Fahamu watu wanaoruhusiwa kuweka pingamizi dhidi ya wagombea wa Urais, Makamu wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa mujibu wa Sheria

Fahamu watu wanaoruhusiwa kuweka pingamizi dhidi ya wagombea wa Urais, Makamu wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa mujibu wa Sheria

Cha ajabu sioni chama cha kungoa CCM, kama tu mpaka sasa hv zaidi ya majimbo kumi ya yamechukuliwa mnategemea nn?

Upinzani ukajipange upya, washazidiwa tayari!
 
Saddam Hussein wa Libya lazima achapie kama si kuboronga

kama Gadhafi ni wa Kuwait,basi tarajia MTU kuandika anatafuta 'kula' za 'ulaisi' kwa tiketi ya CHAUMA
 
JF kuna vituko! Nyinyi mnaosema kila siku kuwa tume kachagua yeye,polisi wake na dola yote yake ndio imuite akajibu pingamizi?!
 
Kuna vitu haviwezekani. Ni fantasy tu watu hujenga vichwani
 
Tumwache tu, ushindi wa mezani hauna radha!!
 
Kwangu Mimi sioni mantiki ya kitu kinachoitwa Mapingamizi, nashauri kwenye sheria zetu tuanze kufikiria kukifuta, hakina maana yoyote kabisa, ni kupoteza muda tu.

Hata suala la kutafuta Wadhamini halina maana yoyote kwangu mimi nashauri tufikirie kufuta hili swala

Vile vile, tuweke block kwenye sheria mtu asipite bila kupingwa, maana naona wagombea wa CCM wanaongea na wasimamizi, polisi na Takukuru ili kutengeneza mazingira ya kupita bila kupingwa
Binafsi naungana na wewe kwa kiasi kikubwa kwa haya mambo mengine hayana maana sana na ni kama urasimu tu wenye malengo fulani, ila kwakuwa yaliwekwa bila kutafakari kwa makini, safari hii yanaweza kuwageukia wao wenyewe na hapa tunaweza kupata somo fulani.
 
Cha ajabu sioni chama cha kungoa CCM, kama tu mpaka sasa hv zaidi ya majimbo kumi ya yamechukuliwa mnategemea nn?

Upinzani ukajipange upya, washazidiwa tayari!
Huko kwenye mambo ya kihuni huni !! Unahesabu ushindi..be serious!!
 
Kwa nafasi yake na kwa kujiamini kwake, yuko katika hatari ya kufanya makosa kuliko wagombea wengine wote kwani anaweza kuchukulia mambo kirahisi tu akiamini hakuna wa kumfanya kitu akasahau this time tuna mpinzani wa kweli na makini.

Lissu akipitia mchakato wake,sidhani kama hatokuta makosa na kibaya wanaopaswa kumwambia umekosea hapa na pale wanaweza wasimwambie kwa kumuogopa au kwa kuamini hakuna wa kumfanya kitu.

Hata wale wagombea wengine nao kwa kujua hawana nafasi bali wanasindikiza tu,wanaweza pia wasiwe makini sana katika mchakato mzima na hivyo na wao kujikuta wamefana makosa.

Bahati mbaya hakuna haki ya kwenda mahakamani kupinga maamuzi ya Tume.


Tusubiri.
Tatizo lako nilishaliona liona siku nyingi, mihemko ya jamaa ndio huwa unaona dira kwako.
 
Acha kudanganya. Kama ilikua hivyo kwanini alilalamika kukalishwa muda mrefu pale. Pitia tweets zake za jana kabla ya kukurupuka kutaka sifa JF
jana Tume ilikuwa inataka Lissu akubaliane na mambo ya kimazoeamazoea kwenye kurudisha fomu kinyume cha sheria akagoma akataka sheria za uchaguzi zifuatwe kipengele kwa kipengele, ndiyo maana ilichukua muda mrefu kumhudumia!

Nahisi tume walinusa kuwa kama huyu Mnyampaa kakomalia ishu fulani ambayo Jiwe hajatimiza itakuwa pasua kichwa kwa hiyo wakataka akubali kirahisirahisi ili wakosee wote.

Sasa Jiwe ajiandae kwenda tume kujibu pingamizi!
 
Litaondolewa tu kwa namna yoyote....

Lissu Rais wetu mtarajiwa
 
Usikariri na usidharau hatari hata isiyoonekana.
Tatizo Ni kwamba kila mwaka wa uchaguzi, kauli Kama hizi tunazisikia Sana, na baadae hatuoni mkuyafanya.Hivyo sisi tunawaona Kama wapambanaji nyuma ya keyboard tu.
 
Back
Top Bottom