Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

Unaweza kupunguza idadi ya tofali kwa njia tatu: 1. Unalevel eneo la kujenga nyumba kwanza ikiwa slope siyo kali sana 2. Unatumia msingi wenye steps. 3. unafanya steps levelling ya eneo la kujenga nyumba.
Umesahau kuwa kufanya leveling kunahitaji pesa pia. Steps Si kwamba kunapunguza idadi ya tofali kufanana na eneo tambalale, hapana.
 
Huku kwetu tunachimba msingi ½futi thene tunapanga mawe kwa Udongo then tuna mwaga kazege 1" na ¼ na nyumba ni bomba tu. Huko mnakoweka manondo kama choo ni wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesahau kuwa kufanya leveling kunahitaji pesa pia. Steps Si kwamba kunapunguza idadi ya tofali kufanana na eneo tambalale, hapana.
Mkuu, elezea ujengaji wa msingi kwa kutumia steps. Maeneo mengi hasa yenye miinuko mafundi wanaweka steps kwenye foundation, hilo hufanya idadi ya matofali ipungue sana, maana kwa eneo kama Kimara hadi Mbezi, Malamba huko maeneo mengi ni ya miinuko.

1. Je, ujenzi wa steps kwenye miinuko una madhara gani katika uimara wa nyumba?

2. Wakati wa kumwaga ground beam, sijawahi kuona fundi akifanya kupima level ya beam, kwa maana ya upande mmoja kuwa sawa na mwingine, hii husababisha beam isiwe level na mwisho nyumba ikatitia kidogo lazima nyufa ndogondogo zitokee. Kwa nini hamfanyi kupima level ili kuwe na ulinganifu kwenye beam?
 
Mkuu, elezea ujengaji wa msingi kwa kutumia steps. Maeneo mengi hasa yenye miinuko mafundi wanaweka steps kwenye foundation, hilo hufanya idadi ya matofali ipungue sana, maana kwa eneo kama Kimara hadi Mbezi, Malamba huko maeneo mengi ni ya miinuko.

1. Je, ujenzi wa steps kwenye miinuko una madhara gani katika uimara wa nyumba?

2. Wakati wa kumwaga ground beam, sijawahi kuona fundi akifanya kupima level ya beam, kwa maana ya upande mmoja kuwa sawa na mwingine, hii husababisha beam isiwe level na mwisho nyumba ikatitia kidogo lazima nyufa ndogondogo zitokee. Kwa nini hamfanyi kupima level ili kuwe na ulinganifu kwenye beam?

1.msingi tambalale tofali1500
2.msingi sehemu yenye slope Lkn umeweka steps tofali 2400
3. Msingi sehemu yenye slope Lkn hujaweka steps tofali 3500.

Levelling Kwenye kumwaga zege ni lazima Uifanye. Vinginevyo ni mapungufu ya fundi uliyemtumia.

Steps hazina madhara as long as umezingatia kanuni za ujenzi
 
afu unakuta wanalaza nondo labda mbili ndo zege inafuata bila hata kuweka stirrups sasa unauliza ya kaz gan eti inazuia nyufa,buree kabisaa
Mkuu Stirrups ndio kitu gani hiko.?! Tudadavulie tujue mana may be tunapigwa sana na mafundi.
 
inategemeana na udongo,mfinyanzi hapana maana maji yakikauka utalia kwa settlement na cracking
Mkuu embu tusaidie hili kitaalam kabisa, kwanini nyumba ikishapigwa plaster, during curing process nyufa ndogo ndogo sana hutokea kwenye plaster?.

Kumbuka nyufa hizi hazikuwepo kwenye tofali kabla plaster haijapigwa.

Naomba majibu ya kitaalam. Ni nyufa ndogo ndogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Boq unaandaa??


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom