Faida 10 za kuoa mwanamke mwenye mtoto (single mother)

Binafsi hata uniletee faida 100, siwezi kuoa.
 
[emoji2]
 
Hasara kuu

Aliyemzalisha akitaka kula mzigo anajilia bureeee any time kwa mgongo wa kumuona mtoto. Single maza ni mke wa mtu kabla hujamchukua hakikisha mumewe kafa na kaburi lake ulione. Kinyume na hapo utagongewa na baba mtoto hadi uitishe press uombe poo!
 
Daaah
 
Wewe Labani ni kiazi mbatata[emoji3063] kabisa kichwani una utosi huyo singo maza wako kachukua akili zako umepewa nini??
Hapana mkuu..Kwa ubinadamu yafaa tusiwatenge
 
Akitaka mtoto...mnaenda wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…