Faida na madhara ya kuoga kwa maji ya moto

Faida na madhara ya kuoga kwa maji ya moto

Ya pili ni kweli hata mm nikiwa mwisho wa mwezi tumbo likiuma naoga au kunywa au kukanda tumboo na maji ya moto na linapoa

Iyo ya tatu duh bas kama ni ivyo yangu ingekua kama bwawa maana napenda kunawia maji ya moto

duuh my friend...
 
rekebisha heading, ''WANAWAKE TU''

mambo mengine hayatuhusu.

Afu acha uzembe. Maji ya moto unayo na k unayo.
 
sema unapenda kupiga punyeto kwa maji ya moto usidanganye eti kunawia

Hahahaaaa we ndio unanambia kama kuoga maji ya moto ni punyetoo akat dushee ya jamaa ipo kwaajil ya ukunajiiii
 
ndugu hata kama unaishi makambako ukawa waoga maji ya moto ila huko kwa bibi nawisha na maji ya baridi. Maji ya moto kwa bibi huko c mazuri kabisa kutashuka bure kukapoteza mwonekano
 
Back
Top Bottom