hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Sio kwamba ana sahau , ana jua vizuri sana , but shida ni kwamba wanawake ndio viumbe vinavyo ongoza Kwa kuwa na rate kubwa ya ubinafsiHii ya saving ni jambo la kweli aiseee mwanamke uishi nae kwa akilii lasivyo atakuona falaaa atasahau kama wew hela yako yote ulikuw unatoa kuhudumia familia ndo maana ni Vizuri hela ya mwanaume ndo ifanye mambo ya maendeleo alafu ya mwanamke ilishe familiaaa....