Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi

Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi

Ngoja niwape real story about my marriage....japokuwa sii ndoa kbs ya kufunga harusi ila NI tunaishi Zaid ya mwaka Sasa...Mimi nimeajiriwa fresh kbs na huyu shemeji/wifi yenu NI kwamba hajasoma hajamaliza la Saba ila NI mvumilivu Sana na ananitii Sana hana mambo mengi just imagine haniombi pesa yoyote kikubwa ninunue chakula,mavazi na kulipa bills...
Acha MARA MOJA kumpiga. Kuna siku atalala na koleo akuvizie ukiwa unakoroma akupasue hizo kengele zako ndipo akili itakukaa sawa.
 
Ukioa mke msomi akaajiliwa akipangiwa dodoma ukimpigia video call usiku lazima uone kivuli chenye madevu au chenye kitambi kinavaa kondomu
Kwa nini kisipige kavu kavu hicho kivuli?
 
Aah ishu ni ndogo tu,
182CB360-7AE7-4056-8925-BBD08FC2FB2B.jpeg
 
Inasikitisha sana kiukweli kabisa kuna watu wameoa wanawake hawana elimu na mambo ni yale yale. Hii mentality tunayozidi kujijengea mi huwa naona inategemea na muhusika tu iwe msomi au hakwenda shule, all in all niishie hapo ila kusema kuoa mke ambaye hajasoma ni kujidanganya watu tuombe kupata kilicho chema tu.
Haya maisha hayana formula, uombe Mungu tu akujalie kilichochema iwe mwanamke na mwanaume. Wapo wasomi wenye maratizo na wapo ambao wameishia darasa la saba ni pasua vichwa vilevile. Kaka yangu kao darasa la saba tena katokea kijijini huko lakini kilichompata Mungu anajua.

Mwingine aliachwa na watoto kisa kaugua hana hela , yeye kaenda kuishi na mwanaume mwingine, watoto tunalea sisi. Wangine wameoa wasomi na wako fresh zaidi ya 20 years. Kinachotakiwa ni upendo wa dhati na hedhima kwa mwenza.
 
Si munaona munavyojichanganya? Hamutaki wanawake wasomi lakini munataka kuendelea kusomesha watoto wenu wa kike kwa kuhofia watapata shida.

Watapata shida gani wakati nyinyi ndiyo mumeamua hivyo?
Akili za kuambiwa... yaani watoto wenu muwapeleke shule halafu mtafute ambao hawajapelekwa shule na wazazi wao muwaoe. Barabarani huko unakuta wanaume wanawasindikiza binti zao shule na wengine wamewabeba kwenye boda hayo yote ili wapate elimu.
 
Mapenzi ni pata potea kwa lugha ingne mapenzi ni mchezo mchafu

Waweza kua na pesa ukapata mwanamke mwenye kazi yane na bado asiwe na msaada wwte ktk familia

Na unaweza ukawa na pesa na ukapata mwanamke mwenye ajira yake na kwel akawa msaada mkubwa sana kwako na familia iwe kipato chako kimeshuka au kipato chako kimeongezeka

Unaweza ukawa maskin tena kapuku na ukapata mwanamke mwenye ajira yake akakutunza ww watoto na ata nyumban kwen akawasaidia baba/Mama yako

Tunapenda kujaji kutokana na matendo za wanawake walio wengi ila sio tabia za wanawake wote
 
Umesahau kuhusu

1. tendo la ndoa:
wanawake wasomi wagumu kutoa ushirikiano kwenye tendo na ni wavivu kitandani kwa madai kuwa wako buzy na majukumu ya ofisi.

2.Kugongewa mkeo:
Kwenye trip za ofisi mikoani na wafanyakazi wengine, unakuta trip ni ya 3 weeks au zaidi,
Hapa kuna hatohati mkeo KULIWA KIMASIHARA.

Zingine maboss wanakuja kuchangia

Sent from my SM-M307F using JamiiForums mobile app
Umenikumbusha kwenye program za Tohara. program za Tohara kuna kipindi walikua wanakaa hata miezi mitatu field. kuna nesi mmoja yaani kama aliolewa tu namshikaji na kila ikitokea safari ya Tohara nesi alikua lazima awemo huku nyumbani mumewe anafurahia tu perdiem alizokua anarudi nazo mkewe. Kule kwenyetohara nesi alikua halipi chumba lodge wala chakula jamaa anajilia kama mkewe. Ila faida wamepata waliongeza kipato cha familia hahahahahahahahaha
 
Juz wa kwangu mtoto analia anataka maji ananiambia mpe mtoto maj m nimechoka...dah usiku ule stimu zilikata kabisaaa
kwa hiyo mkuu umehisi sababu ana hela ndo maana...?? mbona hayo majukumu ya kawaida sema labda kama anatoa amriii na sio kuomba
 
Hivi kuna wanawake wanaochangia hela katika uendeshaji wa familia? wangu hata kibiriti ca 100 kikiisha napigiwa simu, SIjawahi kuona hela yake zaidi ya kuona akiwapa ndugu zake na kuchangia michango ya harusi za marafiki.
 
Basi tena kashanikosa na change gear angani simuoi kumbavu mwache abaki na li masters lake maana nilitaka nimuoe nimfanyie connection ya maana aingie kazini imeisha iyoooo. And No more [emoji135]
We nae jinga kweli...unafatisha macomment ya humu[emoji57][emoji57]
 
Umenikumbusha kwenye program za Tohara. program za Tohara kuna kipindi walikua wanakaa hata miezi mitatu field. kuna nesi mmoja yaani kama aliolewa tu namshikaji na kila ikitokea safari ya Tohara nesi alikua lazima awemo huku nyumbani mumewe anafurahia tu perdiem alizokua anarudi nazo mkewe. Kule kwenyetohara nesi alikua halipi chumba lodge wala chakula jamaa anajilia kama mkewe. Ila faida wamepata waliongeza kipato cha familia hahahahahahahahaha
Yalaaaaaaaaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
 
Juz wa kwangu mtoto analia anataka maji ananiambia mpe mtoto maj m nimechoka...dah usiku ule stimu zilikata kabisaaa
Kuna ubaya gani wewe ukimpa mtoto wako maji? Nyie ndiyo wale wanaume mke akiwa mgonjwa anamlazimisha kuendelea kufanya kazi za ndani hata kumsaidia kupika hawezi!!!
 
Hivi kuna wanawake wanaochangia hela katika uendeshaji wa familia? wangu hata kibiriti ca 100 kikiisha napigiwa simu, SIjawahi kuona hela yake zaidi ya kuona akiwapa ndugu zake na kuchangia michango ya harusi za marafiki.
Wapo wengi tu
 
Mleta uzi nuseme tu kuwa haya uliyoleta hapa umeyapitia wewe mwenyewe. Hivyo usisingizie kuwa umejifunza kutoka kwa jamaa zako.

Kati ya watu walioapa kutokuoa mwabamke asie msomi naambae hana kazi ni mimi ila sasa ninarevok apizo langu. Nitafanya kinyume na hilo.

Kuna kabila umelitaja humu imebidi nicheke tu maana umepiga mule mule,

Long story short Hawa wanawake wasomi na wenye kibato cha juu no wakupiga na kusepa (alafu ni wepesi mno)
 
Wengi awajui mipaka na majukumu yao ni yepi. KILA mmoja ana majukumu yake, wanawake waache ubinafsi kama huna kipato hudumia familia, maana wao ndio watakaokuja faidika, watoto wakifanikiwa umkumbuka mama zaidi kuliko baba.
 
Unakuta mtu kavunja ndoa yake kwa upumbavu wake then anakuwa mshauri wa ndoa, SAsa yeye alishindwa vipi kuishi hayo anayoyafundisha.
 
Back
Top Bottom