Faida ya kuishi duniani ni ipi kama tulizaliwa ili tufe?

Bible ni kitabu kamili kisicho shaka kimefungwa muhuri hakuna kuongeza Wala kupunguza.
Unaongelea biblia ipi kwanza, ya kiorthodox, ya kiroma ama ya Kiprotestanti.

Na unaongelea vision ipi KJV au ipi!?

Hzo biblia ziko the same!?

Wewe unatumia biblia ipi!?
 

Now umenarrow down to the core of our discussion.

Huyo Mungu wa juu mawinguni ndio Mungu ambaye hayupo na simjui pia, wala hajaelezewa hivo katika Bibilia.

Bibilia imemuwasilisha kwetu Mungu ambaye ni roho wala hakai sehemu inaitwa mawinguni.

Hiyo idea ya Mungu wa mawinguni ni doctrine ambayo ni potofu na ndio hicho nimekuwa nikikuambia kuwa, msingi wa doctrine yako ukiyumba huko mbele lazima uone biblia ni kitabu cha kutungwa.

Mimi sio mmoja wa hao wanaoamini Mungu anaishi mawinguni, ninaamini kwa ushahidi wa bibilia kuwa Mungu ni roho na anapatikana kila mahali.

Mara nyingi sana Bibilia imekuwa ikiaddress kama “Mungu wa mbinguni” na ikaeleweka vibaya kama Mungu anayeishi mawinguni. Hii ni matokeo ya usomaji mbovu wa maandiko pasipo kuzingatia kanuni zote za kutafsiri maandiko.

Consequently, idea hii imepelekea wengi kuamini kwamba kuna safari ya kwenda mbinguni huko ambako inaaminika Mungu anaishi, which is wrong and indoctrinal.

Ukishaamini hivo lazima uone bibilia ni kitabu cha uongo na cha kutungwa na watu tu.
 
Kiongozi hii sawa na kuzaa watoto alafu unaweka shimo kuwa mtatumbukia. Unawawekea shimo la nini? Kuweka ule mti wa ujuzi wa mema na mabaya ilikuwa na haja Gani? Wakati hawakumkosea chochote.?

Na kwanini aliwafukuza bustanini ili wasile matunda ya mti wa uzima wakawa wazima.? Kuna maswali mengi sana hayako pouwa kabisa.
 
Hii inamaanisha Mungu alitengeneza tatizo alafu analitatua mwenyewe.
 
Roho ni nini?
 
Hiyo Biblia ya Kweli tunapata wapi watu kama sisi wa kawaida. Accessibility yake ngumu sana Mkuu. Any assistance please.
 
Nani kakuambia kabla ya kula lile tunda kulikuwa hamna kifo? If kifo hakikuwepo why kulikuwa na mti wa uzima wa milele? Soma Biblia vizuri usisikilize wachungaji
Hapa Kuna point kubwa sana kiongozi umeiongea. Kuwepo mti wa uzima wa milele Kuna presuppose existence ya uwepo wa kifo. Na ndiyo maana aliwafukuza wasija wakala tunda la mti wa uzima wa milele.

You are very right KIONGOZI.
 
Nani kakuambia kabla ya kula lile tunda kulikuwa hamna kifo? If kifo hakikuwepo why kulikuwa na mti wa uzima wa milele? Soma Biblia vizuri usisikilize wachungaji

Umewaza vema.

Ukweli ni kwamba Adam na Hawa kabla ya kula lile tunda walikuwa katika state ambayo ni either immortal or mortal.
Ilikuwa ni state ambayo ni indecisive.
So uchaguzi wao ndio ulikuwa udetermine wataangukia katika state ipi.

Kama wangekula tunda la mti wa uzima that means wangekuwa immortals.

Uzima na mauti ni matokeo ya uchaguzi wa mtu. Ndio maana hata leo Mtu anapoamini katika masihi wake anapokea uzima wa milele.

Niko hapa kwa maswali zaidi…


Karibu
 
🤣🤣🤣It's a amalgamation of myths
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Okay basi wewe ni samaki na ni mbuzi upo katikati... Ongea point sio shiti sawa
 
haujajibu swali mkuu
 
"MUNGU angetuuliza kila mmoja kama utakubali kuishi ili uje kufa baadae kuliko kutufanyia umafia kama huu."

Nakazia ni umafia wa hali ya juu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…