SoC01 Faida atakayopata kijana baada ya kuoa

SoC01 Faida atakayopata kijana baada ya kuoa

Stories of Change - 2021 Competition

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Pamoja na uwepo wa utitiri wa ndoa sasa lakini bado katika ulimwengu wa sasa kuna vijana wanaogopa kuoa.

Kwanza kijana acha uoga kila kijana akiamua anaweza kuoa na kumudu familia hata kama ana kipato kidogo tu. Nina miaka miwili ndani ya ndoa na hizi ni faida nilizopata.

MATUMIZI BORA YA FEDHA.
Kabla sijaoa ni rahisi sana kutumia pesa bila mpangilio mzuri, unaweza kwenda baa ukagawa 🍻 na ofa mbalimbali,kula kula hovyo sababu nyumbani hakuna chakula lakini ukiwa na mke huwezi kufanya mbele yake hata kidogo.

Unaweza kutumia pesa nyingi bila hofu sababu uko na washkaji,ukioa lazma kwanza uwaze familia kwanza ndio marafiki wafuate.

KUSAVE MUDA WAKO WA ZIADA
Kabla hujaoa unaweza ukawa ni mtu wa kujichanganya popote bila ratiba na mwaliko,hutojali sehemu ya kulala au utakapoamkia,lakini ukioa ni lazma ulale nyumbani tu.

ULINZI NA USALAMA WA AFYA YAKO
Hapa kabla hujaoa ulikuwa na tabia labda ya kuruka ruka(kudanga) au kufanya ngono zembe. Hapa kuna hatarisha afya yako kutokana na magonjwa ya zinaa,kulea mimba bandia au mimba zisizotarajiwa.

Ukishaoa kama utamweshimu mwenzio badi yote hayo hutopata, utakuwa unafaidika na mwenzi wako mida wowote na kwa usalama zaidi.

MLO BORA NA MZURI KWA AFYA
Ukiwa bachela unaweza kula vyakula vya hovyo hovyo na hata kama utakula hotelini basi utakula chakula kilichopo na pia gharama itakuwa ni kubwa kuliko ungekula nyumbani.

Ukioa,utachagua chakula unachopenda, garama zitakuwa ndogo,utawekewa matunda na utaulizwa kama umeshiba au la,raha iliyoje?

MSAIDIZI BORA KABISA WA MAISHA
Hapa kumbuka utapikiwa na kuoshewa vyombo,utafuliwa nguo zako vizuri,utashauriwa nguo ya kuvaa,utatizamwa kama umependeza,utafarijiwa ukiwa na mawazo,umechoka,unaumwa n.k

Changamoto za ndoa zipo lakini haziondoi hizo faida. Zoote hizo ni faida je una nyingine ujazie? Au kama bado hujaoa Ukiwa kijana ni kipi kinachokufanya usioe?

Karibuni.
 
Upvote 21
Huo ndio UKWELI WOTE.. Kukatisha tamaa ni kusema kitu cha kinafiki au cha kutomtakia mtu mema. Binafsi nimeona faida sana za kutokuwa na mke. Na mafanikio yangu niliyopata najua Yasingewezekana Kamwe Ningekuwa na Mke sababu nilijaribu long term relationships na kila mara nikiwa na mDada mambo YANAHARIBIKA. Nikiwa pekee, ndio mambo YANAENDA KWELI KWELI YA KIUCHUMI.. KIBIASHARA NK. Ndio nikasema ndoa Siku Hizi inaathiri muda wako. Fedha zako. Na ndoto zako. Ukitaka kutoboa vizuri siku hizi.. Usikimbilie Ndoa. Na leo hii nimezungukwa na watu wanalalamika tu kuhusu ndoa zao. Ikiwa ni pamoja na marafiki, wafanyakazi, majirani, na ndugu. Stress kila sehemu. Ndoa labda miaka hio. SIKU HIZI SIO KITU CHA KUKIMBILIA
Wewe Jombaa unaonekana unajielewa sana. Safi sana keep it up!

Marriage is an expense to a man. Kama wewe una kipato kidogo halafu uoe utafilisika zaidi. Kama wewe ni tajiri halafu uoe, lakini usiongeze kipato, uta-downgrade lifestyle to accommodate the additional expenses.

From a financial standpoint, marriage is only beneficial to women because they share the man's resources. It doesn't work the other way though i.e women don't share resources with men - they leave. (filisika ujue tabia ya mkeo)

Remember that women only marry up. So, from the first day of a relationship, the woman reaps financial dividends right away. Women can escape poverty through marriage but men can't. (Ni rahisi CEO mwanaume kuoa binti mpika bagia Singida ila sio rahisi CEO mwanamke kuolewa na mwanaume mlina asali Tabora)
 
Wewe Jombaa unaonekana unajielewa sana. Safi sana keep it up!

Marriage is an expense to a man. Kama wewe una kipato kidogo halafu uoe utafilisika zaidi. Kama wewe ni tajiri halafu uoe, lakini usiongeze kipato, uta-downgrade lifestyle to accommodate the additional expenses.

From a financial standpoint, marriage is only beneficial to women because they share the man's resources. It doesn't work the other way though i.e women don't share resources with men - they leave. (filisika ujue tabia ya mkeo)

Remember that women only marry up. So, from the first day of a relationship, the woman reaps financial dividends right away. Women can escape poverty through marriage but men can't. (Ni rahisi CEO mwanaume kuoa binti mpika bagia Singida ila sio rahisi CEO mwanamke kuolewa na mwanaume mlina asali Tabora)
You have made my day Joh Doe
Thank you for the nice reply.
Be blessed mate.
 
Pamoja na uwepo wa utitiri wa ndoa sasa lakini bado katika ulimwengu wa sasa kuna vijana wanaogopa kuoa.

Kwanza kijana acha uoga kila kijana akiamua anaweza kuoa na kumudu familia hata kama ana kipato kidogo tu. Nina miaka miwili ndani ya ndoa na hizi ni faida nilizopata.

MATUMIZI BORA YA FEDHA.
Kabla sijaoa ni rahisi sana kutumia pesa bila mpangilio mzuri, unaweza kwenda baa ukagawa 🍻 na ofa mbalimbali,kula kula hovyo sababu nyumbani hakuna chakula lakini ukiwa na mke huwezi kufanya mbele yake hata kidogo.

Unaweza kutumia pesa nyingi bila hofu sababu uko na washkaji,ukioa lazma kwanza uwaze familia kwanza ndio marafiki wafuate.

KUSAVE MUDA WAKO WA ZIADA
Kabla hujaoa unaweza ukawa ni mtu wa kujichanganya popote bila ratiba na mwaliko,hutojali sehemu ya kulala au utakapoamkia,lakini ukioa ni lazma ulale nyumbani tu.

ULINZI NA USALAMA WA AFYA YAKO
Hapa kabla hujaoa ulikuwa na tabia labda ya kuruka ruka(kudanga) au kufanya ngono zembe. Hapa kuna hatarisha afya yako kutokana na magonjwa ya zinaa,kulea mimba bandia au mimba zisizotarajiwa.

Ukishaoa kama utamweshimu mwenzio badi yote hayo hutopata, utakuwa unafaidika na mwenzi wako mida wowote na kwa usalama zaidi.

MLO BORA NA MZURI KWA AFYA
Ukiwa bachela unaweza kula vyakula vya hovyo hovyo na hata kama utakula hotelini basi utakula chakula kilichopo na pia gharama itakuwa ni kubwa kuliko ungekula nyumbani.

Ukioa,utachagua chakula unachopenda, garama zitakuwa ndogo,utawekewa matunda na utaulizwa kama umeshiba au la,raha iliyoje?

MSAIDIZI BORA KABISA WA MAISHA
Hapa kumbuka utapikiwa na kuoshewa vyombo,utafuliwa nguo zako vizuri,utashauriwa nguo ya kuvaa,utatizamwa kama umependeza,utafarijiwa ukiwa na mawazo,umechoka,unaumwa n.k

Changamoto za ndoa zipo lakini haziondoi hizo faida. Zoote hizo ni faida je una nyingine ujazie? Au kama bado hujaoa Ukiwa kijana ni kipi kinachokufanya usioe?

Karibuni.
Kikubwa uwe umepatia kwenye kuchagua mwenza wako au hizo faida ulizozitaja utazisoma kwenye vitabu tu. Watu wengi walikua wana progress vizuri walipokua mabachela, baada ya kuoa dreams zao zikakoma siku ya harusi
Ukipatia kuoa mbingu unaianzia hapa hapa duniani.
 
Kikubwa uwe umepatia kwenye kuchagua mwenza wako au hizo faida ulizozitaja utazisoma kwenye vitabu tu. Watu wengi walikua wana progress vizuri walipokua mabachela, baada ya kuoa dreams zao zikakoma siku ya harusi
Ukipatia kuoa mbingu unaianzia hapa hapa duniani.
Kweli kabisa
 
Wewe Jombaa unaonekana unajielewa sana. Safi sana keep it up!

Marriage is an expense to a man. Kama wewe una kipato kidogo halafu uoe utafilisika zaidi. Kama wewe ni tajiri halafu uoe, lakini usiongeze kipato, uta-downgrade lifestyle to accommodate the additional expenses.

From a financial standpoint, marriage is only beneficial to women because they share the man's resources. It doesn't work the other way though i.e women don't share resources with men - they leave. (filisika ujue tabia ya mkeo)

Remember that women only marry up. So, from the first day of a relationship, the woman reaps financial dividends right away. Women can escape poverty through marriage but men can't. (Ni rahisi CEO mwanaume kuoa binti mpika bagia Singida ila sio rahisi CEO mwanamke kuolewa na mwanaume mlina asali Tabora)
Sawa kabisa...huwa natafakari hizi mambo halaf sielewi...ngoja nizeekezeeke kwanza labda ntaelewa
 
1. Matumizi bora ya fedha.. Labda kama haumhudumii mke wako. Mwanaume ww ndio provider. Kabla haujaoa unajihudumia ww. Ukioa. Unahudumia wawili na watoto wakija.

2. Muda wako wa ziada ukiwa single.. Unautumia kwa mradi wowote kwa ndoto zako. Ukishaoa.. watu wengi ndoto zinakufa sababu sasa inabidi arudi home muda maalumu.. hana uhuru wa muda wake tena..

3. Ulinzi na usalama wa afya. Watu waliooa ni rahisi sana kupata magonjwa ya ngono sababu wanaaminiana. Nina mifano mingi ya mume kamletea mke. Au mke kamletea mume VVU. Ukiwa single.. unakaa kimachale muda wote na haumwamini mtu. NA WATU WALIOOA NA KUOLEWA WANACHEPUKA SANA. Sasa sijui ww unaongelea ndoa gani.. ila sio za hapa Tz. Kuchepuka ni kawaida sana.

4. Mlo bora. WaDada wengi wa leo hata kupika hawajui.

5. Msaidizi.. Binafsi nina wafanyakazi WENGI TU. Na hao wananisaidia kazi zangu za biashara, nyumbani nk. Nawalipa vizuri, na wanafanya kazi vizuri. Sasa ww utapata msaidizi mmoja na tena kama ni MVIVU ndio imekula kwako na hauwezi kumwachisha kazi na Mahari Ulishatoa. Mimi wasaidizi wangu kama ni mvivu au hana uaminifu wa kazi, anapata pink slip.
Haya uliyosema hapa ni sawa na kuwambia watu waendele kunywa bia na wasinunue mabati kwa ajili kujenga kwakua yanaweza kuwakata.
 
Kama mtu wa ovyo ni mtu ambaye Nina Maisha Mazuri sana ya furaha YASIYO NA STRESS.. AMBAPO watu wengi waliooa ninaowafahamu wao wamejaa stress za ndoa na wanakuja kwangu kwa msaada na ushauri wakati mimi hata kuoa sijaoa.. NAKUBALI KABISA KUWA MTU WA OVYO. Nina maisha mazuri mazuri sana. Mmekaririshwa kwamba ni lazima muoe. Mwisho mnalia tu. Na hio jamii iliyowashinikiza muoe MKIPATA SHIDA .. Hamuoni mtu yeyote wa kuwasaidia.. mnakuja kusumbua watu kama sisi tuwasaidie.. Ila kumbe chanzo cha maisha ya furaha ni kutosikiliza watu bali kusimamia furaha yako
Bado hujakomaa sawasawa km bado unadhani wewe una maisha mazuri kwa vile eti hujaoa.
 
1.Gharama za kumtunza mkeo na mtoto plus na ndugu zake nyumban kwao vizinga ving...

Gharama zote hzo ukizijumlisha ni mara 10 zaidi ya ukiwa bachela

2.ishu ya magonjwa ..ukiwa singo unatumia sana kinga ila ukioa hutumii kinga kwahyo maisha yako ya afya yanategemea 100% akili ya mwenza wako..akiwa hana akil anakuletea magonjwa in a second.

Hayo mengne kuya control inawezekana ukiamua

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uoga we we
 
1. Matumizi bora ya fedha.. Labda kama haumhudumii mke wako. Mwanaume ww ndio provider. Kabla haujaoa unajihudumia ww. Ukioa. Unahudumia wawili na watoto wakija.

2. Muda wako wa ziada ukiwa single.. Unautumia kwa mradi wowote kwa ndoto zako. Ukishaoa.. watu wengi ndoto zinakufa sababu sasa inabidi arudi home muda maalumu.. hana uhuru wa muda wake tena..

3. Ulinzi na usalama wa afya. Watu waliooa ni rahisi sana kupata magonjwa ya ngono sababu wanaaminiana. Nina mifano mingi ya mume kamletea mke. Au mke kamletea mume VVU. Ukiwa single.. unakaa kimachale muda wote na haumwamini mtu. NA WATU WALIOOA NA KUOLEWA WANACHEPUKA SANA. Sasa sijui ww unaongelea ndoa gani.. ila sio za hapa Tz. Kuchepuka ni kawaida sana.

4. Mlo bora. WaDada wengi wa leo hata kupika hawajui.

5. Msaidizi.. Binafsi nina wafanyakazi WENGI TU. Na hao wananisaidia kazi zangu za biashara, nyumbani nk. Nawalipa vizuri, na wanafanya kazi vizuri. Sasa ww utapata msaidizi mmoja na tena kama ni MVIVU ndio imekula kwako na hauwezi kumwachisha kazi na Mahari Ulishatoa. Mimi wasaidizi wangu kama ni mvivu au hana uaminifu wa kazi, anapata pink slip.
Dahh we jmaaa
 
Ndoa ni nzuri tena ni nzuri, nasema hivyo kama shuhuda kwa miaka 6 sasa.
Lakini katika ndoa kuna changamoto nyingi mno mno ambazo kitu pekee kitakachoweza kufanya hiyo ndoa iendelee ni busara na uvumilivu.

Wakati ule sijaoa nilisema wazi kabisa nimekwisha kuvuka viunzi vingi kwenye maisha,badala yake nimekuja kukutana na milima mirefu mno ambayo nisingependa kuiandikia hapa.

Hapo mwanzo nilijua labda ni mimi peke yangu ndio napitia haya labda ni bahati mbaya yangu tu, lakini kumbe ni kilio cha kila alieko kwenye ndoa.

Ukikutana na wenye kua ndoa 10 basi kama sio tisa basi nane wanalia.

Na bahati mbaya nyingine sisi wengine tuko kwenye kifungo cha mke mmoja ndio hakuna rangi ambayo hatuachi kuiona.

Kwa hiyo hakuna furaha ya moja kwa moja ndugu zangu kwenye ndoa msidanganywe, kitu pekee unachotakiwa kuwa nacho kwenye ndoa ni uvumilivu, tena uvumilivu haswa.pia busara na akili kubwa ya kuweza kuishi na mwenzako jamii ukiwaona mnacheka lakini mna kuumia kwa namna moja ama nyingine mioyoni.

Furaha pekee inayoweza kupatikana kwenye ndoa ni watoto, na asante Mungu kwa hilo maana isingekuwa hivyo sijui ingekuwaje.

Huu ni mtazamo wangu kulingana na uzoefu wangu huo mdogo, inaweza kuwa kinyume chake kwa wengine.
 
Pamoja na uwepo wa utitiri wa ndoa sasa lakini bado katika ulimwengu wa sasa kuna vijana wanaogopa kuoa.

Kwanza kijana acha uoga kila kijana akiamua anaweza kuoa na kumudu familia hata kama ana kipato kidogo tu. Nina miaka miwili ndani ya ndoa na hizi ni faida nilizopata.

MATUMIZI BORA YA FEDHA.
Kabla sijaoa ni rahisi sana kutumia pesa bila mpangilio mzuri, unaweza kwenda baa ukagawa 🍻 na ofa mbalimbali,kula kula hovyo sababu nyumbani hakuna chakula lakini ukiwa na mke huwezi kufanya mbele yake hata kidogo.

Unaweza kutumia pesa nyingi bila hofu sababu uko na washkaji,ukioa lazma kwanza uwaze familia kwanza ndio marafiki wafuate.

KUSAVE MUDA WAKO WA ZIADA
Kabla hujaoa unaweza ukawa ni mtu wa kujichanganya popote bila ratiba na mwaliko,hutojali sehemu ya kulala au utakapoamkia,lakini ukioa ni lazma ulale nyumbani tu.

ULINZI NA USALAMA WA AFYA YAKO
Hapa kabla hujaoa ulikuwa na tabia labda ya kuruka ruka(kudanga) au kufanya ngono zembe. Hapa kuna hatarisha afya yako kutokana na magonjwa ya zinaa,kulea mimba bandia au mimba zisizotarajiwa.

Ukishaoa kama utamweshimu mwenzio badi yote hayo hutopata, utakuwa unafaidika na mwenzi wako mida wowote na kwa usalama zaidi.

MLO BORA NA MZURI KWA AFYA
Ukiwa bachela unaweza kula vyakula vya hovyo hovyo na hata kama utakula hotelini basi utakula chakula kilichopo na pia gharama itakuwa ni kubwa kuliko ungekula nyumbani.

Ukioa,utachagua chakula unachopenda, garama zitakuwa ndogo,utawekewa matunda na utaulizwa kama umeshiba au la,raha iliyoje?

MSAIDIZI BORA KABISA WA MAISHA
Hapa kumbuka utapikiwa na kuoshewa vyombo,utafuliwa nguo zako vizuri,utashauriwa nguo ya kuvaa,utatizamwa kama umependeza,utafarijiwa ukiwa na mawazo,umechoka,unaumwa n.k

Changamoto za ndoa zipo lakini haziondoi hizo faida. Zoote hizo ni faida je una nyingine ujazie? Au kama bado hujaoa Ukiwa kijana ni kipi kinachokufanya usioe?

Karibuni.
Watoto , kuheshimika katika jamii
 
Bandiko zuri kweli ....Kura 2 tu dah

Yule Liverpool keshawadanganya maskini...
 
Wewe Jombaa unaonekana unajielewa sana. Safi sana keep it up!

Marriage is an expense to a man. Kama wewe una kipato kidogo halafu uoe utafilisika zaidi. Kama wewe ni tajiri halafu uoe, lakini usiongeze kipato, uta-downgrade lifestyle to accommodate the additional expenses.

From a financial standpoint, marriage is only beneficial to women because they share the man's resources. It doesn't work the other way though i.e women don't share resources with men - they leave. (filisika ujue tabia ya mkeo)

Remember that women only marry up. So, from the first day of a relationship, the woman reaps financial dividends right away. Women can escape poverty through marriage but men can't. (Ni rahisi CEO mwanaume kuoa binti mpika bagia Singida ila sio rahisi CEO mwanamke kuolewa na mwanaume mlina asali Tabora)
Kuna watu mnajua Sana,dahh mbaandika ukweli unaouma Sana,the naked truth, lakini SASA mkuu,ndio tusioe kabisa kabisa yaani tuzeeeke tukiwa mabachelor au,tuchase Kwanza dreams zetu , after awhile ndio tuoe huku tukijua fika ukweliculioundika hapo juu!?
 
Sawa kabisa...huwa natafakari hizi mambo halaf sielewi...ngoja nizeekezeeke kwanza labda ntaelewa
Kabisa mkuu,ngoja nikuekue Kwanza huenda nikawa miongoni mwa kuishi kwingi kuona mengi
 
Hapa kila mtu anavutia kwake kulingana na faida anazopata

kila upande una faida na hasara zake

ngoja nibaki neutral nisome comments
 
Back
Top Bottom