijui ulikunywa Nini na wewe?Shemeji ukanifelisha ule mchongo sasa! Naona kaota mbawa akapaa...Nimebaki alone dah!
Endelea kujikataa...Hahahaa acha wenge wewe!Huyu ni nani?
Sijapenda naomba ufute hiyo pichaEndelea kujikataa...Hahahaa acha wenge wewe!
Pm aligoma kuifungua kabisa...Halafu nimesimama kunywa pombe kidogo kwa mdaa...We uriharibu kuweka mambo hadharani,wanga wengi🤣🤣🤣🤣sijui ulikunywa Nini na wewe?
Sawa naiondoa saii! Ila wewe ni mrembo. 😘Sijapenda naomba ufute hiyo picha
Achana nae..take it easy😄Pm aligoma kuifungua kabisa...Halafu nimesimama kunywa pombe kidogo kwa mdaa...
But to be honest I need a lady who will love me and ready to be engaged with me...Achana nae..take it easy😄
Nimeshaifuta mrembo... Pole kwa makasiriko😘Huyu ni nani?