Fahamu watu wanaoruhusiwa kuweka pingamizi dhidi ya wagombea wa Urais, Makamu wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa mujibu wa Sheria

Fahamu watu wanaoruhusiwa kuweka pingamizi dhidi ya wagombea wa Urais, Makamu wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa mujibu wa Sheria

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
1598423984082.png


1598424003999.png


1598424017989.png
 
Kwa nafasi yake na kwa kujiamini kwake, yuko katika hatari ya kufanya makosa kuliko wagombea wengine wote kwani anaweza kuchukulia mambo kirahisi tu akiamini hakuna wa kumfanya kitu akasahau this time tuna mpinzani wa kweli na makini.

Lissu akipitia mchakato wake,sidhani kama hatokuta makosa na kibaya wanaopaswa kumwambia umekosea hapa na pale, wanaweza wasimwambie ama kwa kumuogopa au kwa kuamini hakuna wa kumfanya kitu/kumzuia..

Hata wale wagombea wengine nao kwa kujua hawana nafasi bali wanasindikiza tu,wanaweza pia wasiwe makini sana katika mchakato mzima na hivyo na wao kujikuta wamefana makosa.

Hili ni jambo lilinijia kichwani mwangu tangu jana niliposikia Lissu akisema usiku wa kuamkia leo anakwenda kuangalia kama wagombea wengine nao wametimiza taratibu na saa hizi zimeshaanza tetesi mitandaoni kuhusu hilo hivyo wacha tusubiri.

Bahati mbaya hakuna haki ya kwenda mahakamani kupinga maamuzi ya Tume.


Time will tell.
 
Hili ni swali la kiutu zaidi wala sio kisheria. Hii ni kwa sababu habari toka ndani zinasema Fomu za mzee baba zimejaa mapungufu kibao ambayo ingekuwa ni za Lissu au mzee wa Ubwabwa Sipunda zisingekatiza hata hatua moja mbele ya NEC.
Sasa Leo ziko wazi na kwa vyovyote wataalamu walio ndani ya timu ya Lissu makosa hayo hayawezi kupita bila ya kuonwa, jee wakiyagundua wasimame kidete aenguliwe kama sheria itakavyo au aonewe huruma maana kuna mambo "mazuri" alifanya kama kununua ndege, kufufua meli nk ingawa impact yake ni ndogo kuliko yale aliyoshindwa kufanya ndani ya miaka mitano?
Tukumbuke hapa nauliza kiutu tuu, maana kama kikanuni ilipaswa afungashe mizigo tayari kurudi kule alikojenga uwanja
 
Jana Tume ilikuwa inataka Lissu akubaliane na mambo ya kimazoeamazoea kwenye kurudisha fomu kinyume cha sheria akagoma akataka sheria za uchaguzi zifuatwe kipengele kwa kipengele, ndiyo maana ilichukua muda mrefu kumhudumia!

Nahisi tume walinusa kuwa kama huyu Mnyampaa kakomalia ishu fulani ambayo Jiwe hajatimiza itakuwa pasua kichwa kwa hiyo wakataka akubali kirahisirahisi ili wakosee wote.

Sasa Jiwe ajiandae kwenda tume kujibu pingamizi!
 
Kwangu Mimi sioni mantiki ya kitu kinachoitwa Mapingamizi, nashauri kwenye sheria zetu tuanze kufikiria kukifuta, hakina maana yoyote kabisa, ni kupoteza muda tu.

Hata suala la kutafuta Wadhamini halina maana yoyote kwangu mimi nashauri tufikirie kufuta hili swala

Vile vile, tuweke block kwenye sheria mtu asipite bila kupingwa, maana naona wagombea wa CCM wanaongea na wasimamizi, polisi na Takukuru ili kutengeneza mazingira ya kupita bila kupingwa
 
Aende TUU akajibu pingamizi huko. We mean a business this time around
 
Unaagua au unaongelea uhalisia? Pingamizi gani la kujibu mheshimiwa Rais wetu kipenzi?
 
jana Tume ilikuwa inataka Lissu akubaliane na mambo ya kimazoeamazoea kwenye kurudisha fomu kinyume cha sheria akagoma akataka sheria za uchaguzi zifuatwe kipengele kwa kipengele, ndiyo maana ilichukua muda mrefu kumhudumia!

Nahisi tume walinusa kuwa kama huyu Mnyampaa kakomalia ishu fulani ambayo Jiwe hajatimiza itakuwa pasua kichwa kwa hiyo wakataka akubali kirahisirahisi ili wakosee wote.

Sasa Jiwe ajiandae kwenda tume kujibu pingamizi!
Hacha uongo
Majina ya wadhamini wa Lisu hayakuhakikiwa na wasimamizi wa majimbo, hivyo ilibidi time uhakiki jina moja
Uongo wa nini sasa
 
Kwa nafasi yake na kwa kujiamini kwake, yuko katika hatari ya kufanya makosa kuliko wagombea wengine wote kwani anaweza kuchukulia mambo kirahisi tu akiamini hakuna wa kumfanya kitu akasahau this time tuna mpinzani wa kweli na makini.

Lissu akipitia mchakato wake,sidhani kama hatokuta makosa na kibaya wanaopaswa kumwambia umekosea hapa na pale wanaweza wasimwambie kwa kumuogopa au kwa kuamini hakuna wa kumfanya kitu.

Hata wale wagombea wengine nao kwa kujua hawana nafasi bali wanasindikiza tu,wanaweza pia wasiwe makini sana katika mchakato mzima na hivyo na wao kujikuta wamefana makosa.

Bahati mbaya hakuna haki ya kwenda mahakamani kupinga maamuzi ya Tume.


Tusubiri.
CCM ni tahasisi siyo Kama chadema sacoss!
Unadhani huyu ndiyo Rais wa kwanza kujaza fomu?
 
Back
Top Bottom