Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

ni ngumu kumeza ..tunaloweka.....mmedinyana jana hujui ka mwenzio anao...unakimbilia kupewa dawa ndani ya saa 72????
1. Unapima siku ya kwanza .....hakuna viashiria
2. Unarudi baada ya mwezi/miezi3 ...kuthibitisha

nahisi mnanichanganya kwa kusema masaa 72, vinginevyo uwe unatambua wazi umefanya na mwathirika
3#kikawaida mtu anae pewa pep ni watu wa afya ambao wamekua exposed kwa wagonjwa ambaoni confimed hiv mfano nurse anamhudumia hiv pt then sindano aliyomchoma pt akajichoma yeye pia ndo hapo anatakiwa atumie pep
 
Duu! This is interesting. Hebu nipe mwangaza zaidi ili nijue wapi nianzie kupata huo uelewa mpya kuhusu hili jambo

Fuatilia post zangu kwenye uzi huu: https://www.jamiiforums.com/jf-doct...wenye-ukimwi-tena-peku-na-asipate-ukimwi.html

Pia ukiwa na muda fuatilia documentaries zifuatazo kwenye youtube huku ukiwa na open mind;

1.10 scientific arguments why HIV can NOT cause AIDS (dr. Duesberg)

2.Positively False - Birth of a Heresy - HIV AIDS

3.Prof. Luc Montagnier's Extended House of Numbers Interview (1)

4.The Other Side of AIDS

5.Why HIV was never discovered.

6.AIDS TRUTH 2013 Gary Null Exposes The Truth About The HIV=AIDS Lies

7.HIV = AIDS - Fact Or Fraud

8.Peter Duesberg - The Invention of AIDS

9.The Great AIDS Hoax! House of Numbers Movie

10.The HIVAIDS Hoax Explained - Dr. Robert Willner

11.Why I Quit Hiv with Kary Mullis - Rodney Richards - more HoN

Pia kuna scientific papers nyingi sana kuthibitisha hayo utakayoyaona kwenye hizo documentaries.Zaidi ya yote kinachotokea mitaani na kwenye vituo vya afya katika maisha yetu ya kila siku kina akisi moja kwa moja ukweli huo wa kwenye hizo scientific papers na hizo documentaries.

Kazi kwako sasa.
 
Fuatilia post zangu kwenye uzi huu: https://www.jamiiforums.com/jf-doct...wenye-ukimwi-tena-peku-na-asipate-ukimwi.html


Pia ukiwa na muda fuatilia documentaries zifuatazo kwenye youtube huku ukiwa na open mind;

1.10 scientific arguments why HIV can NOT cause AIDS (dr. Duesberg)

2.Positively False - Birth of a Heresy - HIV AIDS

3.Prof. Luc Montagnier's Extended House of Numbers Interview (1)

4.The Other Side of AIDS

5.Why HIV was never discovered.

6.AIDS TRUTH 2013 Gary Null Exposes The Truth About The HIV=AIDS Lies

7.HIV = AIDS - Fact Or Fraud

8.Peter Duesberg - The Invention of AIDS

9.The Great AIDS Hoax! House of Numbers Movie

10.The HIVAIDS Hoax Explained - Dr. Robert Willner

11.Why I Quit Hiv with Kary Mullis - Rodney Richards - more HoN


Pia kuna scientific papers nyingi sana kuthibitisha hayo utakayoyaona kwenye hizo documentaries.Zaidi ya yote kinachotokea mitaani na kwenye vituo vya afya katika maisha yetu ya kila siku kina akisi moja kwa moja ukweli huo wa kwenye hizo scientific papers na hizo documentaries.

Kazi kwako sasa.
Okay. Nitafuatilia mpaka nitapata kilichoelezwa kwenye hizo theories
 
Researchers from the Gladstone
Institutes have revealed that HIV does
not cause AIDS by the virus's direct
effect on the host's immune cells, but
rather through the cells' lethal
influence on one another.
HIV can either be spread through
free-floating virus that directly infect
the host immune cells or an infected
cell can pass the virus to an
uninfected cell. The second method,
cell to cell transmission, is 100 to
1000 times more efficient, and the
new study shows that it is only this
method that sets off a cellular chain
reaction that ends in the newly
infected cells committing suicide.
"The fundamental 'killing units' of
CD4 T cells in lymphoid tissues are
other infected cells, not the free
virus," says co-first author Gilad
Doitsh, PhD, a staff research
investigator at the Gladstone Institute
of Virology and Immunology. "And
cell-to-cell transmission of HIV is
required for activation of the main
HIV death pathway."
In a previous investigation, the
scientists discovered that 95% of cell
death from HIV is caused by immune
cells committing suicide in self-
defense after an unsuccessful
infection. When the virus tries to
invade a cell that is "at rest," the
infection is aborted. However,
fragments of viral DNA remain and are
detected by the resting host cell.
This triggers a domino effect in the
cell's defense system, resulting in the
activation of the enzyme caspase-1,
which ultimately causes the induction
of pyroptosis, a fiery form of cell
suicide.
In the new study, published in Cell
Reports, it was revealed that this
death pathway is only activated
through cell-to-cell transmission of
HIV, not from infection by free-
floating viral particles. Using
lymphoid tissue infected with HIV,
the scientists compared cell death
rates between cell-to-cell and cell-
free virus transfer. They discovered
that while overall rates of infection
remained the same, there was
significantly more CD4 T cell death if
HIV was spread by infection from
other cells than by free-floating virus.
"Although free-floating viruses
establish the initial infection, it is the
subsequent cell-to-cell spread of HIV
that causes massive CD4 T cell
death," says co-first author Nicole
Galloway, PhD, a post-doctoral fellow
at the Gladstone Institute of Virology
and Immunology. "Cell-to-cell
transmission of HIV is absolutely
required for activation of the
pathogenic HIV cell-death pathway."
To confirm this finding, the
researchers perturbed viral transfer
through a number of means:
genetically modifying the virus,
applying chemical HIV inhibitors,
blocking inter-cellular synapses, and
increasing the physical distance
between the cells so they could not
come into contact with one another.
Notably, disruption of cell-to-cell
contact effectively stopped the death
of CD4 T cells. What's more, only
during cell-to-cell transmission was
caspase-1 activated within the target
cells, thereby initiating pyroptosis,
the pro-inflammatory cell-suicide
response.
The scientists speculate that the
difference in cell death rates between
the two methods of infection is due
to the increased efficiency of cell-to-
cell transmission. Aborted viral DNA
fragments are quickly removed during
infection by cell-free HIV particles,
so they are not detected by the cell's
defensive system. However, in cell-
to-cell transmission, the viral DNA
fragments overwhelm cell
maintenance, building up until they
surpass a threshold and are detected.
This then triggers caspase-1
activation and pyroptosis.
"This study fundamentally changes
our mindset about how HIV causes
massive cell death, and puts the
spotlight squarely on the infected
cells in lymphoid tissues rather than
the free virus," says senior author
Warner C. Greene, MD, PhD, director
of the Gladstone Institute of Virology
and Immunology. "By preventing cell-
to-cell transmission, we may able to
block the death pathway and stop the
progression from HIV infection to
AIDS."
 
Siwezi kupoteza muda wangu ku-debate na watu wanaoongea bila ushahidi wa kisayansa. Masuala ya tiba hayafanywi kwa hisia wala mahaba. Yanafanyika baada ya tafiti zinazotoa ushahidi wa kuridhisha.

1. ARVs zinapunguza VVU na maambukizi.... huu ni ukweli usiopingikwa kwa nadharia na theolojia



Naomba unitofautishie kati ya nadharia na theorojia
 
Siwezi kupoteza muda wangu ku-debate na watu wanaoongea bila ushahidi wa kisayansa. Masuala ya tiba hayafanywi kwa hisia wala mahaba. Yanafanyika baada ya tafiti zinazotoa ushahidi wa kuridhisha.

1. ARVs zinapunguza VVU na maambukizi.... huu ni ukweli usiopingikwa kwa nadharia na theolojia



Naomba unitofautishie kati ya nadharia na theolojia

Nadharia ni theory au taarifa zisizo na back up ya practical wakati theolojia nilimaanisha theology ambayo ni elimu ya mambo ya dini.
 
Nadharia ni theory au taarifa zisizo na back up ya practical wakati theolojia nilimaanisha theology ambayo ni elimu ya mambo ya dini.

Naomba unielezee elimu ya dini gani inayosema ARV's zinapunguza VVU na maambukizi mkuu
 
Hebu acha utani wewe.

Kuna mahali popote nimeongea kitu kama hicho?

si umesema ARV'S zinapunguza vvu na ukasema huu ni ukweli usiopingika kwa nadharia na theolojia na ukasema theolojia ni elimu ya mambo ya dini au mpka nikuquote?
 
Habari wadau, ndugu Watanzania wangwana wanaJF, naomba mchango wenu. Natumia PEP kama nilivyoshauriwa na wanaJF baada ya mkasa fulani. Naomba kujua side effects zake na nini nifanye kiafya, naamini wapo wataalamu na mawazo tofauti humu.
Asante
 
goodfool,
Post Exposure Prophylaxis, kama ni ya HIV/AIDS fuata ushauri wa daktari wako, achana na JF.
 
Zipo side-effect lakini sio life-threatening pia kutumia PEP hakuna maana kuwa huwezi kuwa HIV positive hivyo abstain from sex au tumia condom mpaka vipimo vifanyike ukijua afya yako ndio uamue
 
Katika thread ingine wanasema side effect kubwa ni dizziness, hallucinations kama utameza mchana lakini. Ukimeza usiku itakuwa kidogo afadhali
 
Back
Top Bottom