Faida ya kuishi duniani ni ipi kama tulizaliwa ili tufe?

Usihangaishe Sana akili Yako kwa vitu invisible. Cha msingi kikubwa kabisa amini Kuna Super natural power anayesimamia Kila kitu ambaye ndiye Mungu Muumba mweza yote. Mafundisho na maandiko yamechezewa Sana . Ishi vizuri na Kila mtu, na viumbe wote maana ni Mali ya Mungu. Baada ya hapo utapata ufaham mkubwa wa kiroho
 
Duuh
 
Kwani Mungu hakujua kama hilo tunda Adam atakula?
 
Kama huoni faida ya kuishi we Kufa tu
 
Kwanza kama unaaamini ukifa utarudi kwa Mungu , huoni kwa upande WA Mungu sio issue kubwa? Tatizo ni kwamba Ile mission uliletewa hapa duniani umeimaliza?
Kuna mauti ya aina mbili Moja ni Ile ya kuumaliza mwendo ie kufa kimwili baada ya mission (vita) na ya pili ni Ile ya kutokumuona Mungu kwa sbabu kumkana jemedari WA vita .
 
Za kuambiwa changanya na za kwako... Hilo tunda ni Bikra...
Okay let's assume walikatazwa kusex
1. Nyoka kafanyaje Sasa kala tunda la Eva ndo Adam Akala au Eva kala tunda la nyoka afu akampa Adam? Usitoke nje ya Biblia ni jibu accord to logic na verses.
2. Wamekatazwa kulana ehe watoto wanatoka wapi ambao wameambiwa wajaze dunia.
3. In short the analogy ya tunda kuwa bikra falls apart completely hii story sio valid coz it's impossible scientifically haiwi supported historically geologically na pia logically. It's not historical na imeigwa from older cultures so ni myth story tu.
 
mungu alitaka kujua je mtamuamini yeye? na je makatazo yake uliyazingatia ? na je unamuabudu yeye au una mungu wako uliyemshirikisha? baada ya kufa ndio utayakuta uliyoyatenda
Ye si mjua yote? We unaweza ukaweka bomb chumbani afu ukawaambia watoto wako chezeni huko ila msiguse bomb? Hizi ni story za mababu katika kujaribu kujua shida zimetokea wapi ndo maana wamemtunga Eva Kama mwenye kosa coz ni mwanamke
 
Why ni msingi kuamini Mungu yupo?
 
Sasa hiyo mitihani yanini??
Kwanini shule, kanisani au madrasaa kuna mitihani?
Hiyo ni mitihani ya imani. Lazima Imani iwe ktk mizani. Unaamini nini? Je ni sahihi? Unatenda unacho amini? Huo ndiyo mtihani, mtihani wa imani.
 
Haya maarifa umeyapata wapi?
 
Tukiachana na maandiko ukitumia akili ya kawaida huu ulimwengu uwepo wake kila kitu kinategemea uwepo wa kingine. Kifo kipo sababu kuna maisha, bila maisha hakuna kifo, bila kifo hakuna maisha.

Just imagine, binadamu wawe wanaongezeka tu hawafi mwendokasi Dar ingekuaje? Ni swali la kijinga sana ila just imagine.
 
Kwa hiyo faida za kufa huzioni??

JIULIZE
1. Kama ingekuwa hakuna kufa, watu wote toka enzi hizo Hadi sasa, hivi idadi ya watu ingekuwaje??
2. Ikiwa watu wanakufa na idadi ya watu baadhi ya nchi na Miji mfano Dsm Ina watu wengi kupitiliza, ingekuwa watu hawafi hali ingekuwaje??

3. Unadhani dunia ingetosha kusupport maisha ya watu wote??

4. Umewahi kuchinja mbuzi, kuku, bata, ng'ombe??

Wenyewe wanaona dhiki na tabu kuchinjwa na kuukiwa lakini wewe unachinja tu bila kuwaonea huruma, ndio hivyo hivyo Mungu anaona kawaida na kitu chepesi tu kufa kwako.
 
Kwanini shule, kanisani au madrasaa kuna mitihani?
Hiyo ni mitihani ya imani. Lazima Imani iwe ktk mizani. Unaamini nini? Je ni sahihi? Unatenda unacho amini? Huo ndiyo mtihani, mtihani wa imani.
Shuleni mnafundishwa na walimu sawa na mnapewa syllabus moja ndo mnapewa mtihani Tena unatengenezwa uwe fair. niambie mtihani huo wa Imani ni fair au sio fair? Na unafauluje?
 
Shuleni mnafundishwa na walimu sawa na mnapewa syllabus moja ndo mnapewa mtihani Tena unatengenezwa uwe fair. niambie mtihani huo wa Imani ni fair au sio fair? Na unafauluje?
Uko fair kwasababu unachagua upande wewe mwenyewe
 
Uko fair kwasababu unachagua upande wewe mwenyewe
Okay Kuna dini zaidi ya 10k unajuaje umechagua upande sahihi, na Kama we ni mkristo au Muslim huko Kuna makundi Tena mengine, unajuaje umechagua upande wa Mungu na wengine wote wamekosea? Unatofauti gani na mcheza jackpot?
Kingine mtihani wa shule mnapewa mda sawa kujiandaa mda sawa kufanya mtihani ni mmoja na unajua unafaulu vipi kwa kujibu vipi. Mtihani wa maisha according to wewe haupo hivyo, mnapimwa tofauti mnapewa mda tofauti wa kujiandaa na pia kufanya na kila mtu anaamini majibu yake coz hamna majibu clear. So how do u pass this test, mbona ni Kama kubet it's not clear n fair
 
Ukichukulia kifo ni kibaya na hasara ni kwel hauna faida ya kuishi , majibu mengne tafuta njee ya dini .
 
70 % ili ni jibu
 
Hatukuumbwa tufe ila kutokana na kutotii maagizo ndio maana ikatolewa adhabu hiyo, mfano rahisi ni huu je wewe baba yako akikwambia usifanye hiki halafu we ukakaidi kipi kitakukuta??

Pamoja na hayo na kupewa kutokufa, lakini binadamu alipaswa kutii maagizo ili awe hai mfano Adamu alitakiwa aishi kama binadamu ili aendelee kubaki hai mfano. Isingetegemewa apande juu ya mti mrefu halafu ajitupe chini asijeruhiwe hapana vyote vilipaswa kuzingatiwa

By the way, maisha ni matamu sababu tunakufa sipati picha leo hii bado tungekuwa na kina kingunge, Yuda eskarioti, plato etc sasa si dunia ingekuwa inaboa sana, we unakutana na watu wamezaliwa enzi za nuhu😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…