Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi

Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi

Kwa mtizamo wangu, ukioa mke kwa mtizamo kuwa aje akusaidie a.k.a kusaidiana, unakuwa ushaanza kwa mguu wa kushoto. Ni suala la mda tu utalia kimanga.

Unatakiwa kuoa mwanamke kwa jicho la wewe kumsaidia yeye. Ukiwa na mtizamo wa namna hiyo ni ngumu kuwa disappointed.

Kwa mantiki hiyo, kabla ya kuoa, unapaswa ujiulize, unayemuoa anahitaji msaada wako? Anahitaji aina ya msaada unaotaka kumpa? Kama jibu ndio oa, kama sio, wewe unachotakiwa ni kummzabzab kisha pita. Huyo sio wako, waachie wengine. Kumbuka hupaswi kulazimishia kumpa mtu huduma kama mwenyewe haoneshi kuihitaji ( haijalishi uzuri wa huduma yako)

Kwa ujumla dhana ya mwanaume kufikiria kusaidiwa na mwanamke kuanzia mwanzo ni mtego wa hatari sana. Kwa bahati mbaya zaidi ni kwamba kwa sasa wanawake wanakuwa na nguvu za kiuchumi na kimamlaka kuliko wanaume na hivyo taasisi ya ndoa kuwa miguu juu kifo cha mende. In the future, wanaume wanaweza kuolewa na wanawake. Kwa lugha nyingine wanawake kushika nafasi ya wanaume na wanaume kushika nafasi za wanawake kwenye familia na maisha kwa ujumla. Kwa bahati mbaya zaidi hatuna la kufanya kuzuia hii kutokea.

Kwa mfano zamani hata ukiongea na mwanamke alikuwa na aibu anaangalia chini, siku hizi anakutolea macho hadi wewe ndio unaona aibu.

In the future, wanawake wasomi watatongoza wanaume na wanaume wataanza kuringa ringa kama wanawake wa zamani.

Basi utakuta mwamba anatupiwa mistari na mwanadada, huku mwamba kainamia chini anachimba kashimo kwa miguu. Dunia ngumu sana hii ndugu zangu.
Uko sahihi 💯 kwanza tujitambue nafasi yetu sisi wanaume kuhudumia hamna kingine mm dini yangu ya kiislamu nimeona majukumu mengi sana kama mume nikioa kwa mke kumuhudumia ngua, malazi mpaka mavazi

Ukikubalu tu mke awe na kipato umeumia akiwa na kipato labda angalau kitokane na wewe mfano umemfungulia biashara
 
Ngoja niwape real story about my marriage....japokuwa sii ndoa kbs ya kufunga harusi ila NI tunaishi Zaid ya mwaka Sasa...Mimi nimeajiriwa fresh kbs na huyu shemeji/wifi yenu NI kwamba hajasoma hajamaliza la Saba ila NI mvumilivu Sana na ananitii Sana hana mambo mengi just imagine haniombi pesa yoyote kikubwa ninunue chakula,mavazi na kulipa bills...


Nimekubali TU nitoe huduma japo natamani kweli nimfundishe baadhi ya current issues ili ajie ile knowledge general...ili baadae Mungu akinibariki naye nimfungulie biashara ujasirimali...kinachonishangaza me NI mlevi sometimes nalewa narudi akinikera kidogo au kiburi kdg bas anakula makofi ya kufa mtu kesho najutia Ila hataki kutoka kesho yanaisha na mapenzi Kama yote...


At the same time wazazi wangu wa kike mashangazi etc wamesoma Sana na Bado ndoa zao nahisi ziko vzr japo siwezi kujua Siri za ndani ila hawajaachwa.
[emoji106]
Kaka yote yanawezekana ila kumuhudumia mwanamke ndo heshima yetu sisi maana mapenzi ya ndoa huisha ndani ya mwaka au mwaka na nusu kuliko baki ni heshima tu si ushawai sikia mty baada ya kufilisiwa kakimbiwa na mke ndo hayo mambo kuhudumia muhimu hata mke awe vip
 
Umesahau kuhusu

1. tendo la ndoa:
wanawake wasomi wagumu kutoa ushirikiano kwenye tendo na ni wavivu kitandani kwa madai kuwa wako buzy na majukumu ya ofisi.

2.Kugongewa mkeo:
Kwenye trip za ofisi mikoani na wafanyakazi wengine, unakuta trip ni ya 3 weeks au zaidi,
Hapa kuna hatohati mkeo KULIWA KIMASIHARA.

Zingine maboss wanakuja kuchangia

Sent from my SM-M307F using JamiiForums mobile app
Hili la kugongewa wala usiseme kabisa,kuna kipindi Fulani nilikuwa morogoro na wafanyakazi WA serikali walienda ktk Yale mashindano Yao ya michezo,wkt nipo restaurant napata chakula,pembeni walikuwa wadada wawili wanamsema mwenzao ambae ndoa yake mpya,inaonekana Yule dada hakuwa tayar kufanya uzinzi na hasa ukichukulia kaolewa hivi karibuni Tu,wakasema muache anajifanya anaendekeza ndoa,kwasababu ni mpya Tu lkn baadae mwenyewe atajichanganya,so hapo unaona kuwa wanapokuwa mbali na familia zao wanagongeka Tu kama kawa
 
Ngoja niwape real story about my marriage....japokuwa sii ndoa kbs ya kufunga harusi ila NI tunaishi Zaid ya mwaka Sasa...Mimi nimeajiriwa fresh kbs na huyu shemeji/wifi yenu NI kwamba hajasoma hajamaliza la Saba ila NI mvumilivu Sana na ananitii Sana hana mambo mengi just imagine haniombi pesa yoyote kikubwa ninunue chakula,mavazi na kulipa bills...


Nimekubali TU nitoe huduma japo natamani kweli nimfundishe baadhi ya current issues ili ajie ile knowledge general...ili baadae Mungu akinibariki naye nimfungulie biashara ujasirimali...kinachonishangaza me NI mlevi sometimes nalewa narudi akinikera kidogo au kiburi kdg bas anakula makofi ya kufa mtu kesho najutia Ila hataki kutoka kesho yanaisha na mapenzi Kama yote...


At the same time wazazi wangu wa kike mashangazi etc wamesoma Sana na Bado ndoa zao nahisi ziko vzr japo siwezi kujua Siri za ndani ila hawajaachwa.
[emoji106]
Hilo la kumpiga Kaka unafeli Sana,ebu Acha hiyo tabia
 
Sawa mkuu ila umeongea bonge la point. Kwa hawa wanawake wa sasa ukitaka kuoa uingie ukijua wao wanakuja kuchukua tuu na sio kutoa, which in essence defeats the purpose ya marriage. Hence why, ni bora tugegegduane tuu lah sivyo ukiingia na mentality ya kusaidiana utampoga mtu risasi saba bure.
Halafu sasa mtaalam mzabzab , huyo anayeoa mwanamke ili wasaidiane, unaweza ukute huyo mke hatoi hela. Kwa hiyo jamaa anatoa hela kuendesha familia, mwanamke za kwake ana save. 5 years later, mwanamke ana saving ya 300m mwanaume ana saving "zero" .

Mwisho mwanaume anaanza kupoteza confidence, anaanza kufokewa ndani ya nyumba, Anapoteza nguvu za kiume. Anazidi kupelekwa mpela mpela. Anajifanya ameanza kuipenda yanga, vile vile anampenda mayele ilimradi tu achelewe kurudi nyumbani akirudi mke kalala. Hahahahahah

Swali, je hao wenye elimu, pesa,vyeo na.k wasiolewe? Nadhani suala hili litachambuliwa zaidi na wasomi a.k.a scholars ila kwa sisi wananchi wa kawaida tunachotaka ni katiba mpya hehehehe.
 
Halafu sasa mtaalam mzabzab , huyo anayeoa mwanamke ili wasaidiane, unaweza ukute huyo mke hatoi hela. Kwa hiyo jamaa anatoa hela kuendesha familia, mwanamke za kwake ana save. 5 years later, mwanamke ana saving ya 300m mwanaume ana saving "zero" .

Mwisho mwanaume anaanza kupoteza confidence, anaanza kufokewa ndani ya nyumba, Anapoteza nguvu za kiume. Anazidi kupelekwa mpela mpela. Anajifanya ameanza kuipenda yanga, vile vile anampenda mayele ilimradi tu achelewe kurudi nyumbani akirudi mke kalala. Hahahahahah

Swali, je hao wenye elimu, pesa,vyeo na.k wasiolewe? Nadhani suala hili litachambuliwa zaidi na wasomi a.k.a scholars ila kwa sisi wananchi wa kawaida tunachotaka ni katiba mpya hehehehe.
Alafu jana mayele kashindwa tetema bwana...dah.
Anyways kwa kweli kuoa mwanamke mwenye kazi na hajitambui ni shidaaaa. Bora tuu tuoe hawa form four B.
 
Basi tena kashanikosa na change gear angani simuoi kumbavu mwache abaki na li masters lake maana nilitaka nimuoe nimfanyie connection ya maana aingie kazini imeisha iyoooo. And No more [emoji135]
 
Mada yako iko vizuri mkuu, ingawa hii nadharia ina apply mwanzoni wa mahusiano/ndoa yenu.. mwanamke asiye msomi atagain experience ya uhanarakati overtime... at the end of the day naye atakuwa sumu kama msomi vilevile... changa tu karatazako vizuri.
 
Basi tena kashanikosa na change gear angani simuoi kumbavu mwache abaki na li masters lake maana nilitaka nimuoe nimfanyie connection ya maana aingie kazini imeisha iyoooo. And No more [emoji135]
Nimemhurumia,mpe tu japo hiyo connection afu umwache aende zake!
 
Mada yako iko vizuri mkuu, ingawa hii nadharia ina apply mwanzoni wa mahusiano/ndoa yenu.. mwanamke asiye msomi atagain experience ya uhanarakati overtime... at the end of the day naye atakuwa sumu kama msomi vilevile... changa tu karatazako vizuri.
Ndio maana nimewaka faida na hasara.Kila mtu na vipaombele vyake. Kimfaacho mtu chake.
 
Halafu sasa mtaalam mzabzab , huyo anayeoa mwanamke ili wasaidiane, unaweza ukute huyo mke hatoi hela. Kwa hiyo jamaa anatoa hela kuendesha familia, mwanamke za kwake ana save. 5 years later, mwanamke ana saving ya 300m mwanaume ana saving "zero" .

Mwisho mwanaume anaanza kupoteza confidence, anaanza kufokewa ndani ya nyumba, Anapoteza nguvu za kiume. Anazidi kupelekwa mpela mpela. Anajifanya ameanza kuipenda yanga, vile vile anampenda mayele ilimradi tu achelewe kurudi nyumbani akirudi mke kalala. Hahahahahah

Swali, je hao wenye elimu, pesa,vyeo na.k wasiolewe? Nadhani suala hili litachambuliwa zaidi na wasomi a.k.a scholars ila kwa sisi wananchi wa kawaida tunachotaka ni katiba mpya hehehehe.
Hii ya saving ni jambo la kweli aiseee mwanamke uishi nae kwa akilii lasivyo atakuona falaaa atasahau kama wew hela yako yote ulikuw unatoa kuhudumia familia ndo maana ni Vizuri hela ya mwanaume ndo ifanye mambo ya maendeleo alafu ya mwanamke ilishe familiaaa....
 
Ngoja niwape real story about my marriage....japokuwa sii ndoa kbs ya kufunga harusi ila NI tunaishi Zaid ya mwaka Sasa...Mimi nimeajiriwa fresh kbs na huyu shemeji/wifi yenu NI kwamba hajasoma hajamaliza la Saba ila NI mvumilivu Sana na ananitii Sana hana mambo mengi just imagine haniombi pesa yoyote kikubwa ninunue chakula,mavazi na kulipa bills...


Nimekubali TU nitoe huduma japo natamani kweli nimfundishe baadhi ya current issues ili ajie ile knowledge general...ili baadae Mungu akinibariki naye nimfungulie biashara ujasirimali...kinachonishangaza me NI mlevi sometimes nalewa narudi akinikera kidogo au kiburi kdg bas anakula makofi ya kufa mtu kesho najutia Ila hataki kutoka kesho yanaisha na mapenzi Kama yote...


At the same time wazazi wangu wa kike mashangazi etc wamesoma Sana na Bado ndoa zao nahisi ziko vzr japo siwezi kujua Siri za ndani ila hawajaachwa.
[emoji106]
Kiufupi

Acha tabia za kumpiga

Acha ulevi usio na sababu ya msingi kunywa kistaarabu

Mtafutie kibiashara na yeye afanye dunia ya sasa sio kama ya zamani kuna kukwama asiwe golikipa ( hapa sasa ndio kipimo cha tabia yake halisi akishika pesa maana huwezi jua hapo kwako kajifichia shida)


Kuhusu hilo la mwisho kitanda usichokilalia hujui kunguni wake

Na haya mambo hayanaga formula bwana john
 
Hii ya saving ni jambo la kweli aiseee mwanamke uishi nae kwa akilii lasivyo atakuona falaaa atasahau kama wew hela yako yote ulikuw unatoa kuhudumia familia ndo maana ni Vizuri hela ya mwanaume ndo ifanye mambo ya maendeleo alafu ya mwanamke ilishe familiaaa....
Na akianza kulisha mfano tu anunue hata gunia la mchele kukusaidia jua tu ataanza kukudharau

Kiufupi uwe makini kwenye machaguzi kama una mpango wa kuoa epuka mwanamke mchoyo

Na oa mwanamke anayekupenda sio wewe unaempenda
 
Back
Top Bottom