Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi

Watu huwaambia watoto/wadogo zao wa kike wasome wapate hela zao wasitegemee za wanaume kitu ambacho hupelekea kunyanyaswa pia

Kwahiyo sioni cha ajabu maake inaMake sense kinamna flan
 
Una hoja, ni vile unaandika kama umemuomba mwanamke hela akakunyima umekuja kumsimanga huku.
 
Je unauhakika mke wa mengi,mo na bakheressa ni mama wa nyumbani una uhakika utajiri wao ni wakutafuta ukiachana na mengi,

Mtoto hyo hyo wa kike anafundishwa financial freedom and independence na mzee wake je unadhani hyo mwanaume hana akili, mwanaume siku zote anamtahadharisha mwanae wa kike coz anajua wanaume wenzie walivyo

To make it short wacha kulia lia na pesa ya mwanamke tafuta yako utumie na familia full stop hyo ndo kuwa head of the family.
 
Moja ktk maandiko Bora kabisa kuwahi kuyasoma JF ...hii ndo inaitwa BIG brain
 
Una mtoto wa kike?umezaa?najua hauna mtoto wa kike wala hujazaa but kama Mungu akijujalia mtoto wa kike umpeleke shule apate degree then awe Mama wa nyumbani basi utakuwa ni baba punguani tangia Dunia iumbwe
Hata umsomeshe Havard mwanao atakaa jikoni anipikie hiyo ni nature
 
Una mtoto wa kike?umezaa?najua hauna mtoto wa kike wala hujazaa but kama Mungu akijujalia mtoto wa kike umpeleke shule apate degree then awe Mama wa nyumbani basi utakuwa ni baba punguani tangia Dunia iumbwe
Nina mtototwa kike na hilo halizuii ukweli kua mwanamke hawezi kumsaidia mwanaume kutokana na ubinafsi walioumbwa nao.
 
Binafsi naona hii slogan ya women empowerment ndo chanzo cha ongezeko la mishangazi mjini na kuvunjika kwa ndoa
 
Mtoa mada umeleta mada nzuri. Ila hapo kuhusu usomi wa mwanamke umekosea kidogo. Ishu sio kusoma kwa mwanamke bali ni hulka ya wanawake wa siku hizi.

Kumbuka kuna wanawake waliosoma na wenye heshima na kujua majukumu yao. Na kuna wanawake ambao hawajasoma na wans tabia hizo ulizotaja.

Nadhani mada yako ilishaongelewa kwenye hiki kitabu :THE PREDATORY FEMALE

Kama wewe ni mwanaume au na una mtoto wa kiume basi soma hiki kitabu
 

Attachments

Kifupi mwanaume kama huna uwezo usioe hata vitabu vya dini vinakataa

Dini zote waislamu na Wakristo.

Hata vijijini mwanaume hupimwa law kuchapa kazi shambani

Ukienda kwa wasukuma na wakurya nk mahari yaweza fika hata ng'ombe 40
Kijana ukitoka familia maskini Sahau kuoa

Mjini zinaangaliwa pesa .Sababu mijini hakuna mashamba wala mifugo ya kupima uwezo na uchapakazi wa kijana

Wanaume wenye nazo kibao wameoa wanawake walioajiriwa na maisha yako vizuri tu .Kijana maskini hakuna mwanamke anamhitaji

Mleta mada ni aibu kijana na kasuruali kake na kidude cha kiume.kwenye suruali kutafuta wasichana wa kuoa eti utakao kuwa tegemezi kwao ni aibu

Na mzazi popote ulipo usikubali hiyo fedheha .Mhimize mtoto wa kiume atafute maisha awe nayo ya kueleweka sio kwenda kujiegesha kwa wanawake
 
Kuna ka ukweli umeandika, Japo tabia za wanawake hazifanani. Wapo wanawake wenye tabia hizo ulizozielezea, pia wapo wenye kazi zao na ni wanyenyekevu kwa waume zao na wanamaadili mema.

Tabia ya mtoto wa kike hutegemea na aina ya malezi aliyoyapata toka kwa wazazi wake. Wapo wife material na micharuko ipo pia so inategemea wewe mwanaume umechumbia sampuli ipi.
 

Kama umetoka familia maskini baba yako kwa nn alioa? Na ni dini gani imesema hivo tuone Aya.
 
Ukweli mtupu
 
😂😂Dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…