Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi

Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi

Hivi ushauri ushatolewa eehhh!! Ngoja nisome koments zote!
 
Hivi kuna wanawake wanaochangia hela katika uendeshaji wa familia? wangu hata kibiriti ca 100 kikiisha napigiwa simu, SIjawahi kuona hela yake zaidi ya kuona akiwapa ndugu zake na kuchangia michango ya harusi za marafiki.
Haya nayo makubwa. Ndio wanawake wasiojielewa hawa
 
Ni ndoto za wanaume wengi kuoa mwanamke mrembo na mwenye kipato ili wasaidiane kutengeneza familia bora ikiwa ni pamoja na kujenga nyumba nzuri, kusomesha watoto kwenye shule bora n.k [/B][/URL]

Hebu tengua Hii kauli,
Sema Ni "ndoto yangu" sio ndoto ya Wanaume wengi.

Binafsi sijawahi kuota upuuz Kama huo
 
Oa mke yule unayemweza kumuhandle uliyemzoea . Sio kazi inambadilisha mke ni wewe unambadilisha mkeo aweke ukuta kwako.

Unaoa mtu unaye mwona anakufaa nyie mnaoa wanawake wanaowasaidia na ningumu kuwaheshimu .
Mwanaume huwa anapaswa kutunza familia yake sio kutunziwa ila siku hizi nyie mnataka muheshimiwe na mnatunziwa familia.

Wazazi wetu walikuqa fair na squre hutunzi familia unaheshimu mke na mke anakuheshimu
Sahii kabisa[emoji106]
 
Aisee, Kuoa mwisho form 4 .afu mfungulie biashara kubwa tu

Jifanye unataka msomi, akienda fieldwork analiwa kimasihara.
kazini huko ni full kutoana out
 
Ni ndoto za wanaume wengi kuoa mwanamke mrembo na mwenye kipato ili wasaidiane kutengeneza familia bora ikiwa ni pamoja na kujenga nyumba nzuri, kusomesha watoto kwenye shule bora n.k Hapo ndipo baadhi ya vijana hufikiria kuoa wanawake wasomi wenzao wenye kazi nzuri. Lakini kabla ya kufikiria kuoa mke msomi na mwajiriwa( hasa serikalini) ni vema ukajua faida na hasara zake.

Tukianza na faida
1. Mke mwajiriwa atakusaidia kuongeza kipato kwa maendeleo ya familia.
2. Pindi hali yako ya kiuchumi ikienda vibaya, familia inaweza isiyumbe na kama itayumba basi ni kidogo.
3. Kazi/cheo cha mkeo kinaweza kuleta heshima fulani ndani ya familia.

Hasara zake:-
1. Kuna baadhi ya wanawake akichangia hela yake kununua kitu mfano kiwanja usishangae siku mkikosana akakudhalilisha kwamba kiwanja kanunua yeye au nyumba kajenga yeye.

2. Wanawake waliosoma na wenye kazi wengi wao (SI WOTE ) huwa si watiifu kwa waume zao hasa ikitokea kipato chake ni kikubwa kuliko mme.

3. Jiandae na mivutano ya haki sawa. Kuna baadhi ya wanawake wasomi huigeuza ndoa kuwa sehemu ya kufanya uanaharakati. Hali hii inaweza kuibua mivutano ya mara kwa mara.

4. Ndoa kuongozwa na vichwa 2. Maandiko yanasema, "Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe" Efeso 5:23.

Kuna baadhi wanawake wakishasoma na kuwa na ajira nzuri hujipa mamlaka ndani ya nyumba. Badala ya mume kuwa sauti ya mwisho kimaamuzi atataka yeye awe msemaji wa mwisho. "In nature"wanaume hatuko tayari kutawaliwa na mwanamke hapo inaweza kuwa chanzo cha ndoa yenu kusambaratika.

5. Ndugu wa mke kukudharau/ kutokupa heshima unayostahili hasa km familia yao ni ya kishua na wasomi.Hebu fikiria mkeo ni mkuu wa kitengo muhimu aafu wewe Mwalimu wa shule ya msingi( mfano tu), Usishangae kwa baadhi ya matukio ukawa wa mwisho kupewa taarifa. Tena usiombe iwe familia ya Kihaya( kidding).

6. Watoto wakigundua mama yao ana pesa nyingi kuliko baba heshima yao kwako inaweza shuka na usishangae kuona shida zao nyingi wanamalizana na mama yao. Hapa usipokuwa makini unaweza jikuta kama umetengwa ndani ya nyumba yako.

Kuna afande ni rafiki angu hiki kimemkuta, watoto hawana time nae kabisa.

7. Usitegemee neno pole na kazi au kupokewa mzigo utokapo kazini. Mwanamke mwenye kazi anajiona hata yeye ni mtafutaji. Hivyo anaweza asione sababu ya kukupokea kwani hata yeye katoka kutafuta huo mkate.

8. Kuna wakati "Stress"za kazini anaweza kuzihamishia nyumbani. Hapo ndo hatari maana anaweza kukosa hata hamu ya kukupa unyumba.

9.Kuleta ubosi kitandani. Wanawake wengi wenye kazi na mabosi hujisahau na kuleta ubosi wao hadi nyumbani. Hivyo mkiwa faragha usishangae kauli za kibabe na wengi wao hawawezi kuwa romantic.

Haya ni baadhi tu ya mambo ambayo mengi nimejifunza kwa brother yangu aliyeoa Daktari mwenzake mwenye cheo kikubwa kuliko yeye na kwa baadhi ya wafanyakazi wenzangu.

NB: Niko tayari kurekebishwa.


Pia soma hoja hii ilivyojibiwa: Kamgomoli: Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo
Nimeishia kucheka Tu kwakweli mkuu
 
Umesahau kuhusu

1. tendo la ndoa:
wanawake wasomi wagumu kutoa ushirikiano kwenye tendo na ni wavivu kitandani kwa madai kuwa wako buzy na majukumu ya ofisi.

2.Kugongewa mkeo:
Kwenye trip za ofisi mikoani na wafanyakazi wengine, unakuta trip ni ya 3 weeks au zaidi,
Hapa kuna hatohati mkeo KULIWA KIMASIHARA.

Zingine maboss wanakuja kuchangia

Sent from my SM-M307F using JamiiForums mobile app
Kama mwanamke yupo busy na majukumu kwanini na wewe usiwe busy na majukumu ili kukuza kipato kuliko kufikiria kukata viono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo namba 2. Acha ushamba wa kizamani. Mkeo akisafiri kikazi mwambie aweke japo kondom tatu kwenye begi lake. Kwani akigongwa jamaa anaondoka nayo?
Kwanza wewe mwenyewe usithubutu kutuambia huchepuki. Cha msingi tu usijue.
Akiamua kugawa uroda hata house wife wanagawa Sana. Tena wanawapa watu wasio na heshma Kama vijana wa dukani, bodaboda, vijana wa ng'ombe etc.
Tusifikirie k muda wote. Kutoa uroda ni maamuzi hawezi kulazimishwa.
Kuna waliomgonga primary, sekondari, chuo mbona mashine umeikuta nzuri na ya kuvutia..
Daaahh,mkuu,ukweli mchungu Sana huu mkuu,inamaanisha tusiconcetrate na k Tu,tuwaze mambo mengine
 
Ni ndoto za wanaume wengi kuoa mwanamke mrembo na mwenye kipato ili wasaidiane kutengeneza familia bora ikiwa ni pamoja na kujenga nyumba nzuri, kusomesha watoto kwenye shule bora n.k Hapo ndipo baadhi ya vijana hufikiria kuoa wanawake wasomi wenzao wenye kazi nzuri. Lakini kabla ya kufikiria kuoa mke msomi na mwajiriwa( hasa serikalini) ni vema ukajua faida na hasara zake.

Tukianza na faida
1. Mke mwajiriwa atakusaidia kuongeza kipato kwa maendeleo ya familia.
2. Pindi hali yako ya kiuchumi ikienda vibaya, familia inaweza isiyumbe na kama itayumba basi ni kidogo.
3. Kazi/cheo cha mkeo kinaweza kuleta heshima fulani ndani ya familia.

Hasara zake:-
1. Kuna baadhi ya wanawake akichangia hela yake kununua kitu mfano kiwanja usishangae siku mkikosana akakudhalilisha kwamba kiwanja kanunua yeye au nyumba kajenga yeye.

2. Wanawake waliosoma na wenye kazi wengi wao (SI WOTE ) huwa si watiifu kwa waume zao hasa ikitokea kipato chake ni kikubwa kuliko mme.

3. Jiandae na mivutano ya haki sawa. Kuna baadhi ya wanawake wasomi huigeuza ndoa kuwa sehemu ya kufanya uanaharakati. Hali hii inaweza kuibua mivutano ya mara kwa mara.

4. Ndoa kuongozwa na vichwa 2. Maandiko yanasema, "Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe" Efeso 5:23.

Kuna baadhi wanawake wakishasoma na kuwa na ajira nzuri hujipa mamlaka ndani ya nyumba. Badala ya mume kuwa sauti ya mwisho kimaamuzi atataka yeye awe msemaji wa mwisho. "In nature"wanaume hatuko tayari kutawaliwa na mwanamke hapo inaweza kuwa chanzo cha ndoa yenu kusambaratika.

5. Ndugu wa mke kukudharau/ kutokupa heshima unayostahili hasa km familia yao ni ya kishua na wasomi.Hebu fikiria mkeo ni mkuu wa kitengo muhimu aafu wewe Mwalimu wa shule ya msingi( mfano tu), Usishangae kwa baadhi ya matukio ukawa wa mwisho kupewa taarifa. Tena usiombe iwe familia ya Kihaya( kidding).

6. Watoto wakigundua mama yao ana pesa nyingi kuliko baba heshima yao kwako inaweza shuka na usishangae kuona shida zao nyingi wanamalizana na mama yao. Hapa usipokuwa makini unaweza jikuta kama umetengwa ndani ya nyumba yako.

Kuna afande ni rafiki angu hiki kimemkuta, watoto hawana time nae kabisa.

7. Usitegemee neno pole na kazi au kupokewa mzigo utokapo kazini. Mwanamke mwenye kazi anajiona hata yeye ni mtafutaji. Hivyo anaweza asione sababu ya kukupokea kwani hata yeye katoka kutafuta huo mkate.

8. Kuna wakati "Stress"za kazini anaweza kuzihamishia nyumbani. Hapo ndo hatari maana anaweza kukosa hata hamu ya kukupa unyumba.

9.Kuleta ubosi kitandani. Wanawake wengi wenye kazi na mabosi hujisahau na kuleta ubosi wao hadi nyumbani. Hivyo mkiwa faragha usishangae kauli za kibabe na wengi wao hawawezi kuwa romantic.

Haya ni baadhi tu ya mambo ambayo mengi nimejifunza kwa brother yangu aliyeoa Daktari mwenzake mwenye cheo kikubwa kuliko yeye na kwa baadhi ya wafanyakazi wenzangu.

NB: Niko tayari kurekebishwa.


Pia soma hoja hii ilivyojibiwa: Kamgomoli: Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo
Kote huko ntamvumilia lakini kwenye namba 8 atakula makofi na vitu vyangu ntakula,hata kama huku tumenuna potelea mbali...
 
Kwa mtizamo wangu, ukioa mke kwa mtizamo kuwa aje akusaidie a.k.a kusaidiana, unakuwa ushaanza kwa mguu wa kushoto. Ni suala la mda tu utalia kimanga.

Unatakiwa kuoa mwanamke kwa jicho la wewe kumsaidia yeye. Ukiwa na mtizamo wa namna hiyo ni ngumu kuwa disappointed.

Kwa mantiki hiyo, kabla ya kuoa, unapaswa ujiulize, unayemuoa anahitaji msaada wako? Anahitaji aina ya msaada unaotaka kumpa? Kama jibu ndio oa, kama sio, wewe unachotakiwa ni kummzabzab kisha pita. Huyo sio wako, waachie wengine. Kumbuka hupaswi kulazimishia kumpa mtu huduma kama mwenyewe haoneshi kuihitaji ( haijalishi uzuri wa huduma yako)

Kwa ujumla dhana ya mwanaume kufikiria kusaidiwa na mwanamke kuanzia mwanzo ni mtego wa hatari sana. Kwa bahati mbaya zaidi ni kwamba kwa sasa wanawake wanakuwa na nguvu za kiuchumi na kimamlaka kuliko wanaume na hivyo taasisi ya ndoa kuwa miguu juu kifo cha mende. In the future, wanaume wanaweza kuolewa na wanawake. Kwa lugha nyingine wanawake kushika nafasi ya wanaume na wanaume kushika nafasi za wanawake kwenye familia na maisha kwa ujumla. Kwa bahati mbaya zaidi hatuna la kufanya kuzuia hii kutokea.

Kwa mfano zamani hata ukiongea na mwanamke alikuwa na aibu anaangalia chini, siku hizi anakutolea macho hadi wewe ndio unaona aibu.

In the future, wanawake wasomi watatongoza wanaume na wanaume wataanza kuringa ringa kama wanawake wa zamani.

Basi utakuta mwamba anatupiwa mistari na mwanadada, huku mwamba kainamia chini anachimba kashimo kwa miguu. Dunia ngumu sana hii ndugu zangu.
Umemaliza mkuu
 
Ni ndoto za wanaume wengi kuoa mwanamke mrembo na mwenye kipato ili wasaidiane kutengeneza familia bora ikiwa ni pamoja na kujenga nyumba nzuri, kusomesha watoto kwenye shule bora n.k Hapo ndipo baadhi ya vijana hufikiria kuoa wanawake wasomi wenzao wenye kazi nzuri. Lakini kabla ya kufikiria kuoa mke msomi na mwajiriwa( hasa serikalini) ni vema ukajua faida na hasara zake.

Tukianza na faida
1. Mke mwajiriwa atakusaidia kuongeza kipato kwa maendeleo ya familia.

2. Pili,km hali yako ya kiuchumi ikiyumba,familia inaweza isiathirike na kama itaathirika basi ni kidogo.

3. Kazi/cheo cha mkeo kinaweza kuleta heshima fulani ndani ya familia.
wana harakati za mwanamke wanasema "pesa ya mwanamke ni ya mwanamke".
 
Ni ndoto za wanaume wengi kuoa mwanamke mrembo na mwenye kipato ili wasaidiane kutengeneza familia bora ikiwa ni pamoja na kujenga nyumba nzuri, kusomesha watoto kwenye shule bora n.k Hapo ndipo baadhi ya vijana hufikiria kuoa wanawake wasomi wenzao wenye kazi nzuri. Lakini kabla ya kufikiria kuoa mke msomi na mwajiriwa( hasa serikalini) ni vema ukajua faida na hasara zake.

Tukianza na faida
1. Mke mwajiriwa atakusaidia kuongeza kipato kwa maendeleo ya familia.

2. Pili,km hali yako ya kiuchumi ikiyumba,familia inaweza isiathirike na kama itaathirika basi ni kidogo.

3. Kazi/cheo cha mkeo kinaweza kuleta heshima fulani ndani ya familia.

Hasara zake:-
1. Kuna baadhi ya wanawake akichangia hela yake kununua kitu mfano kiwanja usishangae siku mkikosana akakudhalilisha kwamba kiwanja kanunua yeye au nyumba kajenga yeye.

2. Wanawake waliosoma na wenye kazi wengi wao (SI WOTE ) huwa si watiifu kwa waume zao hasa ikitokea kipato chake ni kikubwa kuliko mme.

3. Jiandae na mivutano ya haki sawa. Kuna baadhi ya wanawake wasomi huigeuza ndoa kuwa sehemu ya kufanya uanaharakati. Hali hii inaweza kuibua mivutano ya mara kwa mara.

4. Ndoa kuongozwa na vichwa 2. Maandiko yanasema, "Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe" Efeso 5:23.

Kuna baadhi wanawake wakishasoma na kuwa na ajira nzuri hujipa mamlaka ndani ya nyumba. Badala ya mume kuwa sauti ya mwisho kimaamuzi atataka yeye awe msemaji wa mwisho. "In nature"wanaume hatuko tayari kutawaliwa na mwanamke hapo inaweza kuwa chanzo cha ndoa yenu kusambaratika.

5. Ndugu wa mke kukudharau/ kutokupa heshima unayostahili hasa km familia yao ni ya kishua na wasomi.Hebu fikiria mkeo ni mkuu wa kitengo muhimu aafu wewe Mwalimu wa shule ya msingi( mfano tu), Usishangae kwa baadhi ya matukio ukawa wa mwisho kupewa taarifa. Tena usiombe iwe familia ya Kihaya( kidding).

6. Watoto wakigundua mama yao ana pesa nyingi kuliko baba heshima yao kwako inaweza shuka na usishangae kuona shida zao nyingi wanamalizana na mama yao. Hapa usipokuwa makini unaweza jikuta kama umetengwa ndani ya nyumba yako.

Kuna afande ni rafiki angu hiki kimemkuta, watoto hawana time nae kabisa.

7. Usitegemee neno pole na kazi au kupokewa mzigo utokapo kazini. Mwanamke mwenye kazi anajiona hata yeye ni mtafutaji. Hivyo anaweza asione sababu ya kukupokea kwani hata yeye katoka kutafuta huo mkate.

8. Kuna wakati "Stress"za kazini anaweza kuzihamishia nyumbani. Hapo ndo hatari maana anaweza kukosa hata hamu ya kukupa unyumba.

9.Kuleta ubosi kitandani. Wanawake wengi wenye kazi na mabosi hujisahau na kuleta ubosi wao hadi nyumbani. Hivyo mkiwa faragha usishangae kauli za kibabe na wengi wao hawawezi kuwa romantic.

Haya ni baadhi tu ya mambo ambayo mengi nimejifunza kwa brother yangu aliyeoa Daktari mwenzake mwenye cheo kikubwa kuliko yeye na kwa baadhi ya wafanyakazi wenzangu.

NB: Niko tayari kurekebishwa.


Pia soma hoja hii ilivyojibiwa: Kamgomoli: Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Tumeshaambiwa tuishi nao kwa akili sasa unashidwaje kuishi kwa akili na hawa mama zetu? Mwanamke kuwa na pesa au kukuzidi elimu Sio kweli kwamba wengi wao ni watata......

Ila sisi wanaume tunapoteza kule kujiamini nakuhisi kila kitu kinacho tokea ni kwasababu ya elimu au pesa ya mwanamke!!!!!

Mwanamke ni mwanamke tu, tutimize wajibu wetu kwenye familia zetu, kuzarauliwa kwa mwanaume sababu utakuwa ni wewe mwenyewe nwanaume kama ambavyo hatupendi kuzidiwa kipato na kina dada basi wakituzidi ndo balaa linaanzia hapo unaona kama ukiwa mtata au mbabe itasaidia hapana” achana nae tafuta saizi yako

Kuna pisi kali hazijasoma wala hazina pesa zinasumbua wanaume uko ndani ile balaa Yani Kwa mfano ile pisi ya mwanza mpaka jamaa anaichapa risasi...... si jamaa alikuwa na pesa kuliko demu? Lakini mliona jinsi kazi ilivyosimama na mwisho wa siku pisi ikamuuwa adi jamaa kwakujipiga risasi.... Haya mambo hayapo ivyo, tuishi nao kwa akili na tuwe na mipaka ya mazoea
 
Peace,

Tangu wakiwa wadogo watoto wa kike wanajengwa na jamii kushindana na wanaume, mifumo yote inamtia jeuri mwanamke, harakati za haki sawa, madawati ya jinsia yote haya yanamjaza upepo mwanamke.

Hata mwanamke mwenye maadili anajikuta tu yumo katika mkumbo wa kujitunisha misuli dhidi ya wanaume.

Kuna kabinti kamoja kazuriii mwaka jana kalimaliza hapo UDSM kalikua kanapiga Public Relations nilikatafuna mara kadhaa siku moja katika story nikakauliza kwanini kanajuhudi sana katika masomo jibu lake lilikua " nataka kujikomboa mimi sitaki kuja kunyanyaswa na mwanaume" na mawazo hayo ndio wanayo wasichana wote "kujikomboa" yani wao kua na elimu na kijiajira ni ngao dhidi ya mwanaume.

Fanya utafiti wako uliza watoto wa kike wengi uwezavyo waulize kwanini wanasoma, HAKUNA ata mmoja atakaekwambia "nasoma ili kuja kumsaidia mume wangu" ooh ooh HAKUNA anaetaka wala anaewaza kumsaidia mume wake wanawaza "kujikomboa" na kwao kujikomboa ni kua na uhuru usio na mipaka, uhuru wa kufanya lolote bila kuulizwa maana anakipato chake.

Pesa ya mwanamke NI YAKE na kamwe hayuko tayari kuiwekeza kwa mwanaume, they are selfish enough to admit so na hata kama akisema ooh "tutasaidiana maisha bla bla blah" negitive, she just wants to keep you in that frame of thinking.

Pia ni ngumu sana kumridhisha mwanamke mwenye ajira kila utakalofanya hatakua na fadhila kwacho ataona haujafanya vya kutosha daima constantly demanding and pushing atakuona "mwanaume suruali" hata kama unajitahidi kutimiza majukumu yako kwa uaminifu.

Kuoa mwanamke mwenye ajira nikujitangazia vita ya amani ya nafsi yako, hata hayo maendeleo yatachelewa sana na hata yasije kabisaaa kutokana na mivutano. Niambie ni nani aliyetajirika kwa kuoa mwanamke mwenye ajira ili wasaidiane na wakatajirika ?!

Wanapiga mark time miaka nenda rudi. Nitajie wapi alikua anafanya kazi mke wa Mengi ?!, au wapi ameajiriwa mke wa Mo Dewji ?!, je mke wa Bakhresa ameajiriwa wapi ?! Bakhesa hajasaidiwa maisha na mwanamke alianzia chini na leo ni Billionare na mke yuko nyumbani, nyie mnaosaidiwa maisha na wake zenu mmefika wapi ?! Waswahili walisema panya wawili hawachimbi shimo, ni mivutano na kila mtu kujifanya mwenye maono sahihi.

Mwanamke hana sababu yoyote ya kukuheshimu kama anauwezo wa kujihudumia mwenyewe, atajifanya kukuheshimu kwa vipindi vifupi tu, ila ukweli KAMWE hawezi kukuheshimu.

Kuoa mwanamke mwenye ajira haitakusaidia lolote ila itakupatia ulingo murua wa mapambano, mivutano na minyukano. Niambie ni lini ulishaona mwanamke anatoa hela kumsaidia mwanaume ?! By default mwanamke hajaumbwa kutoa msaada na hata kusaidia kwa lolote zaidi sana hiyo ajira itamjaza kiburi na jeuri na atafanya uchafu mwingi kwa kujua hutamfanya lolote si "ana kiajira chake"
 
Peace,

Tangu wakiwa wadogo watoto wa kike wanajengwa na jamii kushindana na wanaume, mifumo yote inamtia jeuri mwanamke, harakati za haki sawa, madawati ya jinsia yote haya yanamjaza upepo mwanamke.

Hata mwanamke mwenye maadili anajikuta tu yumo katika mkumbo wa kujitunisha misuli dhidi ya wanaume.

Kuna kabinti kamoja kazuriii mwaka jana kalimaliza hapo UDSM kalikua kanapiga Public Rerations nilikatafuna mara kadhaa siku moja katika story nikakauliza kwanini kanajuhudi sana katika masomo jibu lake lilikua " nataka kujikomboa mimi sitaki kuja kunyanyaswa na mwanaume" na mawazo hayo ndio wanayo wasichana wote "kujikomboa" yani wao kua na elimu na kijiajira ni ngao dhidi ya mwanaume.

Fanya utafiti wako uliza watoto wa kike wengi uwezavyo waulize kwanini wanasoma, HAKUNA ata mmoja atakaekwambia "nasoma ili kuja kumsaidia mume wangu" ooh ooh HAKUNA anaetaka wala anaewaza kumsaidia mume wake wanawaza "kujikomboa" na kwao kujikomboa ni kua na uhuru usio na mipaka, uhuru wa kufanya lolote bila kuulizwa maana anakipato chake.

Pesa ya mwanamke NI YAKE na kamwe hayuko tayari kuiwekeza kwa mwanaume, they are selfish enough to admit so na hata kama akisema ooh "tutasaidiana maisha bla bla blah" negitive, she just wants to keep you in that frame of thinking.

Pia ni ngumu sana kumridhisha mwanamke mwenye ajira kila utakalofanya hatakua na fadhila kwacho ataona haujafanya vya kutosha daima constantly demanding and pushing atakuona "mwanaume suruali" hata kama unajitahidi kutimiza majukumu yako kwa uaminifu.

Kuoa mwanamke mwenye ajira nikujitangazia vita ya amani ya nafsi yako, hata hayo maendeleo yatachelewa sana na hata yasije kabisaaa kutokana na mivutano. Niambie ni nani aliyetajirika kwa kuoa mwanamke mwenye ajira ili wasaidiane na wakatajirika ?!

Wanapiga mark time miaka nenda rudi. Nitajie wapi alikua anafanya kazi mke wa Mengi ?!, au wapi ameajiriwa mke wa Mo Dewji ?!, je mke wa Bakhresa ameajiriwa wapi ?! Bakhesa hajasaidiwa maisha na mwanamke alianzia chini na leo ni Billionare na mke yuko nyumbani, nyie mnaosaidiwa maisha na wake zenu mmefika wapi ?! Waswahili walisema panya wawili hawachimbi shimo, ni mivutano na kila mtu kujifanya mwenye maono sahihi.

Mwanamke hana sababu yoyote ya kukuheshimu kama anauwezo wa kujihudumia mwenyewe, atajifanya kukuheshimu kwa vipindi vifupi tu, ila ukweli KAMWE hawezi kukuheshimu.

Kuoa mwanamke mwenye ajira haitakusaidia lolote ila itakupatia ulingo murua wa mapambano, mivutano na minyukano. Niambie ni lini ulishaona mwanamke anatoa hela kumsaidia mwanaume ?! By default mwanamke hajaumbwa kutoa msaada na hata kusaidia kwa lolote zaidi sana hiyo ajira itamjaza kiburi na jeuri na atafanya uchafu mwingi kwa kujua hutamfanya lolote si "ana kiajira chake"
Una mtoto wa kike?umezaa?najua hauna mtoto wa kike wala hujazaa but kama Mungu akijujalia mtoto wa kike umpeleke shule apate degree then awe Mama wa nyumbani basi utakuwa ni baba punguani tangia Dunia iumbwe
 
Tafuta hela timiza wajibu wako km Mwanaume. Piga shoo takatifu azae watoto hela zake achana nazo. Ipo siku atajiona ajajikomboa.[emoji4][emoji4]
 
Back
Top Bottom