Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi

Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi

Hii ya saving ni jambo la kweli aiseee mwanamke uishi nae kwa akilii lasivyo atakuona falaaa atasahau kama wew hela yako yote ulikuw unatoa kuhudumia familia ndo maana ni Vizuri hela ya mwanaume ndo ifanye mambo ya maendeleo alafu ya mwanamke ilishe familiaaa....
Sio kwamba ana sahau , ana jua vizuri sana , but shida ni kwamba wanawake ndio viumbe vinavyo ongoza Kwa kuwa na rate kubwa ya ubinafsi
 
Na akianza kulisha mfano tu anunue hata gunia la mchele kukusaidia jua tu ataanza kukudharau

Kiufupi uwe makini kwenye machaguzi kama una mpango wa kuoa epuka mwanamke mchoyo

Na oa mwanamke anayekupenda sio wewe unaempenda
Well said, para ya mwisho umesema sahihi kabisa
 
Kikubwa wote mkutane wacha Mungu. Mcha Mungu yeyote atajua ni ipi nafasi yake katika familia na ataitendea haki. Atakuwa tayari kusimama kwenye nafasi yake hiyo na kutekeleza majukumu yake. "Kichwa cha kila mwanamke ni mwanamume na kichwa cha mwanamume ni Kristo." 1WAKORINTHO 11:3


JESUS IS CHRIST!
 
Ni bahati tu kupata mke anayejitambua na akakuheshimu, kwasasa awe msomi au hajasoma sidhani kama nisababu ya wewe kuheshimu.
 
Ni ndoto za wanaume wengi kuoa mwanamke mrembo na mwenye kipato ili wasaidiane kutengeneza familia bora ikiwa ni pamoja na kujenga nyumba nzuri,kusomesha watoto kwenye shule bora n.k Hapo ndipo baadhi ya vijana hufikiria kuoa wanawake wasomi wenzao wenye kazi nzuri. Lakini kabla ya kufikiria kuoa mke msomi na mwajiriwa( hasa serikalini) ni vema ukajua faida na hasara zake.

Tukianza na faida
1. Mke mwajiriwa atakusaidia kuongeza kipato kwa maendeleo ya familia.
2. Pindi hali yako ya kiuchumi ikienda vibaya,familia inaweza isiyumbe na km itayumba basi ni kidogo.
3. Kazi/cheo cha mkeo kinaweza kuleta heshima fulani ndani ya familia.

Hasara zake:-
1. Kuna baadhi ya wanawake akichangia hela yake kununua kitu mfano kiwanja usishangae siku mkikosana akakudhalilisha kwamba kiwanja kanunua yeye,au nyumba kajenga yeye.

2. Wanawake waliosoma na wenye kazi wengi wao (SI WOTE ) huwa si watiifu kwa waume zao hasa ikitokea kipato chake ni kikubwa kuliko mme.

3. Jiandae na mivutano ya haki sawa. Kuna baadhi ya wanawake wasomi huigeuza ndoa kuwa sehemu ya kufanya uanaharakati. Hali hii inaweza kuibua mivutano ya mara kwa mara.

4. Ndoa kuongozwa na vichwa 2. Maandiko yanasema, "Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe" Efeso 5:23.

Kuna baadhi wanawake wakisha soma na kuwa na ajira nzuri hujipa mamlaka ndani ya nyumba. Baadala ya mume kuwa sauti ya mwisho kimaamuzi atataka yeye awe msemaji wa mwisho. "In nature"wanaume hatuko tayari kutawaliwa na mwanamke hapo inaweza kuwa chanzo cha ndoa yenu kusambaratika.

5. Ndugu wa mke kukudharau/ kutokupa heshima unayostahili hasa km familia yao ni ya kishua na wasomi.Hebu fikiria mkeo ni mkuu wa kitengo muhimu aafu wewe Mwalimu wa shule ya msingi( mfano tu), Usishangae kwa baadhi ya matukio ukawa wa mwisho kupewa taarifa. Tena usiombe iwe familia ya Kihaya( kidding).

6. Watoto wakigundua mama yao anapesa nyingi kuliko baba heshima yao kwako inaweza shuka na usishangae kuona shida zao nyingi wanamalizana na mama yao. Hapa usipokuwa makini unaweza jikuta km umetengwa ndani ya nyumba yako.
Kuna afande ni rafiki angu hiki kimemkuta,watoto hawana time nae kabisa.

7. Usitegemee neno pole na kazi au kupokewa mzigo utokapo kazini. Mwanamke mwenye kazi anajiona hata yeye ni mtafutaji. Hivyo anaweza asione sababu ya kukupokea kwani hata yeye katoka kutafta huo mkate.

8.Kuleta ubosi kitandani. Wanawake wengi wenye kazi na mabosi hujisahau na kuleta ubosi wao hadi nyumbani. Hivyo mkiwa faragha usishangae kauli za kibabe na wengi wao hawawezi kuwa romantic.

Haya ni baadhi tu ya mambo ambayo mengi nimejifunza kwa brother angu aliyeoa Daktari mwenzake mwenye cheo kikubwa kuliko yeye na kwa baadhi ya wafanyakazi wenzangu.

NB: Niko tayari kurekebishwa.
Naona hasara nyingi kuliko faida
 
Ni ndoto za wanaume wengi kuoa mwanamke mrembo na mwenye kipato ili wasaidiane kutengeneza familia bora ikiwa ni pamoja na kujenga nyumba nzuri,kusomesha watoto kwenye shule bora n.k Hapo ndipo baadhi ya vijana hufikiria kuoa wanawake wasomi wenzao wenye kazi nzuri. Lakini kabla ya kufikiria kuoa mke msomi na mwajiriwa( hasa serikalini) ni vema ukajua faida na hasara zake.

Tukianza na faida
1. Mke mwajiriwa atakusaidia kuongeza kipato kwa maendeleo ya familia.
2. Pindi hali yako ya kiuchumi ikienda vibaya,familia inaweza isiyumbe na km itayumba basi ni kidogo.
3. Kazi/cheo cha mkeo kinaweza kuleta heshima fulani ndani ya familia.

Hasara zake:-
1. Kuna baadhi ya wanawake akichangia hela yake kununua kitu mfano kiwanja usishangae siku mkikosana akakudhalilisha kwamba kiwanja kanunua yeye,au nyumba kajenga yeye.

2. Wanawake waliosoma na wenye kazi wengi wao (SI WOTE ) huwa si watiifu kwa waume zao hasa ikitokea kipato chake ni kikubwa kuliko mme.

3. Jiandae na mivutano ya haki sawa. Kuna baadhi ya wanawake wasomi huigeuza ndoa kuwa sehemu ya kufanya uanaharakati. Hali hii inaweza kuibua mivutano ya mara kwa mara.

4. Ndoa kuongozwa na vichwa 2. Maandiko yanasema, "Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe" Efeso 5:23.

Kuna baadhi wanawake wakisha soma na kuwa na ajira nzuri hujipa mamlaka ndani ya nyumba. Baadala ya mume kuwa sauti ya mwisho kimaamuzi atataka yeye awe msemaji wa mwisho. "In nature"wanaume hatuko tayari kutawaliwa na mwanamke hapo inaweza kuwa chanzo cha ndoa yenu kusambaratika.

5. Ndugu wa mke kukudharau/ kutokupa heshima unayostahili hasa km familia yao ni ya kishua na wasomi.Hebu fikiria mkeo ni mkuu wa kitengo muhimu aafu wewe Mwalimu wa shule ya msingi( mfano tu), Usishangae kwa baadhi ya matukio ukawa wa mwisho kupewa taarifa. Tena usiombe iwe familia ya Kihaya( kidding).

6. Watoto wakigundua mama yao anapesa nyingi kuliko baba heshima yao kwako inaweza shuka na usishangae kuona shida zao nyingi wanamalizana na mama yao. Hapa usipokuwa makini unaweza jikuta km umetengwa ndani ya nyumba yako.
Kuna afande ni rafiki angu hiki kimemkuta,watoto hawana time nae kabisa.

7. Usitegemee neno pole na kazi au kupokewa mzigo utokapo kazini. Mwanamke mwenye kazi anajiona hata yeye ni mtafutaji. Hivyo anaweza asione sababu ya kukupokea kwani hata yeye katoka kutafta huo mkate.

8.Kuleta ubosi kitandani. Wanawake wengi wenye kazi na mabosi hujisahau na kuleta ubosi wao hadi nyumbani. Hivyo mkiwa faragha usishangae kauli za kibabe na wengi wao hawawezi kuwa romantic.

Haya ni baadhi tu ya mambo ambayo mengi nimejifunza kwa brother angu aliyeoa Daktari mwenzake mwenye cheo kikubwa kuliko yeye na kwa baadhi ya wafanyakazi wenzangu.

NB: Niko tayari kurekebishwa.
Acheni woga nyie wanaume!!!!!
 
Kwa sasa wamenyoka! Hawana jeuri hiyo.
Kibaya tu ni mwanaume kukaa bila kazi,hata kama huna ajira jishughulishe.
 
Owa anae endana na wewe kitabia, kwa maana (tabia nzuri) na mwenye hofu ya Mungu. Wasomi kama wasomi wengi wao wanatabia mbaya, malaya, kiburi, kujiona anazo kichwani na kumpanda kichwani mmewe.


Tusiwasemee tuu wanawake, na wanamme vile vile wengi wao wanatabia mbovu, wanachepuka nje, wanawatesa wake zao, awana hofu na Mungu.
 
That’s it… maana wachangiaji wanaowaponda wanawake wasomi basi wasisomeshe mabinti zao ili falsafa zao za wanawake ambao hawajasoma ndo wake bora iendelee na kwa vizazi vyao
Eti kuna mtu anasema mtoto wa kike mwisho form 4 basi![emoji1]
 
Juz wa kwangu mtoto analia anataka maji ananiambia mpe mtoto maj m nimechoka...dah usiku ule stimu zilikata kabisaaa
Mkuu hii nayo ukaona kesi? Mtoto wako unaona issue kumpa maji kisa mamake kakwambia umoe maji ye kachoka? Aiseee!!![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] . Kazi ipo kwa waoaji na waolewaji.

Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app
 
Umesahau kuhusu

1. tendo la ndoa:
wanawake wasomi wagumu kutoa ushirikiano kwenye tendo na ni wavivu kitandani kwa madai kuwa wako buzy na majukumu ya ofisi.

2.Kugongewa mkeo:
Kwenye trip za ofisi mikoani na wafanyakazi wengine, unakuta trip ni ya 3 weeks au zaidi,
Hapa kuna hatohati mkeo KULIWA KIMASIHARA.

Zingine maboss wanakuja kuchangia

Sent from my SM-M307F using JamiiForums mobile app
Hiyo namba 2. Acha ushamba wa kizamani. Mkeo akisafiri kikazi mwambie aweke japo kondom tatu kwenye begi lake. Kwani akigongwa jamaa anaondoka nayo?
Kwanza wewe mwenyewe usithubutu kutuambia huchepuki. Cha msingi tu usijue.
Akiamua kugawa uroda hata house wife wanagawa Sana. Tena wanawapa watu wasio na heshma Kama vijana wa dukani, bodaboda, vijana wa ng'ombe etc.
Tusifikirie k muda wote. Kutoa uroda ni maamuzi hawezi kulazimishwa.
Kuna waliomgonga primary, sekondari, chuo mbona mashine umeikuta nzuri na ya kuvutia..
 
Sawa mkuu ila umeongea bonge la point. Kwa hawa wanawake wa sasa ukitaka kuoa uingie ukijua wao wanakuja kuchukua tuu na sio kutoa, which in essence defeats the purpose ya marriage. Hence why, ni bora tugegegduane tuu lah sivyo ukiingia na mentality ya kusaidiana utampoga mtu risasi saba bure.
Mkuu kumbe unajua kizungu?
 
Ni ndoto za wanaume wengi kuoa mwanamke mrembo na mwenye kipato ili wasaidiane kutengeneza familia bora ikiwa ni pamoja na kujenga nyumba nzuri,kusomesha watoto kwenye shule bora n.k Hapo ndipo baadhi ya vijana hufikiria kuoa wanawake wasomi wenzao wenye kazi nzuri. Lakini kabla ya kufikiria kuoa mke msomi na mwajiriwa( hasa serikalini) ni vema ukajua faida na hasara zake.

Tukianza na faida
1. Mke mwajiriwa atakusaidia kuongeza kipato kwa maendeleo ya familia.
2. Pindi hali yako ya kiuchumi ikienda vibaya,familia inaweza isiyumbe na km itayumba basi ni kidogo.
3. Kazi/cheo cha mkeo kinaweza kuleta heshima fulani ndani ya familia.

Hasara zake:-
1. Kuna baadhi ya wanawake akichangia hela yake kununua kitu mfano kiwanja usishangae siku mkikosana akakudhalilisha kwamba kiwanja kanunua yeye,au nyumba kajenga yeye.

2. Wanawake waliosoma na wenye kazi wengi wao (SI WOTE ) huwa si watiifu kwa waume zao hasa ikitokea kipato chake ni kikubwa kuliko mme.

3. Jiandae na mivutano ya haki sawa. Kuna baadhi ya wanawake wasomi huigeuza ndoa kuwa sehemu ya kufanya uanaharakati. Hali hii inaweza kuibua mivutano ya mara kwa mara.

4. Ndoa kuongozwa na vichwa 2. Maandiko yanasema, "Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe" Efeso 5:23.

Kuna baadhi wanawake wakisha soma na kuwa na ajira nzuri hujipa mamlaka ndani ya nyumba. Baadala ya mume kuwa sauti ya mwisho kimaamuzi atataka yeye awe msemaji wa mwisho. "In nature"wanaume hatuko tayari kutawaliwa na mwanamke hapo inaweza kuwa chanzo cha ndoa yenu kusambaratika.

5. Ndugu wa mke kukudharau/ kutokupa heshima unayostahili hasa km familia yao ni ya kishua na wasomi.Hebu fikiria mkeo ni mkuu wa kitengo muhimu aafu wewe Mwalimu wa shule ya msingi( mfano tu), Usishangae kwa baadhi ya matukio ukawa wa mwisho kupewa taarifa. Tena usiombe iwe familia ya Kihaya( kidding).

6. Watoto wakigundua mama yao anapesa nyingi kuliko baba heshima yao kwako inaweza shuka na usishangae kuona shida zao nyingi wanamalizana na mama yao. Hapa usipokuwa makini unaweza jikuta km umetengwa ndani ya nyumba yako.
Kuna afande ni rafiki angu hiki kimemkuta,watoto hawana time nae kabisa.

7. Usitegemee neno pole na kazi au kupokewa mzigo utokapo kazini. Mwanamke mwenye kazi anajiona hata yeye ni mtafutaji. Hivyo anaweza asione sababu ya kukupokea kwani hata yeye katoka kutafta huo mkate.

8.Kuna wakati "Stress"za kazini anaweza kuzihamishia nyumbani. Hapo ndo hatari maana anaweza kukosa hata hamu ya kukupa unyumba.

9.Kuleta ubosi kitandani. Wanawake wengi wenye kazi na mabosi hujisahau na kuleta ubosi wao hadi nyumbani. Hivyo mkiwa faragha usishangae kauli za kibabe na wengi wao hawawezi kuwa romantic.

Haya ni baadhi tu ya mambo ambayo mengi nimejifunza kwa brother angu aliyeoa Daktari mwenzake mwenye cheo kikubwa kuliko yeye na kwa baadhi ya wafanyakazi wenzangu.

NB: Niko tayari kurekebishwa.
Tunapita kimya kimya tukisoma comments 😅🤓🤥🤣
 
Back
Top Bottom