Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio unamsomesha binti yako ili aje kuajiriwa asiwe mke au mama wa familia? Very stupid thinkingUna mtoto wa kike?umezaa?najua hauna mtoto wa kike wala hujazaa but kama Mungu akijujalia mtoto wa kike umpeleke shule apate degree then awe Mama wa nyumbani basi utakuwa ni baba punguani tangia Dunia iumbwe
Je unauhakika mke wa mengi,mo na bakheressa ni mama wa nyumbani una uhakika utajiri wao ni wakutafuta ukiachana na mengi,Peace,
Tangu wakiwa wadogo watoto wa kike wanajengwa na jamii kushindana na wanaume, mifumo yote inamtia jeuri mwanamke, harakati za haki sawa, madawati ya jinsia yote haya yanamjaza upepo mwanamke.
Hata mwanamke mwenye maadili anajikuta tu yumo katika mkumbo wa kujitunisha misuli dhidi ya wanaume.
Kuna kabinti kamoja kazuriii mwaka jana kalimaliza hapo UDSM kalikua kanapiga Public Rerations nilikatafuna mara kadhaa siku moja katika story nikakauliza kwanini kanajuhudi sana katika masomo jibu lake lilikua " nataka kujikomboa mimi sitaki kuja kunyanyaswa na mwanaume" na mawazo hayo ndio wanayo wasichana wote "kujikomboa" yani wao kua na elimu na kijiajira ni ngao dhidi ya mwanaume.
Fanya utafiti wako uliza watoto wa kike wengi uwezavyo waulize kwanini wanasoma, HAKUNA ata mmoja atakaekwambia "nasoma ili kuja kumsaidia mume wangu" ooh ooh HAKUNA anaetaka wala anaewaza kumsaidia mume wake wanawaza "kujikomboa" na kwao kujikomboa ni kua na uhuru usio na mipaka, uhuru wa kufanya lolote bila kuulizwa maana anakipato chake.
Pesa ya mwanamke NI YAKE na kamwe hayuko tayari kuiwekeza kwa mwanaume, they are selfish enough to admit so na hata kama akisema ooh "tutasaidiana maisha bla bla blah" negitive, she just wants to keep you in that frame of thinking.
Pia ni ngumu sana kumridhisha mwanamke mwenye ajira kila utakalofanya hatakua na fadhila kwacho ataona haujafanya vya kutosha daima constantly demanding and pushing atakuona "mwanaume suruali" hata kama unajitahidi kutimiza majukumu yako kwa uaminifu.
Kuoa mwanamke mwenye ajira nikujitangazia vita ya amani ya nafsi yako, hata hayo maendeleo yatachelewa sana na hata yasije kabisaaa kutokana na mivutano. Niambie ni nani aliyetajirika kwa kuoa mwanamke mwenye ajira ili wasaidiane na wakatajirika ?!
Wanapiga mark time miaka nenda rudi. Nitajie wapi alikua anafanya kazi mke wa Mengi ?!, au wapi ameajiriwa mke wa Mo Dewji ?!, je mke wa Bakhresa ameajiriwa wapi ?! Bakhesa hajasaidiwa maisha na mwanamke alianzia chini na leo ni Billionare na mke yuko nyumbani, nyie mnaosaidiwa maisha na wake zenu mmefika wapi ?! Waswahili walisema panya wawili hawachimbi shimo, ni mivutano na kila mtu kujifanya mwenye maono sahihi.
Mwanamke hana sababu yoyote ya kukuheshimu kama anauwezo wa kujihudumia mwenyewe, atajifanya kukuheshimu kwa vipindi vifupi tu, ila ukweli KAMWE hawezi kukuheshimu.
Kuoa mwanamke mwenye ajira haitakusaidia lolote ila itakupatia ulingo murua wa mapambano, mivutano na minyukano. Niambie ni lini ulishaona mwanamke anatoa hela kumsaidia mwanaume ?! By default mwanamke hajaumbwa kutoa msaada na hata kusaidia kwa lolote zaidi sana hiyo ajira itamjaza kiburi na jeuri na atafanya uchafu mwingi kwa kujua hutamfanya lolote si "ana kiajira chake"
Moja ktk maandiko Bora kabisa kuwahi kuyasoma JF ...hii ndo inaitwa BIG brainPeace,
Tangu wakiwa wadogo watoto wa kike wanajengwa na jamii kushindana na wanaume, mifumo yote inamtia jeuri mwanamke, harakati za haki sawa, madawati ya jinsia yote haya yanamjaza upepo mwanamke.
Hata mwanamke mwenye maadili anajikuta tu yumo katika mkumbo wa kujitunisha misuli dhidi ya wanaume.
Kuna kabinti kamoja kazuriii mwaka jana kalimaliza hapo UDSM kalikua kanapiga Public Rerations nilikatafuna mara kadhaa siku moja katika story nikakauliza kwanini kanajuhudi sana katika masomo jibu lake lilikua " nataka kujikomboa mimi sitaki kuja kunyanyaswa na mwanaume" na mawazo hayo ndio wanayo wasichana wote "kujikomboa" yani wao kua na elimu na kijiajira ni ngao dhidi ya mwanaume.
Fanya utafiti wako uliza watoto wa kike wengi uwezavyo waulize kwanini wanasoma, HAKUNA ata mmoja atakaekwambia "nasoma ili kuja kumsaidia mume wangu" ooh ooh HAKUNA anaetaka wala anaewaza kumsaidia mume wake wanawaza "kujikomboa" na kwao kujikomboa ni kua na uhuru usio na mipaka, uhuru wa kufanya lolote bila kuulizwa maana anakipato chake.
Pesa ya mwanamke NI YAKE na kamwe hayuko tayari kuiwekeza kwa mwanaume, they are selfish enough to admit so na hata kama akisema ooh "tutasaidiana maisha bla bla blah" negitive, she just wants to keep you in that frame of thinking.
Pia ni ngumu sana kumridhisha mwanamke mwenye ajira kila utakalofanya hatakua na fadhila kwacho ataona haujafanya vya kutosha daima constantly demanding and pushing atakuona "mwanaume suruali" hata kama unajitahidi kutimiza majukumu yako kwa uaminifu.
Kuoa mwanamke mwenye ajira nikujitangazia vita ya amani ya nafsi yako, hata hayo maendeleo yatachelewa sana na hata yasije kabisaaa kutokana na mivutano. Niambie ni nani aliyetajirika kwa kuoa mwanamke mwenye ajira ili wasaidiane na wakatajirika ?!
Wanapiga mark time miaka nenda rudi. Nitajie wapi alikua anafanya kazi mke wa Mengi ?!, au wapi ameajiriwa mke wa Mo Dewji ?!, je mke wa Bakhresa ameajiriwa wapi ?! Bakhesa hajasaidiwa maisha na mwanamke alianzia chini na leo ni Billionare na mke yuko nyumbani, nyie mnaosaidiwa maisha na wake zenu mmefika wapi ?! Waswahili walisema panya wawili hawachimbi shimo, ni mivutano na kila mtu kujifanya mwenye maono sahihi.
Mwanamke hana sababu yoyote ya kukuheshimu kama anauwezo wa kujihudumia mwenyewe, atajifanya kukuheshimu kwa vipindi vifupi tu, ila ukweli KAMWE hawezi kukuheshimu.
Kuoa mwanamke mwenye ajira haitakusaidia lolote ila itakupatia ulingo murua wa mapambano, mivutano na minyukano. Niambie ni lini ulishaona mwanamke anatoa hela kumsaidia mwanaume ?! By default mwanamke hajaumbwa kutoa msaada na hata kusaidia kwa lolote zaidi sana hiyo ajira itamjaza kiburi na jeuri na atafanya uchafu mwingi kwa kujua hutamfanya lolote si "ana kiajira chake"
Ipo kazipublic rerations tuanzie hapa kwanza
Hata umsomeshe Havard mwanao atakaa jikoni anipikie hiyo ni natureUna mtoto wa kike?umezaa?najua hauna mtoto wa kike wala hujazaa but kama Mungu akijujalia mtoto wa kike umpeleke shule apate degree then awe Mama wa nyumbani basi utakuwa ni baba punguani tangia Dunia iumbwe
Nina mtototwa kike na hilo halizuii ukweli kua mwanamke hawezi kumsaidia mwanaume kutokana na ubinafsi walioumbwa nao.Una mtoto wa kike?umezaa?najua hauna mtoto wa kike wala hujazaa but kama Mungu akijujalia mtoto wa kike umpeleke shule apate degree then awe Mama wa nyumbani basi utakuwa ni baba punguani tangia Dunia iumbwe
Ooh https://jamii.app/JFUserGuide, Public Relationspublic rerations tuanzie hapa kwanza
Kifupi mwanaume kama huna uwezo usioe hata vitabu vya dini vinakataa
Dini zote waislamu na Wakristo.
Hata vijijini mwanaume hupimwa law kuchapa kazi shambani
Ukienda kwa wasukuma na wakurya nk mahari yaweza fika hata ng'ombe 40
Kijana ukitoka familia maskini Sahau kuoa
Mjini zinaangaliwa pesa .Sababu mijini hakuna mashamba wala mifugo ya kupima uwezo na uchapakazi wa kijana
Wanaume wenye nazo kibao wameoa wanawake walioajiriwa na maisha yako vizuri tu .Kijana maskini hakuna mwanamke anamhitaji
Mleta mada ni aibu kijana na kasuruali kake na kidude cha kiume.kwenye suruali kutafuta wasichana wa kuoa eti utakao kuwa tegemezi kwao ni aibu
Na mzazi popote ulipo usikubali hiyo fedheha .Mhimize mtoto wa kiume atafute maisha awe nayo ya kueleweka sio kwenda kujiegesha kwa wanawake
Ukweli mtupuNi ndoto za wanaume wengi kuoa mwanamke mrembo na mwenye kipato ili wasaidiane kutengeneza familia bora ikiwa ni pamoja na kujenga nyumba nzuri, kusomesha watoto kwenye shule bora n.k Hapo ndipo baadhi ya vijana hufikiria kuoa wanawake wasomi wenzao wenye kazi nzuri. Lakini kabla ya kufikiria kuoa mke msomi na mwajiriwa( hasa serikalini) ni vema ukajua faida na hasara zake.
Ukweli mchunguMwanamke msomi PhD masters hata ukinipa bure sichukiwi ni kama kubeba gunia la misumari kichwani.
😂😂DahKwa mtizamo wangu, ukioa mke kwa mtizamo kuwa aje akusaidie a.k.a kusaidiana, unakuwa ushaanza kwa mguu wa kushoto. Ni suala la mda tu utalia kimanga.
Unatakiwa kuoa mwanamke kwa jicho la wewe kumsaidia yeye. Ukiwa na mtizamo wa namna hiyo ni ngumu kuwa disappointed.
Kwa mantiki hiyo, kabla ya kuoa, unapaswa ujiulize, unayemuoa anahitaji msaada wako? Anahitaji aina ya msaada unaotaka kumpa? Kama jibu ndio oa, kama sio, wewe unachotakiwa ni kummzabzab kisha pita. Huyo sio wako, waachie wengine. Kumbuka hupaswi kulazimishia kumpa mtu huduma kama mwenyewe haoneshi kuihitaji ( haijalishi uzuri wa huduma yako)
Kwa ujumla dhana ya mwanaume kufikiria kusaidiwa na mwanamke kuanzia mwanzo ni mtego wa hatari sana. Kwa bahati mbaya zaidi ni kwamba kwa sasa wanawake wanakuwa na nguvu za kiuchumi na kimamlaka kuliko wanaume na hivyo taasisi ya ndoa kuwa miguu juu kifo cha mende. In the future, wanaume wanaweza kuolewa na wanawake. Kwa lugha nyingine wanawake kushika nafasi ya wanaume na wanaume kushika nafasi za wanawake kwenye familia na maisha kwa ujumla. Kwa bahati mbaya zaidi hatuna la kufanya kuzuia hii kutokea.
Kwa mfano zamani hata ukiongea na mwanamke alikuwa na aibu anaangalia chini, siku hizi anakutolea macho hadi wewe ndio unaona aibu.
In the future, wanawake wasomi watatongoza wanaume na wanaume wataanza kuringa ringa kama wanawake wa zamani.
Basi utakuta mwamba anatupiwa mistari na mwanadada, huku mwamba kainamia chini anachimba kashimo kwa miguu. Dunia ngumu sana hii ndugu zangu.