mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
Tuanze na faida kwanza
1. Bei rahisi, uzuri bei zao mchekea sana na kama ukiwa mbishimbishi au mtu wa kukomaa kubargain sana unapata punguzo kubwa kabisa la bei bila kujali ugumu au ukubwa wa kazi yenyewe.
2. wanatumia vizuri rasilimali zilizopo, ukitaka fundi maiko akujengee ukuta anakuambia "bosi hii kazi inahitaji tofali mia na hamsini ila hapa uwanjani kwako nimeona tayari una tofali nzima na vipande, nitatumia hizihiz kwanza hlf tutaangalia kama kuna haja ya kuongeza". mwisho wa siku unajikuta umefanya kazi kubwa kwa kutumia rasilimali ambazo pengine hata wewe ulikuwa haujui kama unazo au kama zingeweza kutumika tena. unakuwa umeokoa pesa kwa mambo mengine.
3. wako fleksibo na mazingira yaliyopo
ukimuita fundi maiko ukamwambia skiza nataka ugawe hii sebule nipate chumba kinachojitegemea. hiyo siyo shida kwa fundi maiko na wala hana haja ya kuanza kuchora kwenye makaratasi, kila kitu kitamalizwa apoapo tena ni juu kwa juu mwisho wa siku unakabidhiwa chumba chako icho apo. wako fasta hawana urasimu.
4. unahudumiwa kadiri ya uwezo wako. wako vizuri kubalance uwezo wa bosi na mahitaji ya ujenzi. unaweza kuwa na kazi kubwa lakini yeye utamsikia "bosi hapa lete mifuko mitatu tu ya simenti kazi inaisha hii". kumbe mwenzio kashakusoma wewe ni hoehae huna ela mtasumbuana bure tu mwisho umnyime kazi. apo yeye atacheza na ratio ya simenti kwa mchanga hadi kazi yako inaisha.
5. Hasara ya mafundi maiko ni ubora wa kazi zao. kazi nyingi zinakuwa za viwango vya chini kwa sababu ya matumizi madogo ya matirio zinazotakiwa kwa mfano simenti inaumiwa kwa kiasi kidogo kuliko inayotakiwa, sehem ya kuweka mbao mpya unakuta mwenzio katumia zile used au za kukodisha zilizopindapinda matokeo yake kuta zinapinda. ila kiujumla ni wana sana hawa wamba. salute kwa fundi maiko wote.
1. Bei rahisi, uzuri bei zao mchekea sana na kama ukiwa mbishimbishi au mtu wa kukomaa kubargain sana unapata punguzo kubwa kabisa la bei bila kujali ugumu au ukubwa wa kazi yenyewe.
2. wanatumia vizuri rasilimali zilizopo, ukitaka fundi maiko akujengee ukuta anakuambia "bosi hii kazi inahitaji tofali mia na hamsini ila hapa uwanjani kwako nimeona tayari una tofali nzima na vipande, nitatumia hizihiz kwanza hlf tutaangalia kama kuna haja ya kuongeza". mwisho wa siku unajikuta umefanya kazi kubwa kwa kutumia rasilimali ambazo pengine hata wewe ulikuwa haujui kama unazo au kama zingeweza kutumika tena. unakuwa umeokoa pesa kwa mambo mengine.
3. wako fleksibo na mazingira yaliyopo
ukimuita fundi maiko ukamwambia skiza nataka ugawe hii sebule nipate chumba kinachojitegemea. hiyo siyo shida kwa fundi maiko na wala hana haja ya kuanza kuchora kwenye makaratasi, kila kitu kitamalizwa apoapo tena ni juu kwa juu mwisho wa siku unakabidhiwa chumba chako icho apo. wako fasta hawana urasimu.
4. unahudumiwa kadiri ya uwezo wako. wako vizuri kubalance uwezo wa bosi na mahitaji ya ujenzi. unaweza kuwa na kazi kubwa lakini yeye utamsikia "bosi hapa lete mifuko mitatu tu ya simenti kazi inaisha hii". kumbe mwenzio kashakusoma wewe ni hoehae huna ela mtasumbuana bure tu mwisho umnyime kazi. apo yeye atacheza na ratio ya simenti kwa mchanga hadi kazi yako inaisha.
5. Hasara ya mafundi maiko ni ubora wa kazi zao. kazi nyingi zinakuwa za viwango vya chini kwa sababu ya matumizi madogo ya matirio zinazotakiwa kwa mfano simenti inaumiwa kwa kiasi kidogo kuliko inayotakiwa, sehem ya kuweka mbao mpya unakuta mwenzio katumia zile used au za kukodisha zilizopindapinda matokeo yake kuta zinapinda. ila kiujumla ni wana sana hawa wamba. salute kwa fundi maiko wote.