Ukipata dereva mzuri ambaye anaheshimu kazi na gari pia itakuwa nzuri sana,,,Pia biashara sio nzuri sana sababu unashindana na mtu ambaye anapiga hesabu za mafuta tu basi,,,mfano kutoka Moshi to Dar ,nauli nauli ata charge 18k kwahyo ni hasara kwako utakosa wateja
2 ukianza hii biashara fitina lazima upige Lazima yani kwahyo jipange
3 Faida kwa mwezi 10000000
4 ukiweza kukwepa kupata ajali kama kilimanjaro ya moshi to Dar utapata wateja wakudumu kama Juma nature alivyo na mashabiki wakudumu
Zangu dua ufanikiwe mwamba