Faida na madhara ya kuoga kwa maji ya moto

Faida na madhara ya kuoga kwa maji ya moto

Huenda ni kweli maana wk wote wanafanana wengi wao k unakuta haifai uenda walijiharibu wenyewe, jinsi ya kurudia ujalisia oshea maji ya mchele kwa wiki 1 alafu uje nitest
 
Ya pili ni kweli hata mm nikiwa mwisho wa mwezi tumbo likiuma naoga au kunywa au kukanda tumboo na maji ya moto na linapoa

Iyo ya tatu duh bas kama ni ivyo yangu ingekua kama bwawa maana napenda kunawia maji ya moto

umenitafakarisha sana
 
aaaaah wapi..Kuna watu wanamiliki vitu na hawavijui vizuri, kuwa na K hakukufanyi wewe kuijua 100% na ndo maana tunajifunza...!
Hiyo theory yako siwezi kuiamini hadi nipate proof, nini kinasababisha K ipwaye ikioshwa na maji vuguvugu?
Inapwaya sehemu zipi (ndani au mashavuni?)

Huyo anayemiliki kitu halafu hakijui ana matatizo coz kitu chako lazima ukijue vizuri.Kupitia hyo ndo utaua jinsi ya kukitunza na kikithamini.

Chukua nyama buchani...kata vipande,moja weka katika maji moto na kingine weka maji barid halafu vitoe na utapata jibu.
 
na wale wanaojifungua halafu wanakandwa na maji ya moto sababu wanasema yanafanya kule kunako kurudi kuwa normal au mnato zaid?
Mbona kama hapa mnasema tofauti?

Kujifungua ni jambo lengine kbs.....mtu ajifunguapo anakuwa na kidonda +damu iliyogandana humo ndani.

Unapopata maji ya moto usaidia kuyeyusha damu pamoja na kurufisha uke kweli maana unakandwa.Inafanyika wiki tu lakin hii ujazaa halafu unaoshea maji ya moto muone.
 
Maji ya moto ndio hupunguza ashki na pia maji ya moto kunawia chini kutanua k sijaipata bado kuhus hii ya hedhi pia inasaidia wapo wanaochemsha kisha kuweka ndani ya chupa ya plastik na kuiweka chini ya tumbo sina hakika sana ila kingine nachojua maj ya moto huongeza ladha ktk mapenz pindi muwapi faragha na yataka muda kidogo kuandaa
 
Maji ya moto ndio hupunguza ashki na pia maji ya moto kunawia chini kutanua k sijaipata bado kuhus hii ya hedhi pia inasaidia wapo wanaochemsha kisha kuweka ndani ya chupa ya plastik na kuiweka chini ya tumbo sina hakika sana ila kingine nachojua maj ya moto huongeza ladha ktk mapenz pindi muwapi faragha na yataka muda kidogo kuandaa

Mi nimekunywa sana maji ya moto kipindi fulani...afu nikaja ambiwa na rafiki yangu hii story nikashindwa kushangaa...inaweza kuwa ni saikolojia zaidi...ukiambiwa hiki kinafanya hivi ukaamini, kinakuwa, na kama tujuavyo mambo ya genye ni ya kihisia zaidi.

Maana kama ni kweli basi na wapenzi wa chai na kahawa je? na mimi ni mpenzi wa chai pia...anything hot napenda sana...

Na kuwa more precise ni kuwa wanasema maji ya moto yanakausha K...(which could be a bit different though related to genye)
 
nyumba kubwa, p

Wapo wanaotumia maji ya moto na limao au ndimu sjui ndo kupunguza vitambi or what sijajua ila experience ya kunawia maj huko chini kupunguza yupo mtu aliwah kunambia hii me sipend chai labda kahawa na tunatofautiana kwa kweli
 
Namba mbili ni kweli, kweli kabisa
Maana yanalegeza misuli na kufanya damu kuwa nyepesi hivyo kupita kirahisi kwenye mirija
Sorry huenda maelezo yangu hayajashiba
 
Ya pili ni kweli.

Lakini ukijua visababishi vya hayo maumivu ndio utaelewa vizuri kwa nini inatumika.

Solution nyingine nzuri zaidi ni exercises.
 
halafu nyie si wanawake?
Hebu fanyen majaribio basi ili mje na majibu sahihi

Si kweli, sijawahi nawia maji baridi na ishu iko vizuri kabisaa
kulegea au kukaza kwa uke ni maumbile kilamtu ameumbwa kwa namna yake.
Hivi kama maji yamoto yanalegeza naniliuu mbona tukijifungua ndo unaambiwa ukandie ili tuwe vizuri?
Nakataa kwa nguvu zooote.
 
Ndo nashindwa kushangaa..wanaoishi nchi zenye winter nao wananawa maji baridi?
Kutumia maji moto au baridi inategemea mazingira...mfano dar maji moto ya kazi gani?
Ila kusema inatanuka nakataa...watu wanazaa na inarudi ndio iwe affected na maji moto...na kusema moto ni chumvi,vugu vugu...ya moto utanawia upone...

Si kweli, sijawahi nawia maji baridi na ishu iko vizuri kabisaa
kulegea au kukaza kwa uke ni maumbile kilamtu ameumbwa kwa namna yake.
Hivi kama maji yamoto yanalegeza naniliuu mbona tukijifungua ndo unaambiwa ukandie ili tuwe vizuri?
Nakataa kwa nguvu zooote.
 
nyumba kubwa maji ya moto kunywa sana tu na chai hata kama unakunywa vikombe 12 kwa siku kunywa tu maana wakati wowote ni wakati wa chai ila ujue chai unayokunywa ikifika kwenye utamu tayari imeshapoa hivyo haina athari yoyote ile kwenye utamu. Hapa kinazungumziwa k-u-o-s-h-a papuchi na maji ya moto. Baadhi kwa mfano baada ya haja ndogo au kujirusha kwa raha zao na mupenzi hupenda kuosha papuchi kwa kutumia maji ya moto. Haya maji ya moto ya kuoshea papuchi ndio yanadaiwa si mazuri kwa sababu yanalegeza utamu. Hebu tumia maji ya baridi kama mwezi hivi utamsikia Baba mwenye nyumba akikuuliza, "NK umeweka nini huku kwenye utamu? mbona kitu kimekuwa mnato hivi?" Kila la heri.

Mi nimekunywa sana maji ya moto kipindi fulani...afu nikaja ambiwa na rafiki yangu hii story nikashindwa kushangaa...inaweza kuwa ni saikolojia zaidi...ukiambiwa hiki kinafanya hivi ukaamini, kinakuwa, na kama tujuavyo mambo ya genye ni ya kihisia zaidi.

Maana kama ni kweli basi na wapenzi wa chai na kahawa je? na mimi ni mpenzi wa chai pia...anything hot napenda sana...

Na kuwa more precise ni kuwa wanasema maji ya moto yanakausha K...(which could be a bit different though related to genye)
 
Last edited by a moderator:
Ndio nasema labda mnaongelea barafu; nani anatumia maji ya moto Dar? lakini ukiwa nchi za watu maji baridi hayashikiki kipindi cha winter...ndio maana naona kama kuna vitu ni vigumu ku apply...

Kama mnato mnato tu...wanasema nini ikikosa maua usingizia mvua?

BAK,
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hilo nalo neno, kwenye nchi za baridi wakati Celsius inasoma -10 kutumia maji ya baridi kunawisha papuchi yahitaji moyo sana. Kama mnato ni mnato tu kila siku kitu unakiona mma.

Ndio nasema labda mnaongelea barafu; nani anatumia maji ya moto Dar? lakini ukiwa nchi za watu maji baridi hayashikiki kipindi cha winter...ndio maana naona kama kuna vitu ni vigumu ku apply...

Kama mnato mnato tu...wanasema nini ikikosa maua usingizia mvua?
 
Back
Top Bottom