Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Iyo ya tatu duh bas kama ni ivyo yangu ingekua kama bwawa maana napenda kunawia maji ya moto
aisee kumbe mashine mnato eenh...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iyo ya tatu duh bas kama ni ivyo yangu ingekua kama bwawa maana napenda kunawia maji ya moto
Mmmmhhhhh
Unaogopa??
nimegundua kitu ndo maana wadada wa mbeya huwa wana kitu kubwa snaSasa kwa wale walioko mikoa ya baridi na wanaoga maji ya moto?
Hizi ni propaganda-fid q
Niogope nn best yangu.....mimi maji baridi tu.
afu nyimbo za kigumu kama hizi hazipiti kwe sikio langu jaman
Hehehe umezoea my number one
Interesting......
Hamna mbona godzila zinapanda
Inategemeana na beats lakini,fid q ujumbe but Godzilla akichana zinachezeka
aisee kumbe mashine mnato eenh...
Hahahaaa mnato kama yako ni ka mguu wa mtoto.......ilaa yako ikiwa ka kibamia inaelea lol
1.je ni kweli maji ya moto hupunguza hashiki(hamu ya kujamiina)?
2.je ni kweli huondoa maumivu wakati wa hedhi????how is that possible?
3.je mwanamke akiyatumia kutawadha kuna hati hati ya kutanuka exterior part of vagina????
aaaaah wapi..Kuna watu wanamiliki vitu na hawavijui vizuri, kuwa na K hakukufanyi wewe kuijua 100% na ndo maana tunajifunza...!
Hiyo theory yako siwezi kuiamini hadi nipate proof, nini kinasababisha K ipwaye ikioshwa na maji vuguvugu?
Inapwaya sehemu zipi (ndani au mashavuni?)
Hahahaaa mnato kama yako ni ka mguu wa mtoto.......ilaa yako ikiwa ka kibamia inaelea lol