Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Ulipima ukakutwa una maambukizi ndo ukaenda kutumia hizo dawa au ulitumia dawa kwa hisia tu?.
 
Hii habari isikie tu isikukute, sidhani kama kuna mtu atatumia hizi dawa akawa salama na akarudia kufanya ngono uzembe, ni mateso yasiyomithilika, mwezi ni mdogo sana kama unadaiwa lakini ukitumia hizi dawa mwezi ni Kama mwaka, kuna mtu anatarajia kwenda kupima kesho baada ya kumaliza dozi.
 
Ulipima ukakutwa una maambukizi ndo ukaenda kutumia hizo dawa au ulitumia dawa kwa hisia tu?.
Nilitembea na huyo mwanamke kisha tukaenda kupima,ndio akagundulika kuwa ana HIV positive, mm nilikuwa negative, nikaenda Angaza nikapima SKU hiyhiyo ndipo nilipopewa dawa hizo!
 
We acha Tuy! Hizo dawa zinakera mnoo! Zina ndoto za ajabu, njaa inakuuma kama nguruwe na bado ukimeza zina harufu mbaya mno! Mavidonge menyewe n makubwa mno! Aisee n mateso kwa kweli!

ILA NGONO UZEMBE TUACHENI JAMANI!ZINA GHARAMA MNO
 
Hahaaa nimependa hapo, "safari yangu ya kutafta mtoto nje ya ndoa nimeifunga rasmi"
Unajuwa unaweza ukawa hujaandikiwa kupata mtoto Bas kufoc foc nako n kubaya! Its better to stay calm! Nitafanya mpango wa kuwa natembelea vituo vya Watoto yatima ili kumaliza kiu yangu ya Watoto, ila siyo kuzaa nje tena
 
Mtoto muhm ,kukosa na risasi kwenye uwanja wa vita hakugairishi mapambano
 
We acha Tuy! Hizo dawa zinakera mnoo! Zina ndoto za ajabu, njaa inakuuma kama nguruwe na bado ukimeza zina harufu mbaya mno! Mavidonge menyewe n makubwa mno! Aisee n mateso kwa kweli!

ILA NGONO UZEMBE TUACHENI JAMANI!ZINA GHARAMA MNO
Hebu tupia kapicha tuzione mkuu!!
 
HAKIKA MKUU MSHUKURU MUNGU ,,ULITAKA KURUKA JIVU NAKUKANYAGA MOTO

MUNGU AMEKUONYESHA ILO NA SASA KUA MAKINI.

Siku ingime mpimishe au kondomu
 
Futa rasmi mkuu,usirudie tena,naona sasa umeona wanaoupata hali inavyokuwa...
 
Wasiwasi wako tu,
endelea kutafuta mtoto
ukimwi hata kama upo sio tishio kivile,una miaka 28,ukiupata leo utaanza kuchoka miaka 30 ijayo,si tayari hata kama sio ukimwi safari ya kwenda mbinguni huwa ishaanza.

Huyo uliempima sijui yuko positive,anaweza kuku outlive ndo ubaki unashangaa.
 
Nilitembea na huyo mwanamke kisha tukaenda kupima,ndio akagundulika kuwa ana HIV positive, mm nilikuwa negative, nikaenda Angaza nikapima SKU hiyhiyo ndipo nilipopewa dawa hizo!
Kama unahitaji mtoto njoo Uganda , upandikize kwa technology inayoitwa IVF, manii yanatolewa na kupandikizwa kwenye kizazi cha mkeo na anabeba mwanao
 
Kama unahitaji mtoto njoo Uganda , upandikize kwa technology inayoitwa IVF, manii yanatolewa na kupandikizwa kwenye kizazi cha mkeo na anabeba mwanao
Hata Muhimbili nadhani hiyo technology IPO, specialist mmoja kutoka kamanga hospital àliniambia! Ila sijafikiria kutumia iyo
 
We Tania tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…